Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Hamas: Trump hawezi kuwatenganisha Wapalestina na Quds Tukufu

    Jun 20, 2019 06:29

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa muamala wa karne hauwezi kuwapokonya Wapalestina mji wa Quds (Jeruusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Bernie Sanders: Trump ni rais hatari zaidi kuwahi kutawala katika historia ya Marekani

    Bernie Sanders: Trump ni rais hatari zaidi kuwahi kutawala katika historia ya Marekani

    Jun 19, 2019 22:15

    Seneta mmoja mashuhuri nchini Marekani amesema kuwa, nchi hiyo haijawahi kupata rais hatari zaidi kushinda Donald Trump katika historia yake yote.

  • Trump aahidi kuponya Ukimwi na kuwapeleka Wamarekani sayari ya 'Mars' akichaguliwa tena

    Trump aahidi kuponya Ukimwi na kuwapeleka Wamarekani sayari ya 'Mars' akichaguliwa tena

    Jun 19, 2019 03:18

    Rais Donald Trump wa Marekani ameahidi kuwa iwapo atashinda muhula wa pili katika uchaguzi wa rais mwaka ujao, basi utawala wake utatoa tiba ya maradhi hatari ya saratani na Ukimwi.

  • Wamarekani waandamana katika miji 130 wakitaka Rais Donald Trump asailiwe

    Wamarekani waandamana katika miji 130 wakitaka Rais Donald Trump asailiwe

    Jun 16, 2019 09:07

    Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji tofauti inayokaribia 130 wakitaka Rais Donald Trump wa nchi hiyo asailiwe.

  • Kundi la Haftar lapinga mazungumzo ya amani mpaka

    Kundi la Haftar lapinga mazungumzo ya amani mpaka "liiteke" Tripoli

    Jun 13, 2019 22:03

    Aguila Saleh, Spika wa Bunge la Tobruk linalomuunga mkono Khalifa Haftar huko Libya amesema kuwa hawatoshiriki katika mazungumzo yoyote ya amani hadi pale watakaooipindua serikali ya Umoja wa Kitaifa na kuiteka Tripoli, mji mkuu wa Libya.

  • Uropokaji mpya wa Trump dhidi ya Iran

    Uropokaji mpya wa Trump dhidi ya Iran

    Jun 13, 2019 06:50

    Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akichukua misimamo ya chuki na uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na karibuni amekuwa akitumia stratijia ya 'mashinikizo ya juu zaidi' kuilazimisha Iran ikubali matakwa yake ya kidhalimu.

  • Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Jun 11, 2019 00:51

    Licha ya juhudi kuibwa zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanikisha mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini washirika wa Ulaya wa Washington ikiwemo Ufaransa, wanaendelea kuukosoa mpango huo.

  • Viongozi wa Russia na China wasisitiza kuendelea kuheshimiwa mapatano ya JCPOA, walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Viongozi wa Russia na China wasisitiza kuendelea kuheshimiwa mapatano ya JCPOA, walaani vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Jun 06, 2019 22:39

    Russia na China zikiwa nchi mbili muhimu wanachama wa kundi la 4+1 daima zimekuwa zikisisitiza udharura wa kulindwa mapatano ya kimataifa ya JCPOA na wakati huohuo kupinga vikwazo vya upande mmoja vya Marekani dhidi ya Iran.

  • Seneti ya Marekani yaanzisha mchakato wa kuzuia uuzaji wa silaha kwa Saudia

    Seneti ya Marekani yaanzisha mchakato wa kuzuia uuzaji wa silaha kwa Saudia

    Jun 06, 2019 02:11

    Maseneta wa Marekani wamewasilisha katika Kongresi ya nchi hiyo muswada unaotaka kuzuia mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 8.1 kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, yaliyoidhinishwa hivi karibuni na utawala wa Rais Donald Trump bila idhini ya Kongresi.

  • Waziri kivuli wa Uingereza: Donald Trump ni mbaguzi

    Waziri kivuli wa Uingereza: Donald Trump ni mbaguzi

    Jun 05, 2019 22:01

    Waziri kivuli wa mambo ya nje wa Uingereza amemkosoa vikali Rais Donald Ttump wa Marekani na kumtaja kuwa ni mbaguzi na muwindaji wa ngono.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS