Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Donald Trump akaribishwa kwa maandamano mjini London Uingereza

    Donald Trump akaribishwa kwa maandamano mjini London Uingereza

    Jun 03, 2019 08:12

    Rais Donald Trump wa Marekani amewasili katika mji mkuu wa Uingereza huku kukiwa na maandamano makubwa ya wananchi wenye hasira wanaompinga kiongozi huyo.

  • Uingiliaji wa wazi wa serikali ya Trump katika masuala ya ndani ya Uingereza

    Uingiliaji wa wazi wa serikali ya Trump katika masuala ya ndani ya Uingereza

    Jun 02, 2019 23:49

    Sambamba na kujiuzulu Theresa May, Waziri Mkuu wa Uingereza kutokana na kushindwa kutatua kadhia ya Brexit, hivi sasa Rais Donald Trump wa Marekani na maafisa wa serikali yake wanafanya jitihada za kubadilisha matukio ya nchi hiyo ya kisiwa barani Ulaya, yaendane na malengo ya Washington.

  • Ujumbe unaokinzana wa Trump kwa Iran

    Ujumbe unaokinzana wa Trump kwa Iran

    May 30, 2019 21:52

    Rais Donald Trump wa Marekani siku zote amekuwa na misimamo ya kihasama na kiadui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na daima anasisitiza suala la kuzidisha masihinizo dhidi ya Tehran kwa shabaha ya kuilazimisha kukubali matakwa ya Washington.

  • Raia wa Jordan waandamana kupinga safari ya mkwe wa Trump nchini kwao

    Raia wa Jordan waandamana kupinga safari ya mkwe wa Trump nchini kwao

    May 29, 2019 23:12

    Raia wa Jordan wamefanya maandamano kupinga safari ya Jared Kushner, mkwe wa Rais Donald Trump wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi ambapo wamepiga kambi mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Amman.

  • Trump abadilisha kauli yake kuhusu Iran, ombi la mazungumzo mkabala wa msimamo wake wa awali wa vitisho

    Trump abadilisha kauli yake kuhusu Iran, ombi la mazungumzo mkabala wa msimamo wake wa awali wa vitisho

    May 28, 2019 02:42

    Rais Donald Trump wa Marekani, iwe ni katika zama za kampeni za uchaguzi au baada ya kuingia Ikulu ya White House Januari 2017, amekuwa akifuatilia sera ya kuudhoofisha au kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Zarif akimhutubu Trump; Kiongozi Muadhamu ameshatangaza silaha za nyuklia ni haramu

    Zarif akimhutubu Trump; Kiongozi Muadhamu ameshatangaza silaha za nyuklia ni haramu

    May 27, 2019 23:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatatu usiku amejibu madai ya Rais Donald Trump wa Marekani kuwa eti Iran inafuatilia silaha za nyuklia na kusema, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshatangaza kuwa silaha za nyuklia ni haramu.

  • Safari ya Trump Japan, Washington kuitumia Tokyo kuanzisha tena mazungumzo na Korea Kaskazini

    Safari ya Trump Japan, Washington kuitumia Tokyo kuanzisha tena mazungumzo na Korea Kaskazini

    May 26, 2019 21:51

    Rais Donald Trump wa Marekani anafanya safari ya siku tatu nchini Japan.

  • Jitihada za Marekani za kuzidisha mivutano katika eneo la Asia  magharibi

    Jitihada za Marekani za kuzidisha mivutano katika eneo la Asia magharibi

    May 25, 2019 21:55

    Rais Donald Trump wa Marekani tangu aingie madarakani amekuwa akitoa zingatio makhusi kwa eneo la Asia Magharibi na khususan eneo la Ghuba ya Uajemi; na hata safari yake ya kwanza nje ya nchi ilikuwa nchini Saudi Arabia, ili kuonyesha umuhimu wa eneo hili katika siasa za nje za Marekani na nafasi ya washirika wa Washington katika eneo. Bila shaka Trump mara kadhaa amekuwa akiutaja utawala wa Saudia kuwa ni ng'ombe wa kukamwa.

  • Trump aziuzia Saudia, UAE silaha za dola bilioni 8 bila idhini ya Kongresi ya Marekani

    Trump aziuzia Saudia, UAE silaha za dola bilioni 8 bila idhini ya Kongresi ya Marekani

    May 25, 2019 03:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amethibitisha kuwa serikali ya Washington imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 8.1 kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, bila idhini ya Kongresi ya nchi hiyo.

  • Ilhan Omar: Trump ni mwendawazimu na mtu aliyechanganyikiwa

    Ilhan Omar: Trump ni mwendawazimu na mtu aliyechanganyikiwa

    May 25, 2019 02:26

    Mbunge wa Kongresi ya Marekani, Ilhan Omar amemtaja Rais Donald Trump wa nchi hiyo kuwa ni mwendawazimu, mtu asiye wa kawaida, aliyechanganyikiwa na mwenye huzuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS