Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Matusi ya Trump dhidi ya taifa la Iran, mgongano katika misimamo ya Washington

    Matusi ya Trump dhidi ya taifa la Iran, mgongano katika misimamo ya Washington

    May 24, 2019 23:02

    Baada ya kuingia Ikulu ya White House mnamo mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa Marekani bila kupoteza wakati ilichukua msimamo wa kudhoofisha na ikiwezekana kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kufungwa UNRWA; takwa jipya la Marekani dhidi ya Palestina

    Kufungwa UNRWA; takwa jipya la Marekani dhidi ya Palestina

    May 24, 2019 00:11

    Rais Donald Trump wa Marekani alipoingia katika ikulu ya nchi hiyo White House, alichukua msimamo wa kuiunga mkono Israel bila ya masharti yoyote na wakati huo huo kudhihirisha uhasama wa waziwazi dhidi ya Wapalestina.

  • Seneta: Trump anatumia Iran kama kisingizio cha kuiuzia Saudia mabomu zaidi

    Seneta: Trump anatumia Iran kama kisingizio cha kuiuzia Saudia mabomu zaidi

    May 23, 2019 23:13

    Seneta mmoja wa Marekani ameonya kuwa, yumkini Rais Donald Trump akatumia kisingizio cha taharuki kati ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama kisingizo cha kuiuzia Saudi Arabia mabomu mapya, bila idhini ya Kongresi ya nchi hiyo.

  • Sisitizo la viongozi wa Russia, Ujerumani na Ufaransa la kulindwa mapatano ya JCPOA

    Sisitizo la viongozi wa Russia, Ujerumani na Ufaransa la kulindwa mapatano ya JCPOA

    May 22, 2019 05:18

    Mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la JCPOA yalifikiwa mwezi Julai 2015 mjini Vienna Austria baina ya Iran na kundi la 5+1 lililojumuisha nchi za Marekani, Uingereza, Ufaransa, Russia, China pamoja na Ujerumani na Umoja wa Ulaya. Mapatano hayo yalianza kutekelezwa mwezi Januari 2016.

  • Kutangazwa msimamo wa Russia wakati wa kukaribia uzinduzi tarajiwa wa mpango wa

    Kutangazwa msimamo wa Russia wakati wa kukaribia uzinduzi tarajiwa wa mpango wa "Muamala wa Karne"

    May 20, 2019 03:34

    Utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuzingatia himaya na uungaji mkono wa pande zote wa Rais Donald Trump wa Marekani umekuwa ukitekeleza mashinikizo ambayo hayajawahi kushudiwa dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina na kufanya mambo kinyume kabisa na sheria za kimataifa.

  • Kulegeza msimamo Marekani kuhusiana na shambulio la kijeshi dhidi ya Iran

    Kulegeza msimamo Marekani kuhusiana na shambulio la kijeshi dhidi ya Iran

    May 18, 2019 05:48

    Rais Donald Trump wa Marekani iwe ni katika kipindi cha kampeni zake za uchaguzi au baada ya kuingia katika ikulu ya White House Januari 2017, amechukua mkondo wa siasa za kutaka kuudhoofisha na kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Zarif ajibu matamshi mapya ya Trump; Timu B yasema hiki, Trump anasema kingine

    Zarif ajibu matamshi mapya ya Trump; Timu B yasema hiki, Trump anasema kingine

    May 17, 2019 23:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema migongano katika kauli za watawala wa Marekani inaonyesha wazi kuwa hawafahamu kile wanachopaswa kufanya.

  • Dikrii mpya ya Trump; makabiliano ya kiteknolojia kati ya Washington na Beijing

    Dikrii mpya ya Trump; makabiliano ya kiteknolojia kati ya Washington na Beijing

    May 17, 2019 00:30

    Hitilafu kati ya Marekani na China zinasababisha taathira mbalimbali za kisaisa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kistratejia. Washington si tu kuwa haina nia ya kufikia muafaka na Beijing bali inataka kuzuia maendeleo ya China na ustawi wa teknolojia ya nchi hiyo.

  • Shari za Trump: Washington yazionya nchi za Ulaya kuhusu mkakati wao wa kutoishirikisha Marekani katika ulinzi

    Shari za Trump: Washington yazionya nchi za Ulaya kuhusu mkakati wao wa kutoishirikisha Marekani katika ulinzi

    May 16, 2019 02:04

    Moja ya hitilafu kuu baina ya Marekani na nchi za Ulaya wakati huu wa urais wa Donald Trump huko Marekani, ni misimamo ya kukinzana ya pande mbili kuhusu siasa na miundo ya ulinzi ya Ulaya na nafasi ya shirika la kijeshi la nchi za Magharibi, NATO.

  • Zarif ajibu pendekezo la Trump la mazungumzo ya simu na Iran

    Zarif ajibu pendekezo la Trump la mazungumzo ya simu na Iran

    May 12, 2019 10:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ameandika ujumbe katika ukurasa wake wa Twitter akijibu pendekezo la Rais Donald Trump wa Marekani la kuomba kufanya mazungumzo ya simu na wakuu wa Iran na kumfahamisha kuwa wapambe wake katika Timu B wamekuwa wakipanga njama dhidi ya Iran

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS