-
Lugha ya Kifarsi inafunzwa katika vyuo vikuu 200 duniani
Apr 24, 2018 03:16Lugha ya Kifarsi, ambayo ni lugha rasmi na ya taifa nchini Iran, hivi sasa inafunzwa katika zaidi ya vyuo vikuu 200 duniani.
-
Pew Research Center: Uislamu ndiyo dini kubwa zaidi inayokuwa kwa kasi duniani
Mar 15, 2018 14:59Uchunguzi uliofanywa na kituo cha utafiti cha Pew Research Center cha Marekani unaonyesha kuwa, Uislamu ndiyo dini kubwa inayokuwa na kuongezeka kwa kasi duniani ikilinganishwa na dini nyingine.
-
Kuongezeka gharama za kijeshi ulimwenguni na kukinzana kwake na Malengo ya Milenia
Jan 05, 2018 02:30Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imesema katika ripoti yake kwamba, gharama za kijeshi ulimwenguni ziliongezeka kwa asilimia 46 katika kipindi cha miaka kumi kuanzia 2005 hadi 2015.
-
Vikosi vya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini vyaongezewa muda
Dec 15, 2017 07:06Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha uamuzi wa kurefusha muda wa kuhudumu Ujumbe wa Kulinda Amani wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS kwa miezi mitatu zaidi.
-
"Wazayuni ndio watu wanaogopa kifo zaidi duniani"
Oct 05, 2017 04:19Kituo kimoja wa Kizayuni kimetangaza data zilizotolewa na kituo cha kukusanya takwimu za hoteli za kimataifa na kukiri kuwa, Wazayuni ni watu nambari moja kwa woga na kuogopa kifo duniani.
-
Saudia imetumia fedha nyingi kuiziba mdomo jamii ya kimataifa isizungumzie jinai inazofanya Yemen
Apr 27, 2017 15:58Mkuu wa Taasisi iitwayo "Haki za Binaadamu kwa ajili ya Yemen" amesema kuwa, Saudi Arabia imetumia kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya kuinyamazisha jamii ya kimataifa isizungumzie jinai zake inazozitenda nchini Yemen na pia kuhusu hali mbaya ya kibinaadamu inayoshuhudiwa hivi sasa nchini humo.
-
WHO: Watu bilioni 2 duniani wanakunywa maji machafu
Apr 13, 2017 07:28Shirika la Afya Duniani limesema watu bilioni 2 kote duniani wanatumia maji machafu na kusisitiza kwamba kuna haja ya kufanyika juhudi za makusudi kuhakikisha kuwa kila mtu anapata maji safi ya kunywa na anaishi katika mazingira safi yenye mifumo ya kuondoa majitaka.
-
Iran ni ya kwanza kwa maendeleo ya kielimu katika ulimwengu wa Kiislamu
Feb 14, 2017 03:16Mashirika ya kimataifa ya viwango ya ISI na Scopus yamesema katika ripoti zao kwamba Iran inashikilia nafasi ya kwanza ya maendeleo ya sayansi na teknolojia katika eneo la Mashariki ya Kati na ulimwengu wa Kiislamu.
-
Nusu ya utajiri wa dunia uko mikononi mwa watu 8
Jan 18, 2017 04:08Nusu ya utajiri wote duniani uko mikononi mwa matajiri wanane tu ambapo mmiliki wa shirika la Microsoft, Bill Gates anaongoza orodha ya matajiri hao. Vilevile ripoti zinasema ufa baina ya watu tajiri na masikini unazidi kupanuka.
-
Viongozi mbali mbali duniani waomboleza kifo cha Ayatullah Rafsanjani
Jan 10, 2017 08:20Huku shughuli za kumzika Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu hapa nchini, Ayatullah Akbar Hashemi Rafsanjani zikiendelea, shakhsia na viongozi mbali mbali wameendelea kutoa salamu zao za rambirambi kufuatia kifo cha mwanachuoni huyo.