-
Tishio la ugonjwa wa Ebola kuenea kote Afrika Mashariki
May 26, 2019 03:07Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC imetahadahrisha kuhusu tishio la ugonjwa hatari wa Ebola kuenea katika nchi za jumuiya hiyo.
-
Mapigano katika mji ulioathiriwa na Ebola DRC yaua watu 9
May 08, 2019 09:15Kwa akali watu tisa wameripotiwa kupoteza maisha katika mapigano baina ya askari wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wanamgambo waliobeba silaha katika mji wa Butembo ulioathiriwa na ugonjwa hatari wa Ebola.
-
CAFOMI: Wahamiaji haramu kutoka DRC yumkini wakaeneza Ebola Uganda
May 03, 2019 09:11Uganda imejiweka katika hali ya tahadhari kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi nchini humo ugonjwa hatari wa Ebola kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mlipuko wa homa hiyo.
-
Ugonjwa wa Ebola umeua watu 900 DRC tokea Agosti 2018
Apr 27, 2019 20:45Ugonjwa wa Ebola umeua watu wapatao 900 huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) tokea uibuke Agosti mwaka 2018.
-
Ebola yaendelea kuua DRC, WHO kuitangaza hatari ya kimataifa
Apr 12, 2019 20:47Wataalamu wa afya wa Shirika la Afya Duniani WHO wanafanya tathmini kubaini iwapo mripuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola ambao umeua mamia ya watu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unapaswa kutangazwa kuwa hatari ya kimataifa au la.
-
Ebola yaua watu zaidi ya 100 kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Apr 08, 2019 00:05Mripuko wa ugonjwa wa ebola umeua zaidi ya watu mia moja katika kipindi cha majuma matatu yaliyopita kwenye maeneo ya kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kesi mpya za ugonjwa wa Ebola zaripotiwa Kongo DR
Mar 30, 2019 03:26Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imethibitisha kesi nyingine 15 za ugonjwa hatari wa Ebola.
-
WHO yaomba msaada kimataifa kukabiliana na Ebola DRC
Mar 24, 2019 10:27Shirika la Afya Duniani WHO limetoa wito wa kukabiliana na hali ya mlipuko wa homa ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC, ambako watu takriban 1,000 wameambukizwa ugonjwa huo.
-
Kituo cha kutibu Ebola Butembo, DRC chahujumiwa
Mar 01, 2019 04:27Kituo cha kutibu Ebola huko Butembo, jimbo la Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kimehujumiwa na watu wasiojulikana.
-
Ripoti: Wanawake Kongo DR wananunua chanjo ya Ebola kwa ngono
Feb 13, 2019 04:13Vyanzo mbalimbali ya habari vimeripoti kuwa, wanawake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanalazimika kufanya ngono mkabala wa kupewa chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola, ambao umeua mamia ya watu kufikia sasa.