Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Tishio la ugonjwa wa Ebola kuenea kote Afrika Mashariki

    Tishio la ugonjwa wa Ebola kuenea kote Afrika Mashariki

    May 26, 2019 03:07

    Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC imetahadahrisha kuhusu tishio la ugonjwa hatari wa Ebola kuenea katika nchi za jumuiya hiyo.

  • Mapigano katika mji ulioathiriwa na Ebola DRC yaua watu 9

    Mapigano katika mji ulioathiriwa na Ebola DRC yaua watu 9

    May 08, 2019 09:15

    Kwa akali watu tisa wameripotiwa kupoteza maisha katika mapigano baina ya askari wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wanamgambo waliobeba silaha katika mji wa Butembo ulioathiriwa na ugonjwa hatari wa Ebola.

  • CAFOMI: Wahamiaji haramu kutoka DRC yumkini wakaeneza Ebola Uganda

    CAFOMI: Wahamiaji haramu kutoka DRC yumkini wakaeneza Ebola Uganda

    May 03, 2019 09:11

    Uganda imejiweka katika hali ya tahadhari kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi nchini humo ugonjwa hatari wa Ebola kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mlipuko wa homa hiyo.

  •  Ugonjwa wa Ebola umeua watu 900 DRC tokea Agosti 2018

    Ugonjwa wa Ebola umeua watu 900 DRC tokea Agosti 2018

    Apr 27, 2019 20:45

    Ugonjwa wa Ebola umeua watu wapatao 900 huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) tokea uibuke Agosti mwaka 2018.

  • Ebola yaendelea kuua DRC, WHO kuitangaza hatari ya kimataifa

    Ebola yaendelea kuua DRC, WHO kuitangaza hatari ya kimataifa

    Apr 12, 2019 20:47

    Wataalamu wa afya wa Shirika la Afya Duniani WHO wanafanya tathmini kubaini iwapo mripuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola ambao umeua mamia ya watu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo unapaswa kutangazwa kuwa hatari ya kimataifa au la.

  • Ebola yaua watu zaidi ya 100 kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Ebola yaua watu zaidi ya 100 kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Apr 08, 2019 00:05

    Mripuko wa ugonjwa wa ebola umeua zaidi ya watu mia moja katika kipindi cha majuma matatu yaliyopita kwenye maeneo ya kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kesi mpya za ugonjwa wa Ebola zaripotiwa Kongo DR

    Kesi mpya za ugonjwa wa Ebola zaripotiwa Kongo DR

    Mar 30, 2019 03:26

    Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imethibitisha kesi nyingine 15 za ugonjwa hatari wa Ebola.

  • WHO yaomba msaada kimataifa kukabiliana na Ebola DRC

    WHO yaomba msaada kimataifa kukabiliana na Ebola DRC

    Mar 24, 2019 10:27

    Shirika la Afya Duniani WHO limetoa wito wa kukabiliana na hali ya mlipuko wa homa ya Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC, ambako watu takriban 1,000 wameambukizwa ugonjwa huo.

  • Kituo cha kutibu Ebola Butembo, DRC chahujumiwa

    Kituo cha kutibu Ebola Butembo, DRC chahujumiwa

    Mar 01, 2019 04:27

    Kituo cha kutibu Ebola huko Butembo, jimbo la Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kimehujumiwa na watu wasiojulikana.

  • Ripoti: Wanawake Kongo DR wananunua chanjo ya Ebola kwa ngono

    Ripoti: Wanawake Kongo DR wananunua chanjo ya Ebola kwa ngono

    Feb 13, 2019 04:13

    Vyanzo mbalimbali ya habari vimeripoti kuwa, wanawake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanalazimika kufanya ngono mkabala wa kupewa chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola, ambao umeua mamia ya watu kufikia sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS