Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Msalaba Mwekundu: Mamia ya Wakongomani wamekimbilia Uganda

    Msalaba Mwekundu: Mamia ya Wakongomani wamekimbilia Uganda

    Jan 02, 2019 11:46

    Shirika la Msalaba Mwekundu limesema mamia ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchini Uganda baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa Jumapili iliyopita.

  • Wagonjwa 24 wa Ebola watoroka kituo cha matibabu Beni, Kongo DR

    Wagonjwa 24 wa Ebola watoroka kituo cha matibabu Beni, Kongo DR

    Dec 27, 2018 23:33

    Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya wagonjwa 24 walioambukizwa ugonjwa hatari wa Ebola kutoroka kituo cha matibabu mjini Beni, mashariki mwa nchi.

  • Uganda yachukua tahadhari kuhusu Ebola kabla ya uchaguzi  DRC

    Uganda yachukua tahadhari kuhusu Ebola kabla ya uchaguzi DRC

    Dec 21, 2018 11:18

    Uganda imeongeza kiwango cha tahadhari kuhusu ugonjwa wa Ebola, ili kukabiliana na wimbi tarajiwa la wakimbizi iwapo vurugu zitaibuka katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu.

  • WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    Nov 30, 2018 01:03

    Hatari wa kuenea ugonjwa habari wa Ebola imeongezeka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi zinazopakana nayo baada ya kesi nyingine 36 kugunduliwa karibu na mpaka wa nchi hiyo katika wiki iliyomalizikia kwenye Novemba 29.

  • Wizara ya Afya: Ugonjwa wa Ebola umeibuka tena katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Wizara ya Afya: Ugonjwa wa Ebola umeibuka tena katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Nov 11, 2018 01:06

    Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kuwa, watu wasiopungua 319 wamethibitishwa kuambukizwa maradhi ya Ebola ikiwa ni wimbi jipya la maradhi hayo katika nchi hiyo.

  • UN:Hatua mpya zinafanikisha vita dhidi ya Ebola DRC

    UN:Hatua mpya zinafanikisha vita dhidi ya Ebola DRC

    Nov 09, 2018 04:28

    Hatua mpya za kukabiliana na changamoto za vita dhidi ya mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC zinazaa matunda ingawa mlipuko huo bado unasalia kuwa hatari.

  • Uganda kuanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wafanyakazi wa sekta ya afya

    Uganda kuanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wafanyakazi wa sekta ya afya

    Nov 02, 2018 23:26

    Uganda imetangaza kuwa Jumatatu ijayo itaanza kutoa chanjo kwa baadhi ya wafanyakazi wake wa huduma ya afya dhidi ya maradhi ya Ebola. Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi Uganda homa hiyo ya kuvuja damu inayosababishwa na virusi kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mlipuko wa Ebola.

  • Wasiwasi wa WHO kuhusu ongezeko la maambukizi mapya ya Ebola DRC

    Wasiwasi wa WHO kuhusu ongezeko la maambukizi mapya ya Ebola DRC

    Nov 02, 2018 02:32

    Shirika la Afya Duniani WHO limeeleza wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa maambukizi ya Ebola yaliyothibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC katika wiki nne zilizopita.

  • Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupambana na Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupambana na Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Oct 31, 2018 04:47

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa kauli moja azimio la kupambana na ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Uchunguzi: Mlipuko wa Ebola magharibi mwa Afrika umesababisha hasara ya dola bilioni 53

    Uchunguzi: Mlipuko wa Ebola magharibi mwa Afrika umesababisha hasara ya dola bilioni 53

    Oct 24, 2018 23:04

    Virusi vya Ebola vilivyozikumba nchi za magharibi mwa Afrika hususan Sierra Leone, Guinea and Liberia mwaka 2014 vilisababisha hasara inayokadiriwa kufikia dola bilioni 53.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS