Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Erdogan

  • Polisi ya Uturuki yazima njama ya mauaji dhidi ya Rais Erdogan

    Polisi ya Uturuki yazima njama ya mauaji dhidi ya Rais Erdogan

    Dec 05, 2021 07:16

    Vyombo vya habari vya Uturuki vimeripoti kuwa, polisi ya nchi hiyo imegundua na kulipua bomu lililokuwa limetegwa eneo ambako Rais wa nchi hiyo, Recep Tayyip Erdoğan, alipangiwa kuhutubia wananchi huko kusini mwa Uturuki.

  • Safari ya mrithi wa ufalme wa Imarati nchini Uturuki; sababu na malengo yake

    Safari ya mrithi wa ufalme wa Imarati nchini Uturuki; sababu na malengo yake

    Nov 25, 2021 07:37

    Mohammed Bin Zayed Al Nayhan, mrithi wa ufalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) jana Jumatano tarehe 24 Novemba aliwasili mjini Ankara, Uturuki ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Recep Tayyip Erdoğan wa nchi hiyo.

  • Rais wa Uturuki: Jamii ya kimataifa ikomeshe uenezwaji chuki dhidi ya Uislamu

    Rais wa Uturuki: Jamii ya kimataifa ikomeshe uenezwaji chuki dhidi ya Uislamu

    Jan 28, 2021 07:25

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amekosoa vyombo vya kijamii vya Magharibi kugeuzwa kuwa jukwaa la kuenezea chuki dhidi ya Uislamu na chuki dhidi ya wageni na akaitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua kuzuia mwenendo huo.

  • Bunge la Iran: Lugha za kufarakanisha za Erdogan zinashangaza na hazikubaliki

    Bunge la Iran: Lugha za kufarakanisha za Erdogan zinashangaza na hazikubaliki

    Dec 14, 2020 02:56

    Wawakilishi wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza kwamba, wanategemea kutoka kwa Rais wa Uturuki ujirani mwema na kufanyika juhudi za kuweko umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu na uletaji amani na uthabiti katika eneo la Asia Magharibi na kutangaza kuwa, lugha za kufarakanisha za Erdogan zinashangaza na katu hazikubaliki.

  • Iran na Uturuki zasisitiza kuimarisha ujirani mwema na wa kiudugu

    Iran na Uturuki zasisitiza kuimarisha ujirani mwema na wa kiudugu

    Dec 13, 2020 07:38

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uturuki wametilia mkazo umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa kiudugu na ujirani mwema baina yao.

  • Iran yatoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Uturuki kwa maafa ya zilzala ya Izmir

    Iran yatoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Uturuki kwa maafa ya zilzala ya Izmir

    Oct 31, 2020 10:37

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa pole kwa serikali na wananhi wa Uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea jana Ijumaa katika eneo la Izmir na kutangaza kuwa Iran iko tayari kwa ajili ya misaada ya aina zote kwa waathiriwa wa janga hilo.

  • Marais wa Iran na Uturuki wasisitiza udharura wa kuimarisha ushirikiano wa pande mbili, kimataifa

    Marais wa Iran na Uturuki wasisitiza udharura wa kuimarisha ushirikiano wa pande mbili, kimataifa

    Sep 09, 2020 02:34

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wametoa taarifa mwishoni mwa kikao cha sita cha Baraza Kuu la Uhusiano wa Kistratijia wa nchi hizo mbili wakisisitiza udharura wa kupanuliwa na kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili, kikanda na kimataifa katika fremu ya kudhamini maslahi ya pamoja ya Tehran na Ankara.

  • Erdoğan: Tutaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri

    Erdoğan: Tutaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri

    Jul 18, 2020 07:59

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa nchi yake itaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri na kamwe haitowaacha mkono wananchi wa Libya.

  • Erdogan: Uchumi wa Kiislamu unaweza kuiondoa dunia katika mgogoro

    Erdogan: Uchumi wa Kiislamu unaweza kuiondoa dunia katika mgogoro

    Jun 15, 2020 14:59

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema uchumi wa Kiislamu ndiyo dawa mjarabu ya kuiondoa dunia katika mgogoro wa kiuchumi uliosababishwa na janga la corona.

  • Rais Tayyip Erdoğan: Lobi za Kiarmania ni 'wafuasi wa shetani'

    Rais Tayyip Erdoğan: Lobi za Kiarmania ni 'wafuasi wa shetani'

    May 14, 2020 03:51

    Katika hotuba yake ya hivi karibuni aliyoitoa kupitia televisheni, Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amezitaja lobi za Kiarmenia kuwa ni 'wafuasi wa shetani.'

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS