Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Abiy Ahmed: Waasi wa OLA wameua raia wengine kwa umati Oromia

    Abiy Ahmed: Waasi wa OLA wameua raia wengine kwa umati Oromia

    Jul 06, 2022 01:48

    Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed amelituhumu kundi la waasi linalojiita Jeshi la Ukombozi wa Oromo (OLA) kuwa limefanya mauaji mapya ya halaiki katika eneo la Oromia, magharibi mwa nchi.

  • AU yataka Sudan, Ethiopia ziache makabiliano ya kijeshi mpakani

    AU yataka Sudan, Ethiopia ziache makabiliano ya kijeshi mpakani

    Jun 30, 2022 03:42

    Kamisheni ya Umoja wa Afrika imetoa mwito kwa nchi za Sudan na Ethiopia kujizuia na kutochukua hatua yoyote inayoweza kushadidisha mivutano ya kijeshi katika eneo la al-Fashaqa, lililoko katika mpaka wa pamoja wa nchi mbili hizo jirani.

  • Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Khartoum yaituhumu Addis Ababa kuwanyonga wafungwa wa Sudan na kuonyesha miili yao

    Jun 27, 2022 22:21

    Jeshi la Sudan limelitumu jeshi la Ethiopia kuwa limewanyonga wanajeshi 7 na raia mmoja wa Sudan waliokuwa wafungwa nchini humo, jambo ambalo limekanushwa na maafisa rasmi wa Ethiopia, wakieleza kuwa Addis Ababa itatoa tamko rasmi la kujibu madai hayo ya Sudan.

  • Mvutano baina ya Ethiopia na Sudan: Jeshi la Ethiopia latuhumiwa kuwaua Wasudan wanane

    Mvutano baina ya Ethiopia na Sudan: Jeshi la Ethiopia latuhumiwa kuwaua Wasudan wanane

    Jun 27, 2022 03:26

    Sudan imesema, jeshi la Ethiopia limeua raia wanane wa nchi hiyo.

  • Bachelet ataka uchunguzi huru wa mauaji ya halaiki nchini Ethiopia

    Bachelet ataka uchunguzi huru wa mauaji ya halaiki nchini Ethiopia

    Jun 24, 2022 09:56

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa sambamba na kulaani mauaji ya halaiki ya hivi karibuni ya raia hususan wanawake na watoto wadogo magharibi mwa Ethiopia, ameitaka serikali ya Addis Ababa kufanya uchunguzi huru, wa kina, wa haraka na usioegemea upande wowote.

  • WFP: Maisha ya Waethiopia milioni 20 yako hatarini kutokana na vita, ukame na uhaba wa chakula

    WFP: Maisha ya Waethiopia milioni 20 yako hatarini kutokana na vita, ukame na uhaba wa chakula

    Jun 23, 2022 22:44

    Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP limetahadharisha kuwa, baa la njaa linazidi kutishia maisha ya Waethiopia milioni 20 ambao wanakabiliwa na vita kaskazini mwa nchi hiyo, ukame katika eneo la kusini na kupungua kwa msaada wa chakula na lishe kuanzia mwezi ujao.

  • Iran yalaani shambulio lililoua mamia ya watu nchini Ethiopia

    Iran yalaani shambulio lililoua mamia ya watu nchini Ethiopia

    Jun 21, 2022 03:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio lililopelekea kuuawa mamia ya watu katika eneo la Oromia nchini Ethiopia, na kueleza kuwa Tehran imesikitishwa mno na mauaji hayo ya halaiki.

  • Manusura wa mauaji ya halaiki ya Oromia wasimulia: Watu waliuawa kama kuku

    Manusura wa mauaji ya halaiki ya Oromia wasimulia: Watu waliuawa kama kuku

    Jun 20, 2022 22:15

    Mwangwi wa mauaji ya halaiki yanayodaiwa kufanywa na waasi dhidi ya raia ambao wengi wao ni kutoka kabila la Amhara huko Ethiopia unaendelea kusikika huku baadhi ya manusura wakieleza jinsi mauaji hayo ya kutisha yalivyofanyika.

  • Ethiopia yabuni kamati ya kuzungumza na wapiganaji wa Tigray

    Ethiopia yabuni kamati ya kuzungumza na wapiganaji wa Tigray

    Jun 14, 2022 22:12

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema serikali ya federali ya nchi hiyo imeunda kamati ya kufanya mazungumzo na vikosi vya Harakati ya Ukombizi wa Watu wa Tigray (TPLF).

  • UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame

    UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame

    May 21, 2022 08:00

    Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa dharura wa kupatikana fedha ili kusaidia mataifa ya Pembe ya Afrika ambayo kwa miezi yameshuhudia hali ya ukame inayotishia kuwa mbaya zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS