Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Bunge la Ethiopia limeiondoa harakati ya wapiganaji wa Tigray kwenye orodha ya magaidi

    Bunge la Ethiopia limeiondoa harakati ya wapiganaji wa Tigray kwenye orodha ya magaidi

    Mar 23, 2023 03:58

    Bunge la Ethiopia imeondoa katika orodha ya makundi ya kigaidi Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray TPLF ya kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Tume ya Ethiopia: Waasi wa OLA wameua makumi ya raia 50 Oromiya

    Tume ya Ethiopia: Waasi wa OLA wameua makumi ya raia 50 Oromiya

    Feb 16, 2023 23:20

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Ethiopia (EHRC) imesema kwa akali raia 50 wameuawa na kundi la waasi linalojiita Jeshi la Ukombozi wa Oromo (OLA) katika eneo la Oromiya, magharibi mwa nchi.

  • Afwerki: Madai kwamba Eritrea imekiuka haki za binadamu Tigray, ni njozi tupu

    Afwerki: Madai kwamba Eritrea imekiuka haki za binadamu Tigray, ni njozi tupu

    Feb 09, 2023 23:24

    Rais wa Eritrea Isaias Afwerki jana Alhamisi aliyataja madai ya kukiukwa haki za binadamu kulikofanywa na wanajeshi wa Eritrea katika eneo la Tigray kaskazini mwa Ethiopia wakati wa vita vya miaka miwili katika eneo hilo kuwa ni njozi tupu.

  • Shirika la ndege la Ethiopia kuanza tena safari zake huko Tigray

    Shirika la ndege la Ethiopia kuanza tena safari zake huko Tigray

    Dec 27, 2022 11:30

    Shirika la ndege la Ethiopia (Ethiopian Airlines) limetangaza kuwa linaanza tena safari zake katika eneo la Tigray lililoathiriwa na machafuko huko kaskazini mwa Ethiopia sambambana eneo hilo kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme na kurejeshewa huduma za simu na nyinginezo.

  • Ethiopia yatuma ujumbe Tigray kwa ajili ya kutekeleza mapatano ya amani

    Ethiopia yatuma ujumbe Tigray kwa ajili ya kutekeleza mapatano ya amani

    Dec 26, 2022 23:01

    Ujumbe wa ngazi ya juu wa timu ya serikali ya Ethiopia umeelekea Tigray kaskazini mwa nchi hiyo kwa ajili ya mazungumzo ya kutekeleza makubaliano ya amani ili kuhitimisha mzozo wa miaka miwili kati ya serikali ya Addis Ababa na Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF).

  • UN: Waliouawa Tigray, Ethiopia ni wengi zaidi ya waliouawa Ukraine

    UN: Waliouawa Tigray, Ethiopia ni wengi zaidi ya waliouawa Ukraine

    Dec 08, 2022 23:08

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema idadi ya watu waliouawa katika mapigano huko Tigray, kaskazini mwa Ethiopia ni wengi ikilinganishwa na idadi ya waliouawa katika vita vya Ukraine na Russia.

  • Tigray yaunganishwa tena kwenye gridi ya umeme ya taifa

    Tigray yaunganishwa tena kwenye gridi ya umeme ya taifa

    Dec 07, 2022 22:51

    Makao makuu ya eneo la Tigray, Mekele, kwa mara nyingine tena yameunganishwa kwenye gridi ya umeme ya taifa baada ya kukosa umeme kwa zaidi ya mwaka moja kutokana na vita vilivyoliathiri eneo hilo la kaskazini mwa Ethiopia. Hayo yameelezwa na Kampuni ya Taifa ya Umeme ya nchi hiyo.

  • Ripoti: Askari wa Eritrea wangali wanaua raia Tigray, Ethiopia

    Ripoti: Askari wa Eritrea wangali wanaua raia Tigray, Ethiopia

    Dec 03, 2022 06:56

    Jeshi la Eritrea linatuhumiwa kuwa linaendelea kufanya mauaji ya raia katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.

  • Waasi wa Tigray kusalimisha silaha nzito Jumamosi ijayo

    Waasi wa Tigray kusalimisha silaha nzito Jumamosi ijayo

    Dec 01, 2022 07:59

    Balozi wa Ethiopia nchini Kenya amesema kuwa kundi la waasi la Tigray People's Liberation Front (TPLF) litasalimisha silaha zake nzito siku ya Jumamosi ijayyo kufuatia mazungumzo kati ya makamanda wakuu wa jeshi na TPLF.

  • UN: Misaada ya chakula katika eneo la Tigray haiwiani na mahitaji

    UN: Misaada ya chakula katika eneo la Tigray haiwiani na mahitaji

    Nov 26, 2022 10:14

    Mpango wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP) umeeleza kuwa, misaada ya chakula inayopelekwa katika eneo la Tigray lililokumbwa na mapigano kaskazini mwa Ethiopia haiwiani na mahitaji yaliyopo licha ya kuanza kutekelezwa mapatano ya kusitisha mapigano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS