Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • UN: Waliouawa Tigray, Ethiopia ni wengi zaidi ya waliouawa Ukraine

    UN: Waliouawa Tigray, Ethiopia ni wengi zaidi ya waliouawa Ukraine

    Dec 08, 2022 23:08

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema idadi ya watu waliouawa katika mapigano huko Tigray, kaskazini mwa Ethiopia ni wengi ikilinganishwa na idadi ya waliouawa katika vita vya Ukraine na Russia.

  • Tigray yaunganishwa tena kwenye gridi ya umeme ya taifa

    Tigray yaunganishwa tena kwenye gridi ya umeme ya taifa

    Dec 07, 2022 22:51

    Makao makuu ya eneo la Tigray, Mekele, kwa mara nyingine tena yameunganishwa kwenye gridi ya umeme ya taifa baada ya kukosa umeme kwa zaidi ya mwaka moja kutokana na vita vilivyoliathiri eneo hilo la kaskazini mwa Ethiopia. Hayo yameelezwa na Kampuni ya Taifa ya Umeme ya nchi hiyo.

  • Ripoti: Askari wa Eritrea wangali wanaua raia Tigray, Ethiopia

    Ripoti: Askari wa Eritrea wangali wanaua raia Tigray, Ethiopia

    Dec 03, 2022 06:56

    Jeshi la Eritrea linatuhumiwa kuwa linaendelea kufanya mauaji ya raia katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.

  • Waasi wa Tigray kusalimisha silaha nzito Jumamosi ijayo

    Waasi wa Tigray kusalimisha silaha nzito Jumamosi ijayo

    Dec 01, 2022 07:59

    Balozi wa Ethiopia nchini Kenya amesema kuwa kundi la waasi la Tigray People's Liberation Front (TPLF) litasalimisha silaha zake nzito siku ya Jumamosi ijayyo kufuatia mazungumzo kati ya makamanda wakuu wa jeshi na TPLF.

  • UN: Misaada ya chakula katika eneo la Tigray haiwiani na mahitaji

    UN: Misaada ya chakula katika eneo la Tigray haiwiani na mahitaji

    Nov 26, 2022 10:14

    Mpango wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP) umeeleza kuwa, misaada ya chakula inayopelekwa katika eneo la Tigray lililokumbwa na mapigano kaskazini mwa Ethiopia haiwiani na mahitaji yaliyopo licha ya kuanza kutekelezwa mapatano ya kusitisha mapigano.

  • UN yaonya baada ya mripuko wa kipindupindu kuua watu 20 Ethiopia

    UN yaonya baada ya mripuko wa kipindupindu kuua watu 20 Ethiopia

    Nov 25, 2022 23:04

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imetoa indhari baada ya makumi ya watu kuaga dunia huku mamia ya wengine wakiathiriwa kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu kusini mashariki mwa Ethiopia.

  • Waasi wa Tigray kuweka silaha chini iwapo askari wa Eritrea wataondoka Ethiopia

    Waasi wa Tigray kuweka silaha chini iwapo askari wa Eritrea wataondoka Ethiopia

    Nov 13, 2022 10:55

    Serikali ya Ethiopia na makamanda wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) wameafikiana kuweka silaha chini, mara tu wanajeshi wa nchi jirani ya Eritrea watakapoondoka nchini humo.

  • Maandamano ya kupinga siasa za Marekani nchini Ethiopia

    Maandamano ya kupinga siasa za Marekani nchini Ethiopia

    Oct 25, 2022 06:27

    Sambamba na kushtadi mapigano nchini Ethiopia na kuvunjwa makubalianao ya usitishaji vita ya miezi mitano na kuwaka tena moto wa vita katika nchi hiyo, maelfu ya Waethiopia walifanya maandamano ya nchi nzima siku ya Jumamosi kulaani uingiliaji wa madola ya kigeni, hasa Marekani, katika masuala ya ndani ya nchi yao.

  • Mazungumzo ya amani ya Tigray kufanyika Oktoba 24 Afrika Kusini

    Mazungumzo ya amani ya Tigray kufanyika Oktoba 24 Afrika Kusini

    Oct 21, 2022 00:42

    Mazungumzo ya amani ya kujaribu kutatua mgogoro katika eneo la Tigray huko kaskazini mwa Ethiopia kati ya serikali kuu na wapiganaji wa TPLF yameratibiwa kufanyika wiki ijayo.

  • Guterres: Hali ya mambo Ethiopia huenda isidhibitike tena

    Guterres: Hali ya mambo Ethiopia huenda isidhibitike tena

    Oct 18, 2022 04:05

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu hali ya mambo nchini Ethiopia na kutoa mwito kwa pande hasimu katika mgogoro wa eneo la Tigray la kaskazini mwa nchi kuhitimisha mvutano na uhasama baina yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS