Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • UN yaonya baada ya mripuko wa kipindupindu kuua watu 20 Ethiopia

    UN yaonya baada ya mripuko wa kipindupindu kuua watu 20 Ethiopia

    Nov 25, 2022 23:04

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imetoa indhari baada ya makumi ya watu kuaga dunia huku mamia ya wengine wakiathiriwa kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu kusini mashariki mwa Ethiopia.

  • Waasi wa Tigray kuweka silaha chini iwapo askari wa Eritrea wataondoka Ethiopia

    Waasi wa Tigray kuweka silaha chini iwapo askari wa Eritrea wataondoka Ethiopia

    Nov 13, 2022 10:55

    Serikali ya Ethiopia na makamanda wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF) wameafikiana kuweka silaha chini, mara tu wanajeshi wa nchi jirani ya Eritrea watakapoondoka nchini humo.

  • Maandamano ya kupinga siasa za Marekani nchini Ethiopia

    Maandamano ya kupinga siasa za Marekani nchini Ethiopia

    Oct 25, 2022 06:27

    Sambamba na kushtadi mapigano nchini Ethiopia na kuvunjwa makubalianao ya usitishaji vita ya miezi mitano na kuwaka tena moto wa vita katika nchi hiyo, maelfu ya Waethiopia walifanya maandamano ya nchi nzima siku ya Jumamosi kulaani uingiliaji wa madola ya kigeni, hasa Marekani, katika masuala ya ndani ya nchi yao.

  • Mazungumzo ya amani ya Tigray kufanyika Oktoba 24 Afrika Kusini

    Mazungumzo ya amani ya Tigray kufanyika Oktoba 24 Afrika Kusini

    Oct 21, 2022 00:42

    Mazungumzo ya amani ya kujaribu kutatua mgogoro katika eneo la Tigray huko kaskazini mwa Ethiopia kati ya serikali kuu na wapiganaji wa TPLF yameratibiwa kufanyika wiki ijayo.

  • Guterres: Hali ya mambo Ethiopia huenda isidhibitike tena

    Guterres: Hali ya mambo Ethiopia huenda isidhibitike tena

    Oct 18, 2022 04:05

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu hali ya mambo nchini Ethiopia na kutoa mwito kwa pande hasimu katika mgogoro wa eneo la Tigray la kaskazini mwa nchi kuhitimisha mvutano na uhasama baina yao.

  • AU yazitapa pande hasimu Ethiopia kuketi kwenye meza ya mazungumzo

    AU yazitapa pande hasimu Ethiopia kuketi kwenye meza ya mazungumzo

    Oct 17, 2022 07:28

    Umoja wa Afrika umetoa wito kwa pande zinazozozana katika eneo la Tigray nchini Ethiopia kuketi kwenye meza ya mazungumzo ya amani.

  • Ethiopia yazuia matumizi ya fedha za kigeni

    Ethiopia yazuia matumizi ya fedha za kigeni

    Oct 17, 2022 01:58

    Ethiopia imeziagiza benki nchini humo kuwanyima wafanyabiashara fedha za kigeni ambao wanaaagiza bidhaa zisizopewa kipaumbele. Ethiopia imechukua hatua hiyo katika juhudi za kuimarisha akiba yake ya kigeni inayoendelea kupungua siku baada ya siku.

  • Al-Burhan: Inawezekana kufikia makubaliano kuhusu Bwawa la Renaissance

    Al-Burhan: Inawezekana kufikia makubaliano kuhusu Bwawa la Renaissance

    Oct 16, 2022 03:28

    Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan ambaye pia ni kamanda wa jeshi la nchi hiyo amesema, kuna uwezekano wa kufikiwa mapatano kuhusu Bwawa na Renaissance.

  • Watu 50 wauawa katika shambulio la anga dhidi ya shule nchini Ethiopia

    Watu 50 wauawa katika shambulio la anga dhidi ya shule nchini Ethiopia

    Oct 06, 2022 04:13

    Watu wasiopungua 50 wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika shambulio la anga lililolenga shule moja huko kaskazini mwa Ethiopia.

  • Ethiopia yakubali mwito wa AU wa kufanya mazungumzo na TPLF

    Ethiopia yakubali mwito wa AU wa kufanya mazungumzo na TPLF

    Oct 05, 2022 23:40

    Serikali ya Ethiopia kwa mara nyingine tena imesema imeafiki mwito wa Umoja wa Afrika (AU) wa kufanya mazungumzo ya amani na waasi wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray (TPLF).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS