-
Watu 10 wauawa katika mashambulio kwenye jimbo la Tigray, Ethiopia
Sep 14, 2022 07:35Taarifa kutoka kaskazini mwa Ethiopia zinasema kuwa, waasi wasiopungua 10 wa TPLF wanaopigania kujitenga jimbo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia wameuawa sambamba na kuanza mapigano mapya kati ya wanajeshi wa serikali na waasi hao.
-
Sudan yamwita balozi wa Ethiopia kulalamikia madai ya Addis Ababa kuhusu silaha za wapiganaji wa Tigray
Aug 31, 2022 06:57Wizara ya Masshauri ya Kigeni ya Sudan imemwita katika makao makuu ya wizara hiyo balozi wa Ethiopia mjini Kharton na kumkabidhi malalamiko dhidi ya madai ya serikali ya Addis Ababa ya kupita katika anga ya Sudan ndege iliyokuwa imebeba silaha kwa ajili ya kuwapelekea wapiganaji wa jimbo la Tigray.
-
Ethiopia: Tuko tayari kufanya mazungumzo kuhusu Bwawa la Renaissance kwa usimamizi wa AU
Aug 30, 2022 05:13Ethiopia imesema iko tayarikufanya mazungumzo na Sudan na Misri kuhusu Bwawa la Grand Ethiopian Renaissance (GERD) chini ya uangalizi wa Umoja wa Afrika (AU).
-
Watu kadhaa wauawa katika shambulio la anga Tigray, Ethiopia
Aug 27, 2022 06:55Watoto watatu ni miongoni mwa watu saba waliouawa katika shambulio la anga lililolenga uwanja wa kucheza watoto katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.
-
Hofu ya AU, IGAD kuhusu mapigano mapya Tigray, Ethiopia
Aug 25, 2022 07:33Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema ametiwa wasiwasi na ripoti za kuibuka makabiliano mapya ya kijeshi nchini Ethiopia.
-
UN: Tunahitaji dola milioni 73 kuwasaidia kwa chakula wakimbizi wa ndani Ethiopia
Aug 10, 2022 03:33Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa na serikali ya Ethiopia wametoa ombi la kupatiwa dola milioni 73 ili kuweza kuendelea na utoaji msaada wa chakula kwa wakimbizi 750,000 walioko nchini humo katika kipindi cha miezi sita ijayo.
-
Miripuko ya mabomu yaua watu kadhaa kusini mwa Somalia
Jul 27, 2022 21:54Kwa akali watu watano akiwemo afisa wa ngazi ya juu wa serikali wameuawa katika miripuko pacha ya mabomu iliyotokea jana Jumatano kusini mwa Somalia.
-
Amnesty yaitaka serikali ya Ethiopia ifanye uchunguzi kuhusu mauaji ya raia zaidi ya 400
Jul 21, 2022 22:06Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Ethiopia iendeshe uchuguzi kuhusiana na mauaji ya kikabila ya raia zaidi 400 yaliyofanyika katika eneo la Oromia.
-
Maelfu ya Waethiopia wakimbia mateso, manyanyaso Saudia
Jul 14, 2022 22:00Makumi ya maelfu ya raia wa Ethiopia wamewasili Addis Ababa mji mkuu wa nchi hiyo, huku serikali ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika ikiendelea na zoezi la kuwarejesha nyumbani raia wake wakitokea Saudi Arabia.
-
Raia wengi wameuawa Ethiopia
Jul 09, 2022 02:38Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Ethiopia imesema raia wasiopungua 749 wameuawa katika mikoa ya Afar na Amhara katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita katika mapigano ambayo yamejiri kati ya vikosi vya jeshi la serikali na waasi wa Tigray People's Liberation Front TPLF.