Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Mshindi wa uchaguzi nchini Gambia aitaka jumuiya ya ECOWAS  imuondoe Jameh

    Mshindi wa uchaguzi nchini Gambia aitaka jumuiya ya ECOWAS imuondoe Jameh

    Jan 03, 2017 13:48

    Mshindi wa uchaguzi wa rais uliomalizika hivi karibuni nchini Gambia, ameitaka Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS kutumia uwezo wake katika kumkinaisha Yahya Jammeh kukubali matokeo.

  • Gambia yafunga vituo viwili vya radio katika mgogoro wa baada ya uchaguzi

    Gambia yafunga vituo viwili vya radio katika mgogoro wa baada ya uchaguzi

    Jan 03, 2017 02:31

    Maafisa wa usalama Gambia wamefunga vituo viwili vya radio binafsi karibu na mji mkuu Banjul huku nchi hiyo ikikumbwa na mgogoro wa baada ya uchaguzi.

  • Kuendelea juhudi za kumshawishi Jammeh akabidhi madaraka kwa amani Gambia

    Kuendelea juhudi za kumshawishi Jammeh akabidhi madaraka kwa amani Gambia

    Dec 29, 2016 02:44

    Mivutano ya kisiasa ya baada ya uchaguzi wa rais nchini Gambia ingali inaendelea huku Mahakama Kuu ya nchi hiyo ikisubiriwa kutangaza uamuzi wake kuhusiana na malalamiko yaliyowasilishwa na Rais Yahya Jammeh ya kupinga matokeo ya uchaguzi huo.

  • Umoja wa Mataifa wamtaka Jammeh akabidhi madaraka Gambia

    Umoja wa Mataifa wamtaka Jammeh akabidhi madaraka Gambia

    Dec 23, 2016 07:37

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtaka Rais wa Gambia amkabidhi madaraka kwa amani Rais mteule wa nchi hiyo.

  • Mahakama Gambia kusikiza kesi ya uchaguzi Januari 10

    Mahakama Gambia kusikiza kesi ya uchaguzi Januari 10

    Dec 22, 2016 06:56

    Mahakama ya Kilele ya Gambia imeakhirisha hadi Januari 10 mwakani kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais iliyowasilishwa na Rais Yahya Jammeh anayetaka matokeo ya uchaguzi yabatilishwe.

  • Upinzani Gambia: Jammeh atageuka na kuwa kiongozi wa waasi nchini

    Upinzani Gambia: Jammeh atageuka na kuwa kiongozi wa waasi nchini

    Dec 19, 2016 07:38

    Upinzani nchini Gambia umemtahadharisha Yahya Jammeh, rais wa nchi hiyo aliyekataa matokeo ya uchaguzi mkuu wa hivi karibuni kuwa yumkini akageuka na kuwa kiongozi wa waasi akiendelea kung'ang'ania madaraka.

  • Uwezekano wa Jammeh kuondolewa kwenye kiti cha urais kwa nguvu za kijeshi

    Uwezekano wa Jammeh kuondolewa kwenye kiti cha urais kwa nguvu za kijeshi

    Dec 17, 2016 07:17

    Rais wa Senegal amesema kuna uwezekano rais wa Gambia kuondolewa kwa nguvu za jeshi katika kiti cha urais baada ya kukataa kukubali kushindwa katika uchaguzi.

  • UN yataka Jeshi la Gambia liondoke katika jengo la tume ya uchaguzi

    UN yataka Jeshi la Gambia liondoke katika jengo la tume ya uchaguzi

    Dec 15, 2016 04:34

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeondoka Ban Ki-moon amesema amefedheheshwa na hatua ya jengo la tume huru ya uchaguzi nchini Gambia IEC, kuwekwa chini ya ulinzi wa jeshi la nchi hiyo.

  • Mafunzo ya Qur'ani katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Gambia

    Mafunzo ya Qur'ani katika Chuo Kikuu cha Kiislamu Gambia

    Dec 15, 2016 04:30

    Kituo cha Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Gambia (GQMC) kinachofungamana na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Intaneti cha Gambia kimeandaa masomo ya kuhifadhi Qur'ani kupitia intaneti kwa lengo la kutoa mafunzo kwa Waislamu kona zote za dunia.

  • Ellen Sirleaf: Yahya Jammeh hayuko tayari kuachia madaraka

    Ellen Sirleaf: Yahya Jammeh hayuko tayari kuachia madaraka

    Dec 14, 2016 07:37

    Wakuu wa nchi za magharibi mwa Afrika ambao wamefanya safari huko Gambia kwa lengo la kusuluhisha mgogoro wa ndani uliojitokeza, jana walitangaza kuwa jitihada zao za kumshawishi Yahya Jammeh akabidhi madaraka bado hazijazaa matunda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS