Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Ellen Sirleaf: Yahya Jammeh hayuko tayari kuachia madaraka

    Ellen Sirleaf: Yahya Jammeh hayuko tayari kuachia madaraka

    Dec 14, 2016 07:37

    Wakuu wa nchi za magharibi mwa Afrika ambao wamefanya safari huko Gambia kwa lengo la kusuluhisha mgogoro wa ndani uliojitokeza, jana walitangaza kuwa jitihada zao za kumshawishi Yahya Jammeh akabidhi madaraka bado hazijazaa matunda.

  • Timu ya upatanishi yaelekea Gambia kusuluhisha mzozo wa urais

    Timu ya upatanishi yaelekea Gambia kusuluhisha mzozo wa urais

    Dec 13, 2016 08:13

    Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf anaongoza timu ya upatanishi inayotazamiwa kuelekea nchini Gambia hii leo kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa uongozi ulioibuka nchini humo, baada ya Rais Yahya Jammeh kupinga matokoe ya uchaguzi wa rais.

  • Kuendelea kutokota mvukuto wa kisiasa nchini Gambia

    Kuendelea kutokota mvukuto wa kisiasa nchini Gambia

    Dec 13, 2016 02:46

    Askari wa vikosi vya usalama nchini Gambia wamesambazwa kwenye maeneo ya mji mkuu Banjul kufuatia hatua ya Rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh kukataa matokeo yanayoonesha kuwa alishindwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika tarehe mosi ya mwezi huu wa Desemba.

  • Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zamtaka Yahya Jammeh akubali matokeo ya uchaguzi

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zamtaka Yahya Jammeh akubali matokeo ya uchaguzi

    Dec 11, 2016 08:11

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika zimemtaka Rais Yahya Jammeh wa Gambia kukubali matokeo ya uchaguzi wa Rais uliofanyika nchini humo mwanzoni mwa mwezi huu na hivyo kuandaa mazingira ya kukabidhi madaraka kwa njia ya Amani na ya kidemokrasia.

  • Ndege ya Rais wa Liberia yazuiwa kutua Gambia, Yahya Jammeh apinga matokeo

    Ndege ya Rais wa Liberia yazuiwa kutua Gambia, Yahya Jammeh apinga matokeo

    Dec 10, 2016 15:28

    Mamlaka za Gambia zimetangaza kuizuia kutua nchini humo ndege ya Rais Ellen Sirleaf Johnson ambaye pia ni Mwenyekiti wa hivi sasa wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika ECOWAS.

  • Yahya Jammeh kukabidhi madaraka mwezi Januari

    Yahya Jammeh kukabidhi madaraka mwezi Januari

    Dec 05, 2016 15:26

    Yahya Jammeh Rais wa Gambia aliyeangushwa katika uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni nchini humo angali yupo nchini humo na atakabidhi madaraka kwa rais mteule, Adama Barrow mwezi Januari mwakani. Hayo yameelezwa na Waziri wa Mawasiliano wa Gambia.

  • Rais mteule wa Gambia kuangalia upya suala la kujiondoa ICC

    Rais mteule wa Gambia kuangalia upya suala la kujiondoa ICC

    Dec 04, 2016 15:06

    Adama Barrow, Rais mteule wa Gambia amesema atatengue uamuzi wa mtangulizi wake aliyembwaga katika uchaguzi wa siku chache zilizopita Yahya Jammeh wa kuiondoa nchi hiyo katika Mkataba wa Roma uliobuni Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Mgombea wa upinzani ashinda kiti cha Urais Gambia

    Mgombea wa upinzani ashinda kiti cha Urais Gambia

    Dec 04, 2016 03:11

    Adama Barrow, mgombea wa muungano wa upinzani nchini Gambia amembwaga Rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh katika uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ambao matokeo yake hayakutarajiwa.

  • Yahyah Jammeh  ashindwa vibaya katika uchaguzi wa rais Gambia

    Yahyah Jammeh ashindwa vibaya katika uchaguzi wa rais Gambia

    Dec 02, 2016 15:44

    Rais Yahyah Jammeh wa Gambia amekiri kushindwa katika uchaguzi wa rais nchini humo na kwa msingi huo kuhitimisha utawala wake wa miaka 22 katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Uchaguzi wa Gambia unafanyika leo, Rais Jammeh anawania kipindi cha tano cha uongozi

    Uchaguzi wa Gambia unafanyika leo, Rais Jammeh anawania kipindi cha tano cha uongozi

    Dec 01, 2016 04:36

    Wananchi wa Gambia waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanaelekea katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kumchagua Rais wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS