-
Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo
Nov 19, 2016 07:51Serikali ya Gambia imekataa kuruhusu timu ya waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Ulaya EU kuingia nchini humo kwa ajili ya kufuatilia uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mapema mwezi ujao.
-
UN yaainisha tarehe ya kujiondoa rasmi Gambia ICC
Nov 15, 2016 07:50Umoja wa Mataifa umetangaza tarehe ya kujiondoa rasmi Gambia katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.
-
HRW: Rais wa Gambia anawatesa wapinzani na wakosoaji wake
Nov 03, 2016 03:54Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch linamtuhumu Rais wa Gambia Yahya Jammeh kuwa anawakandamiza na kuwatesa wapinzani na wakosoaji wake na kwamba yumkini uchaguzi mkuu ujao wa Disemba Mosi usiwe huru na wa haki.
-
Gambia nayo yatangaza azma yake ya kujiondoa ICC
Oct 26, 2016 14:56Gambia imejiunga na nchi kadhaa za Afrika zilizotangaza azma yao ya kujiondoa katika Mkataba wa Roma uliobuni Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.
-
Wapinzani Gambia wamtangaza mgombea kiti cha urais
Sep 03, 2016 03:20Chama kikubwa zaidi cha upinzani nchini Gambia kimemtangaza mgombea wake atakayechuana na Rais wa muda mrefu wa nchi hiyo, Yahya Jammeh katika uchaguzi wa rais mwezi Desemba.
-
Mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yaanza nchini Gambia
Jul 27, 2016 13:59Mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yameanza nchini Gambia kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa nchi 28.
-
Kiongozi wa upinzani Gambia ahukumiwa miaka 3 jela
Jul 21, 2016 13:47Kiongozi wa upinzani nchini Gambia Ousainou Darboe amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela.
-
UN yalaani matamshi ya chuki za kikabila ya Rais wa Gambia
Jun 11, 2016 15:29Mshauri Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Uzuiaji Mauaji ya Kimbari amelaani hotuba ya kichochezi ya Rais Yahya Jammeh wa Gambia ya kutishia kuliangamiza kabila la Mandinka nchini humo.
-
Waislamu wa Gambia wanaoishi Marekani, waitaka Washington ikomeshe dhulma nchini mwao
May 31, 2016 15:34Wanaharakati wa Kiislamu raia wa Gambia wanaoishi nchini Marekani, wameandamana hadi mbele ya ikulu ya White House wakitaka kuhitimishwa dhulma na ukandamizaji nchini mwao.
-
UN yaitaka serikali ya Gambia iwaachilie huru waandamanaji
May 14, 2016 03:51Ofisi ya Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa (OHCHR) imeitaka serikali ya Gambia iwaachilie huru watu waliowekwa kizuizini kwa kushiriki kwenye maandamano ya amani yaliyofanyika Aprili 14 na 16 mwaka huu katika mji mkuu wa nchi hiyo Banjul.