Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo

    Gambia yaizuia timu ya waangalizi wa uchaguzi wa EU nchini humo

    Nov 19, 2016 07:51

    Serikali ya Gambia imekataa kuruhusu timu ya waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Ulaya EU kuingia nchini humo kwa ajili ya kufuatilia uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mapema mwezi ujao.

  • UN yaainisha tarehe ya kujiondoa rasmi Gambia ICC

    UN yaainisha tarehe ya kujiondoa rasmi Gambia ICC

    Nov 15, 2016 07:50

    Umoja wa Mataifa umetangaza tarehe ya kujiondoa rasmi Gambia katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • HRW: Rais wa Gambia anawatesa wapinzani na wakosoaji wake

    HRW: Rais wa Gambia anawatesa wapinzani na wakosoaji wake

    Nov 03, 2016 03:54

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch linamtuhumu Rais wa Gambia Yahya Jammeh kuwa anawakandamiza na kuwatesa wapinzani na wakosoaji wake na kwamba yumkini uchaguzi mkuu ujao wa Disemba Mosi usiwe huru na wa haki.

  • Gambia nayo yatangaza azma yake ya kujiondoa ICC

    Gambia nayo yatangaza azma yake ya kujiondoa ICC

    Oct 26, 2016 14:56

    Gambia imejiunga na nchi kadhaa za Afrika zilizotangaza azma yao ya kujiondoa katika Mkataba wa Roma uliobuni Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Wapinzani Gambia wamtangaza mgombea kiti cha urais

    Wapinzani Gambia wamtangaza mgombea kiti cha urais

    Sep 03, 2016 03:20

    Chama kikubwa zaidi cha upinzani nchini Gambia kimemtangaza mgombea wake atakayechuana na Rais wa muda mrefu wa nchi hiyo, Yahya Jammeh katika uchaguzi wa rais mwezi Desemba.

  • Mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yaanza nchini Gambia

    Mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yaanza nchini Gambia

    Jul 27, 2016 13:59

    Mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yameanza nchini Gambia kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa nchi 28.

  • Kiongozi wa upinzani Gambia ahukumiwa miaka 3 jela

    Kiongozi wa upinzani Gambia ahukumiwa miaka 3 jela

    Jul 21, 2016 13:47

    Kiongozi wa upinzani nchini Gambia Ousainou Darboe amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela.

  • UN yalaani matamshi ya chuki za kikabila ya Rais wa Gambia

    UN yalaani matamshi ya chuki za kikabila ya Rais wa Gambia

    Jun 11, 2016 15:29

    Mshauri Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na Uzuiaji Mauaji ya Kimbari amelaani hotuba ya kichochezi ya Rais Yahya Jammeh wa Gambia ya kutishia kuliangamiza kabila la Mandinka nchini humo.

  • Waislamu wa Gambia wanaoishi Marekani, waitaka Washington ikomeshe dhulma nchini mwao

    Waislamu wa Gambia wanaoishi Marekani, waitaka Washington ikomeshe dhulma nchini mwao

    May 31, 2016 15:34

    Wanaharakati wa Kiislamu raia wa Gambia wanaoishi nchini Marekani, wameandamana hadi mbele ya ikulu ya White House wakitaka kuhitimishwa dhulma na ukandamizaji nchini mwao.

  • UN yaitaka serikali ya Gambia iwaachilie huru waandamanaji

    UN yaitaka serikali ya Gambia iwaachilie huru waandamanaji

    May 14, 2016 03:51

    Ofisi ya Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa (OHCHR) imeitaka serikali ya Gambia iwaachilie huru watu waliowekwa kizuizini kwa kushiriki kwenye maandamano ya amani yaliyofanyika Aprili 14 na 16 mwaka huu katika mji mkuu wa nchi hiyo Banjul.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS