-
Wapalestina watano wauawa na misaada wa kudondoshwa kutoka angani, Gaza
Mar 09, 2024 08:19Wapalestina watano wameuawa na vifurushi vya misaada vilivyodondoshwa na ndege za Marekani na washirika wake kwenye Ukanda wa Gaza unaozingirwa na Israel, huku mamlaka ya Gaza ikilishutumu zoezi hilo kuwa ni "propaganda tupu" na sio huduma ya kibinadamu.
-
Mtaalamu wa UN: Mpango wa Biden wa kujenga bandari Ghaza ni wa 'maonyesho' ya uchaguzi
Mar 09, 2024 03:50Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa Haki amepuuzilia mbali mpango wa Rais wa Marekani wa kuanzisha bandari inayodaiwa kuwa na lengo la kuwezesha kuingizwa misaada katika Ukanda wa Ghaza, ulioteketezwa kwa vita vya mauaji ya kimbari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vikungwa mkono kwa hali na mali na serikali ya Washington.
-
Kuhani wa Kiyahudi ahamasisha Wazayuni wafanye mauaji ya kimbari Ghaza
Mar 09, 2024 03:43Kuhani mwanamgambo na mhubiri wa mahubiri ya Kizayuni ya utoaji vitisho, Eliyahu Mali, ametoa wito wa kufanywa mauaji ya kimbari ya Wapalestina waliowekewa mzingiro huko Ghaza, akidai kuwa kufanya hivyo kunaendana na Halakha, yaani sheria ya Kiyahudi.
-
Mwendesha Mashtaka wa ICC atuhumiwa kuonyesha undumilakuwili wa wazi kuhusiana na Ghaza
Mar 08, 2024 23:27Shirika la kutetea haki za binadamu la Euro-Med Human Rights Monitor (Euro-Med) limesema Karim Khan, Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ameonyesha "undumilakuwili" katika kukabiliana na uhalifu wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Ghaza.
-
Biden ajitoa kimasomaso: Maafa ya sasa ya vifo vya raia Ghaza ni makubwa zaidi kuwahi kutokea huko
Mar 08, 2024 06:51Rais Joe Biden wa Marekani hatimaye amekiri kuwa hali isiyo ya kawaida na ambayo haijawahi kushuhudiwa ndiyo inayotawala katika vita vya kinyama vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro.
-
Kuongezeka uungaji mkono wa wananchi wa Marekani kwa Wapalestina
Mar 05, 2024 04:12Matokeo ya uchunguzi wa maaoni uliofanywa na jarida la Wall Street Journal yanaonyesha kuwa, wananchi wengi wa Marekani hawaridhishwi na utendaji kazi wa Rais Joe Biden katika vita vya Gaza.
-
Ben-Gvir awapongeza wanajeshi wa Israel walioua zaidi ya Wapalestina 100 Ghaza, US yaizuia UN isitoe tamko
Mar 01, 2024 23:37Waziri wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel mwenye misimamo mikali ya chuki amewapongeza wanajeshi wa utawala huo walioua zaidi ya Wapalestina 100 waliokuwa wakisubiri misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Ghaza uliowekewa mzingiro.
-
Ukosoaji wa Iran kwa Baraza la Usalama la UN kwa kutochukua hatua kuhusiana na mauaji ya kimbari ya Wapalestina wa Ghazza
Feb 29, 2024 03:44Tangu ilipoanza duru mpya ya mauaji ya kimbari ya Wapalestina yanayofanywa na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghazza, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ikitumia kila fursa inayopata kulaani jinai za utawala huo ghasibu na kutaka mashambulizi ya kinyama yanayofanywa dhidi ya Wapalestina yakomeshwe.
-
Baada ya kutembelea Israel, mbunge wa Kongresi asema: Netanyahu ni kidhabu
Feb 29, 2024 03:42Mjumbe wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amepinga mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na Israel huko Palestina na kumtaja Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu kuwa ni mhalifu na mwongo.
-
A/Kusini inafuatilia utekelezaji wa hukumu ya Mahakama ya ICJ dhidi ya utawala wa Kizayuni
Feb 28, 2024 08:12Serikali ya Afrika Kusini imesisitiza kuhusu kutekelezwa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya utawala wa Kizayuni.