Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghuba ya Uajemi

  • Russia yawasilisha mpango wa usalama wa Ghuba ya Uajemi kwa Umoja wa Mataifa

    Russia yawasilisha mpango wa usalama wa Ghuba ya Uajemi kwa Umoja wa Mataifa

    Jul 30, 2019 06:24

    Uwepo wa kijeshi wa nchi za kigeni katika eneo la Ghuba ya Uajemi na taathira zake mbaya ambazo zimepelekea kuongezeka mivutano ya kisiasa na kijeshi katika eneo, umeipelekea Russia kuwasilisha mpango wa usalama wa eneo hili la kistratijia kwa Umoja wa Mataifa.

  • Uungaji mkono wa Lavrov kwa nafasi kuu ya Iran katika kutatua migogoro ya kieneo

    Uungaji mkono wa Lavrov kwa nafasi kuu ya Iran katika kutatua migogoro ya kieneo

    Jul 26, 2019 02:57

    Russia imeonyesha msimamo wa kuiunga mkono Iran mkabala na tuhuma za Marekani dhidi ya Iran ambazo ni chanzo cha ukosefu wa amani katika eneo la Asia Magharibi.

  • Russia yapinga kuwepo majeshi ya nchi za kigeni Ghuba ya Uajemi

    Russia yapinga kuwepo majeshi ya nchi za kigeni Ghuba ya Uajemi

    Jul 24, 2019 03:45

    Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa kuwepo majeshi ya kigeni katika eneo la Ghuba ya Uajemi kunasababisha hatari ya kutokea vita.

  • Shutuma kali za chama cha Leba cha Uingereza kwa chokochoko za Marekani Ghuba ya Uajemi

    Shutuma kali za chama cha Leba cha Uingereza kwa chokochoko za Marekani Ghuba ya Uajemi

    Jul 21, 2019 21:57

    Matukio ya hivi karibuni katika eneo la Ghuba ya Uajemi kama vile kusimamishwa meli ya mafuta ya Uingereza na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH baada ya meli hiyo kuvunja sheria za kimataifa za safari za baharini na madai ya uongo ya Marekani ya kwamba eti imetungua droni ya Iran, yamewafanya viongozi mbalimbali wa Uingereza kuonesha hisia zao kuhusu matukio hayo.

  • Kutumwa askari wa Marekani nchini Saudia, hatua mpya ya kuzidisha mvutano katika eneo

    Kutumwa askari wa Marekani nchini Saudia, hatua mpya ya kuzidisha mvutano katika eneo

    Jul 21, 2019 07:22

    Hatua za kichochezi za serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani katika eneo, hususan ya kuongeza uwezo na harakati zake za kijeshi katika eneo la Ghuba ya Uajemi, imekabiliwa na radiamali kali na athirifu ya Iran.

  • Kusimamishwa meli ya kigeni katika Ghuba ya Uajemi; mapambano ya Iran dhidi ya magendo ya mafuta

    Kusimamishwa meli ya kigeni katika Ghuba ya Uajemi; mapambano ya Iran dhidi ya magendo ya mafuta

    Jul 19, 2019 03:49

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC au SEPAH limetangaza kwamba limetumia kibali cha mahakama kusimamisha meli moja iliyokuwa imebeba mafuta ya magendo katika maji ya Ghuba ya Uajemi.

  • Jeshi la Sepah lakadhibisha madai ya Marekani, lasema halijafuatilia meli ya mafuta ya Uingereza

    Jeshi la Sepah lakadhibisha madai ya Marekani, lasema halijafuatilia meli ya mafuta ya Uingereza

    Jul 11, 2019 01:53

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (Sepah) limekadhibisha madai yaliyotolewa na maafisa wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon kwamba jeshi hilo limefanya jitihada za kusimamisha meli ya mafuta ya Uingereza katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • UN haijaafiki madai ya Marekani kuhusu drone yake iliyoangushwa na Iran

    UN haijaafiki madai ya Marekani kuhusu drone yake iliyoangushwa na Iran

    Jun 22, 2019 03:20

    Umoja wa Mataifa umejibu madai ya wakuu wa Marekani kuwa drone yao ya kijasusi iliyoangushwa na Iran iliangushwa katika maji ya kimataifa katika Ghuba ya Uajemi.

  • Russia yakosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya Iran

    Russia yakosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya Iran

    Jun 21, 2019 04:48

    Baada ya kujitoa kinyume cha sheria katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani imekuwa ikitekeleza siasa za 'mashinikizo ya juu zaidi' dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran iko tayari kufanya mazungumzo na nchi za Ghuba ya Uajemi

    Iran iko tayari kufanya mazungumzo na nchi za Ghuba ya Uajemi

    Jun 10, 2019 07:00

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kufanya mazungumzo na kila moja ya nchi za Kiarabu za ukanda wa Ghuba ya Uajemi kuhusu masuala ya pande mbili na kieneo."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS