Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghuba ya Uajemi

  • Kutumwa askari wa Marekani nchini Saudia, hatua mpya ya kuzidisha mvutano katika eneo

    Kutumwa askari wa Marekani nchini Saudia, hatua mpya ya kuzidisha mvutano katika eneo

    Jul 21, 2019 11:52

    Hatua za kichochezi za serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani katika eneo, hususan ya kuongeza uwezo na harakati zake za kijeshi katika eneo la Ghuba ya Uajemi, imekabiliwa na radiamali kali na athirifu ya Iran.

  • Kusimamishwa meli ya kigeni katika Ghuba ya Uajemi; mapambano ya Iran dhidi ya magendo ya mafuta

    Kusimamishwa meli ya kigeni katika Ghuba ya Uajemi; mapambano ya Iran dhidi ya magendo ya mafuta

    Jul 19, 2019 08:19

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC au SEPAH limetangaza kwamba limetumia kibali cha mahakama kusimamisha meli moja iliyokuwa imebeba mafuta ya magendo katika maji ya Ghuba ya Uajemi.

  • Jeshi la Sepah lakadhibisha madai ya Marekani, lasema halijafuatilia meli ya mafuta ya Uingereza

    Jeshi la Sepah lakadhibisha madai ya Marekani, lasema halijafuatilia meli ya mafuta ya Uingereza

    Jul 11, 2019 06:23

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (Sepah) limekadhibisha madai yaliyotolewa na maafisa wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon kwamba jeshi hilo limefanya jitihada za kusimamisha meli ya mafuta ya Uingereza katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • UN haijaafiki madai ya Marekani kuhusu drone yake iliyoangushwa na Iran

    UN haijaafiki madai ya Marekani kuhusu drone yake iliyoangushwa na Iran

    Jun 22, 2019 07:50

    Umoja wa Mataifa umejibu madai ya wakuu wa Marekani kuwa drone yao ya kijasusi iliyoangushwa na Iran iliangushwa katika maji ya kimataifa katika Ghuba ya Uajemi.

  • Russia yakosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya Iran

    Russia yakosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya Iran

    Jun 21, 2019 09:18

    Baada ya kujitoa kinyume cha sheria katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani imekuwa ikitekeleza siasa za 'mashinikizo ya juu zaidi' dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran iko tayari kufanya mazungumzo na nchi za Ghuba ya Uajemi

    Iran iko tayari kufanya mazungumzo na nchi za Ghuba ya Uajemi

    Jun 10, 2019 11:30

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kufanya mazungumzo na kila moja ya nchi za Kiarabu za ukanda wa Ghuba ya Uajemi kuhusu masuala ya pande mbili na kieneo."

  • Kuunga mkono Russia ubunifu wa Iran wa kupunguza hali ya taharuki Ghuba ya Uajemi

    Kuunga mkono Russia ubunifu wa Iran wa kupunguza hali ya taharuki Ghuba ya Uajemi

    May 28, 2019 11:30

    Ili kufikia malengo yake haramu katika eneo la Asia Magharibi na Ghuba ya Uajemi, Marekani daima imekuwa ikieneza chuki dhidi ya Iran yaani Iranophobia, na kwa njia hiyo imeibua hitilafu na mgogoro katika uhusiano wa Iran na majirani zake katika Ghuba ya Uajemi. Pamoja na hayo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ikisisitiza kuhusu ulazima wa kuwepo uthabiti katika Ghuba ya Uajemi na hata imewasilisha mpango mpya kuhusiana na hilo.

  • Iraq: Tunapinga vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Iraq: Tunapinga vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    May 26, 2019 11:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Mohamed Ali Alhakim amesema kuwa nchi yake inapinga vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwamba Baghdad itaendelea kusimama pamoja na Tehran.

  • Jitihada za Marekani za kuzidisha mivutano katika eneo la Asia  magharibi

    Jitihada za Marekani za kuzidisha mivutano katika eneo la Asia magharibi

    May 26, 2019 02:25

    Rais Donald Trump wa Marekani tangu aingie madarakani amekuwa akitoa zingatio makhusi kwa eneo la Asia Magharibi na khususan eneo la Ghuba ya Uajemi; na hata safari yake ya kwanza nje ya nchi ilikuwa nchini Saudi Arabia, ili kuonyesha umuhimu wa eneo hili katika siasa za nje za Marekani na nafasi ya washirika wa Washington katika eneo. Bila shaka Trump mara kadhaa amekuwa akiutaja utawala wa Saudia kuwa ni ng'ombe wa kukamwa.

  • IRGC: Meli za Marekani Ghuba ya Uajemi ziko katika udhibiti kamili wa Iran

    IRGC: Meli za Marekani Ghuba ya Uajemi ziko katika udhibiti kamili wa Iran

    May 25, 2019 12:24

    Kaimu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH (IRGC) amesema kuwa, meli za Marekani zilizopo eneo la Ghuba ya Uajemi, hazina uwezo wa kufanya operesheni na zipo katika udhibiti kamili wa kikosi cha operesheni cha jeshi la SEPAH.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS