Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Hizbullah: Muqawama umejiandaa kupambana na maadui

    Hizbullah: Muqawama umejiandaa kupambana na maadui

    Apr 14, 2020 07:09

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo ya muqawama daima iko tayari na imejiandaa barabara kukabiliana na chokochoko za maadui.

  • Harakati ya Hizbullah: Njama za Marekani hazitopunguza muqawama wa Wairaki

    Harakati ya Hizbullah: Njama za Marekani hazitopunguza muqawama wa Wairaki

    Mar 28, 2020 08:10

    Harakati ya Hizbullah ya Iraq imesema kuwa, hatua chafu za Marekani dhidi ya nchi hiyo, hazitakuwa na taathira yoyote kwenye muqawama wa Wairaki.

  • Sababu za mafanikio ya Shahidi Soleimani katika mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah

    Sababu za mafanikio ya Shahidi Soleimani katika mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah

    Feb 14, 2020 09:14

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amefanya mazungumzo na televisheni ya al Mayadeen akieleza mchango na nfasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuunda harakati hiyo ya mapambano na mafanikio ya Kamanda Qassem Soleimani.

  • "Marekani ilivuka mistari yote miekundu kwa kumuua shahidi Jen. Soleimani"

    Feb 13, 2020 23:54

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kwa kumuua kigaidi shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani Kamanda wa Kikosi cha Qods cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ( SEPAH), Marekani ilivuka mistari yote miekundu na kwamba mauaji hayo yamegeuza mahesabu yote katika eneo la Asia Magharibi.

  • Hizbullah: Mapinduzi ya wananchi wa Iraq yataendelea hadi Wamarekani watakapofurushwa Asia Magharibi

    Hizbullah: Mapinduzi ya wananchi wa Iraq yataendelea hadi Wamarekani watakapofurushwa Asia Magharibi

    Jan 25, 2020 08:07

    Brigedi za Hizbullah ya Iraq zimesema kuwa mapinduzi ya wananchi wa nchi hiyo yataendelea hadi wavamizi wote wa Kimarekani watakapofurushwa kikamilifu nchini Iraq na katika eneo zima la Asia Magharibi.

  • Hizbullah: Maandamano ya Wairaqi ni dhihirisho wanapinga uvamizi wa Marekani

    Hizbullah: Maandamano ya Wairaqi ni dhihirisho wanapinga uvamizi wa Marekani

    Jan 25, 2020 04:52

    Harakati ya Muaqawama ya Hizbullah ya Lebanon imewapongeza wananchi wa Iraq kwa kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya kupinga uwepo wa askari wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Hizbullah yasisitiza kuondoka wanajeshi wa Marekani eneo la Asia Magharibi

    Hizbullah yasisitiza kuondoka wanajeshi wa Marekani eneo la Asia Magharibi

    Jan 12, 2020 08:46

    Mwenyekiti wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuhusu kuondoka wanajeshi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi kama jibu la kweli la mauaji ya kigaidi ya mashahidi Haj Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.

  • Harakati ya Hizbullah ya Iraq yampa onyo kali Rais Donald Trump wa Marekani

    Harakati ya Hizbullah ya Iraq yampa onyo kali Rais Donald Trump wa Marekani

    Jan 07, 2020 01:11

    Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Iraq imemuonya Rais Donald Trump wa Marekani kwamba iwapo ataiwekea vikwazo nchi hiyo, basi harakati hiyo itazuia usafirishaji mafuta ya kwenda soko la nchi hiyo.

  • Nasrullah: Hizbullah ni tishio kubwa kwa njama za Marekani na Israel

    Nasrullah: Hizbullah ni tishio kubwa kwa njama za Marekani na Israel

    Dec 14, 2019 03:55

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema njama ghalati za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo zimekuwa zikigonga mwamba kutokana na uwepo na kusimama kidete harakati hiyo ya muqawama.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Hizbullah si kundi la kigaidi

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Hizbullah si kundi la kigaidi

    Sep 25, 2019 01:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amesema: Harakati ya Hizbulllah ya Lebanon si kundi la kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS