Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Israel: Tumepoteza uwezo wetu mkubwa mbele ya harakati ya Hizbullah na Hamas

    Israel: Tumepoteza uwezo wetu mkubwa mbele ya harakati ya Hizbullah na Hamas

    Mar 03, 2018 01:38

    Kamanda wa vikosi vya ardhini vya utawala haramu wa lsrael amekiri kwamba, jeshi la utawala huo limepoteza uwezo wake mkubwa mkabala wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya muqawama wa Palestina HAMAS.

  • Kiongozi wa Hizbullah: Walebanon wasiwapigie kura wanasiasa wanaopata himaya ya Marekani

    Kiongozi wa Hizbullah: Walebanon wasiwapigie kura wanasiasa wanaopata himaya ya Marekani

    Feb 25, 2018 04:32

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ametoa wito kwa wananchi wa Lebanon kutowapigia kura wagombea wanaopata himaya ya Marekani katika uchaguzi ujao wa bunge huku akionya kuwa wanasiasa kama hao wataikabidhi nchi kwa Marekani.

  • Nujaba ya Iraq yasema itapambana na Israel ikiiletea chokochoko Hizbullah

    Nujaba ya Iraq yasema itapambana na Israel ikiiletea chokochoko Hizbullah

    Feb 14, 2018 04:03

    Harakati ya Nujaba ya Iraq imesema itaiunga mkono kikamilifu harakati ya Hizbullah ya Lebanon iwapo italazimishwa kuingia katika vita vipya na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kamanda wa Israel: Tukiingia kwenye vita, Hizbullah itashambulia bandari zetu za Haifa na Ashdod

    Kamanda wa Israel: Tukiingia kwenye vita, Hizbullah itashambulia bandari zetu za Haifa na Ashdod

    Feb 06, 2018 11:30

    Mmoja wa makamanda wa ngazi ya juu katika jeshi la utawala haramu wa Israel, amesema kuwa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon inamiliki makombora erevu ambayo yanaweza kusambaratisha vituo vya gesi vya Israel zikiwemo pia bandari za Haifa na Ashdod.

  • Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uistikbari na kuunga mkono mapambano ya Kiislamu

    Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uistikbari na kuunga mkono mapambano ya Kiislamu

    Feb 01, 2018 04:42

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyowaandalieni kwa munasaba wa siku hizi za maadhimisho ya kuingia katika mwaka wa 40 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya 1979. Katika makala hii ya leo tutaangazia kadhia ya 'Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uiskitabiri wa kimataifa na kuunga mkono muqawama au mapambano ya Kiislamu.

  • Israel: Changamoto kubwa inayotukabili ni uwezo mkubwa wa Hizbullah unaoongezeka

    Israel: Changamoto kubwa inayotukabili ni uwezo mkubwa wa Hizbullah unaoongezeka

    Jan 31, 2018 12:01

    Gadi Eizenkot, mkuu wa majeshi ya utawala haramu wa Israel ameonyesha wasiwasi wake mkubwa juu ya kuongezeka uwezo wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Boroujerdi: Hizbullah imechangia pakubwa kusambaratishwa ISIS

    Boroujerdi: Hizbullah imechangia pakubwa kusambaratishwa ISIS

    Jan 26, 2018 04:17

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa mchango mkubwa sana katika jitihada za kuangamizwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • HAMAS yasisitiza kuimarisha uhusiano wake na Iran na Hizbullah ya Lebanon

    HAMAS yasisitiza kuimarisha uhusiano wake na Iran na Hizbullah ya Lebanon

    Jan 21, 2018 10:40

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema uhusiano wa harakati hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na harakati ya Hizbullah ya Lebanon umerejea kwenye mkondo wake wa kawaida.

  • Afisa wa MOSSAD akiri nguvu za Hizbullah ya Lebanon

    Afisa wa MOSSAD akiri nguvu za Hizbullah ya Lebanon

    Jan 14, 2018 10:35

    Afisa mmoja wa shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel MOSSAD amekiri kwamba kushindwa operesheni ya utawala huo ya mwaka 1997 kulitokana na Hizbullah kuwa na teknolojia kubwa zaidi iliyoiwezesha kupenya kusikiliza mazungumzo ya maafisa wa Israel.

  • Hariri aipongeza Hizbullah, ataka uhusiano uliobora na Iran

    Hariri aipongeza Hizbullah, ataka uhusiano uliobora na Iran

    Jan 12, 2018 10:18

    Waziri Mkuu wa Lebanon Saad Hariri ametoa wito wa nchi hiyo kuwekwa mbali na migogoro ya eneo la Mashariki ya Kati huku akiipongeza Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini hiyo kwa jitihada zake za kupunguza taharuki katika eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS