Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Israel: Tunapanga kumuua Nasrullah katika vita vijavyo dhidi ya Lebanon

    Israel: Tunapanga kumuua Nasrullah katika vita vijavyo dhidi ya Lebanon

    Nov 28, 2017 04:16

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limetishia kwamba Sayyid Hasssan Nasrullah, kiongozi wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon yupo kwenye shabaha ya kuuawa katika vita vijavyo vya Tel Aviv dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Hamas yasisitiza hatima ya pamoja ya muqawama wa Palestina na Hizbullah

    Hamas yasisitiza hatima ya pamoja ya muqawama wa Palestina na Hizbullah

    Nov 20, 2017 10:38

    Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema katika radiamali yake kwa taarifa ya karibuni ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) dhidi ya chama cha Hizbullah kuwa hatima ya muqawama wa Palestina na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imefungamana pamoja.

  • Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Saudia yaichochea Israel iihujumu Lebanon, Hizbullah yasema iko tayari kijeshi

    Nov 13, 2017 23:34

    Afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kwa ajili ya makabiliano yoyote ya kijeshi huku kukiwa na tetesi kuwa Saudi Arabia inauchochea utawala wa Kizayuni wa Israel uishambulie Lebanon kijeshi.

  • Misri yakataa kuburuzwa na Saudia; yapinga vikwazo  dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Misri yakataa kuburuzwa na Saudia; yapinga vikwazo dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Nov 08, 2017 04:22

    Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri amesisitiza kuwa, licha ya Saudi Arabia kuzitaka nchi za Kiarabu ziiwekee vikwazo Hizbullah ya Lebanon lakini Cairo haina nia kabisa ya kufanya hivyo.

  • Aalimu wa Kisuni: Njama chafu za Saudia na Israel dhidi ya Hizbullah zimegonga mwamba

    Aalimu wa Kisuni: Njama chafu za Saudia na Israel dhidi ya Hizbullah zimegonga mwamba

    Nov 03, 2017 01:11

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulama wa Muqawama amesema kuwa, njama chafu na mipango ya utawala wa Aal-Saud kwa kushirikiana na Israel na washirika wake wa Magharibi ya kujaribu kuihusisha na ugaidi Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon, imegonga mwamba na kufeli.

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kuendelea mapambano anuia dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kuendelea mapambano anuia dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 02, 2017 04:23

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei ametuma ujumbe katika Mkutano wa Pili wa Muungano wa Kimataifa wa Maulama wa Muqawama unaofanyika huko Lebanon akisistiza kudumishwa mapambano ya aina mbalimbali dhidi ya utawala vamizi na wa Kizayuni wa Israel kwa wale wote wanaohisi kubeba dhima na wajibu huo mkubwa.

  • Bin Salman: Tutaendeleza hujuma nchini Yemen, tunakusudia kuzuia isitokee Hizbullah nyingine

    Bin Salman: Tutaendeleza hujuma nchini Yemen, tunakusudia kuzuia isitokee Hizbullah nyingine

    Oct 26, 2017 11:51

    Mohammad bin Salman bin Abdulaziz Al Saud, Mrithi wa Kiti cha Ufalme nchini Saudia, ameahidi kuendeleza mashambulizi ya mauaji yanayofanywa na nchi yake kuilenga Yemen.

  • Lebanon yakamata genge la majasusi wa Mossad

    Lebanon yakamata genge la majasusi wa Mossad

    Oct 07, 2017 23:11

    Vikosi vya usalama vya Lebanon vimetangaza kukamata genge lenye mfungamano na shirika la kijasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel, Mossad.

  • Nasrullah: Israel itajuta kwa kutaka kulisukuma eneo katika vita

    Nasrullah: Israel itajuta kwa kutaka kulisukuma eneo katika vita

    Oct 01, 2017 11:59

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon ametahadharisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel chini ya 'jahili' Benjamin Netanyahu unataka kulisukuma eneo la Mashariki ya Kati katika vita.

  • Sheikh Naeem Qassim: Kuwepo matakfiri katika Mashariki ya Kati ni mpango wa Kizayuni

    Sheikh Naeem Qassim: Kuwepo matakfiri katika Mashariki ya Kati ni mpango wa Kizayuni

    Sep 28, 2017 04:27

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwepo matakfiri katika eneo la Mashariki ya Kati ni mpango wa kisiasa unaokamilisha mpango wa Wazayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS