-
Gazeti la Kiebrania la Haaretz: Israel imeidhinisha mpango wa kuondoa askari wake Ukanda wa Ghaza
Jan 12, 2025 23:56Gazeti la Kiebrania la Haaretz limeripoti kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeidhinisha mipango ya kuwaondoa wanajeshi katika Ukanda wa Ghaza, baada ya hatua zilizopigwa katika mazungumzo ya kubadilishana mateka na harakati ya Hamas.
-
Utawala wa Kizayuni wakiri kupata hasara kubwa kufuatia mashambulizi ya Hizbullah
Dec 04, 2024 08:48Mkuu wa kitongoji kimoja cha Wazayuni ameeleza kuwa zaidi ya asilimia 60 ya nyumba ndani ya kitongoji hicho zimeharibiwa na kubomoka kufuatia mashambulizi ya makombora ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
-
Abdul-Malik al-Houthi: Kupitia Hizbullah, Mwenyezi Mungu ametoa ushindi mwingine mkubwa dhidi ya adui Israel
Nov 29, 2024 04:18Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amepongeza ushindi wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon dhidi ya uvamizi na jinai za Israel dhidi ya nchi hiyo na kusema Mwenyezi Mungu ameruzuku ushindi mwingine wa kihistoria dhidi ya utawala wa Kizayuni.
-
Sababu za kusalia imara Muqawama-2
Nov 16, 2024 23:09Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya kipindi chetu cha leo ambacho kinaendelea kuzungumzia sababu za kuendelea kusimama imara kambi ya Muqawama dhidi ya mabeberu na utawala wa Kizayuni wa Israel...
-
Hizbullah yawatwanga kwa makombora wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Nov 05, 2024 23:01Wanamuqawama wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon wamevurumisha makombora katika kambi za kijeshi mahali walipokuwa wamekusanyika wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Israel yaililia Russia iwe mpatanishi kati yake na Hizbullah
Nov 02, 2024 07:44Israel sasa inaiasa Russia eti ishiriki katika 'juhudi za amani' zinazolenga kumaliza mzozo kati ya utawala huo wa Kizayuni na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
-
Hizbullah: Tumefanikiwa kuangamiza wanajeshi 95 wa Israel
Nov 01, 2024 07:00Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema zaidi ya maafisa na wanajeshi 95 wa Israel wameuawa na wengine wasiopungua 900 wamejeruhiwa tangu utawala huo ghasibu uanzishe operesheni ya nchi kavu dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Sheikh Qassem: Hizbullah itazima 'mpango mkubwa' wa Israel katika eneo
Oct 30, 2024 23:07Katibu Mkuu mpya wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la mapambano ya Kiislamu litaendelea kupambana kwa shabaha ya kusambaratisha njama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo zima la Asia Magharibi.
-
'Hizbullah iko katika mkao wa vita, siku ngumu zinaisubiri Israel'
Oct 14, 2024 10:13Kamanda Mkuu wa zamani wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ameuonya utawala haramu Israel kuhusu "siku ngumu" zijazo huku harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah ikijiimarisha kivita ili kukabiliana na uvamizi wa Israel.
-
Israel yateketeza mahema kwenye Hospitali ya Ghaza na kuwachoma moto Wapalestina wakiwa hai
Oct 14, 2024 02:42Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeishambulia kwa mabomu kambi ya wakimbizi katika eneo la kati la Ukanda wa Ghaza na kusababisha moto mkubwa uliopelekea kuuawa shahidi Wapalestina waliokuwa wametafuta hifadhi kwenye eneo hilo kutokana na hilaki ya vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala huo ghasibu.