Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Je, nini hatima ya kuipokonya silaha Hizbullah ya Lebanon?

    Je, nini hatima ya kuipokonya silaha Hizbullah ya Lebanon?

    Aug 17, 2025 05:21

    Katika wiki za hivi karibuni, mpango wa kuipokonya silaha Hizbullah nchini Lebanon umewasilishwa kwa mashinikizo ya Marekani na uungaji mkono wa utawala ghasibu wa Israel.

  • UK yampokea kiongozi wa Polisario ikiwa imeiunga mkono Morocco katika mzozo wa Sahara

    UK yampokea kiongozi wa Polisario ikiwa imeiunga mkono Morocco katika mzozo wa Sahara

    Aug 10, 2025 02:36

    Ujumbe wa Sahara Magharibi ukiongozwa na mwanadiplomasia mkuu wa Harakati ya Polisario umekutana na Waziri wa Uingereza anayehusika na Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini Hamish Falconer mjini London sambamba na kuongezeka juhudi za kimataifa za kuushughulikia mzozo wa Sahara Magharibi.

  • Hizbullah: Israel ilitaka kuisambaratisha Iran, lakini Tehran ikaibuka mshindi

    Hizbullah: Israel ilitaka kuisambaratisha Iran, lakini Tehran ikaibuka mshindi

    Jul 19, 2025 04:46

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa Israel ulikuwa ukitaka kuendeleza ajenda yake ya uharibifu dhidi ya Iran wakati wa vita vyake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu mwezi uliopita, lakini Tehran iliweza kuushinda utawala huo ghasibu.

  • Sheikh Naim  Qassim: Israel ni tishio la kistratejia kwa usalama wa eneo na dunia; Hizbullah haitaweka chini silaha

    Sheikh Naim Qassim: Israel ni tishio la kistratejia kwa usalama wa eneo na dunia; Hizbullah haitaweka chini silaha

    Jul 03, 2025 07:49

    Sheikh Naim Qassem, kiongozi wa harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah ameeleza kuwa Israel si tu kuwa inaikalia kwa mabavu Palestina bali ni tishio la kimkakati kwa Lebanon, Misri, Syria, Jordan, na ni tishio pia kwa amani na usalama wa kanda hii na dunia nzima kwa ujumla.

  • Katibu Mkuu wa Hizbullah: Iran ndiye mshindi wa Vita vya Siku 12

    Katibu Mkuu wa Hizbullah: Iran ndiye mshindi wa Vita vya Siku 12

    Jun 28, 2025 06:19

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Iran ndiye mshindi wa makabiliano baina yake na adui mzayuni.

  • Lebanon yakanusha madai ya kuwepo silaha katika ngome ya Hizbullah

    Lebanon yakanusha madai ya kuwepo silaha katika ngome ya Hizbullah

    Jun 09, 2025 11:12

    Jeshi la Lebanon linasema kuwa limekamilisha oparesheni zake za ukaguzi wa silaha na zana za kijeshi katika kitongoji cha Dahiyeh, kusini mwa Beirut, ngome ya Harakati ya Muqawama ya Hizbullah, bila kupata chochote cha kutia shaka.

  • Ijumaa, Juni 6, 2025

    Ijumaa, Juni 6, 2025

    Jun 06, 2025 02:18

    Leo ni Ijumaa 10 Mfunguo Tatu Dhulhija 1446 Hijria mwafaka na 6 Juni 2025 Milaadia.

  • Iran: Tutaendelea kuiunga mkono Lebanon kwa hali na mali

    Iran: Tutaendelea kuiunga mkono Lebanon kwa hali na mali

    Jun 05, 2025 06:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza utayarifu wa Jamhuri ya Kiislamu kuimarisha ushirikiano na Lebanon, alipokutana na Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah, Sheikh Naim Qassem mjini Beirut.

  • Hizbullah yapinga madai ya kuhusika na shambulio la maroketi

    Hizbullah yapinga madai ya kuhusika na shambulio la maroketi

    Mar 23, 2025 02:48

    Baada ya utawala wa Israel kudai kwamba maroketi 5 yalirushwa kuelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu jana Jumamosi, Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imekanusha kuhusika kivyovyote na shambulio hilo.

  • Hizbullah: Lebanon haitaanzisha katu uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni Israel

    Hizbullah: Lebanon haitaanzisha katu uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni Israel

    Mar 17, 2025 05:36

    Mwakilishi wa Hizbullah katika Bunge la Lebanon amesisitizia msimamo wa kudumu wa nchi hiyo kuhusiana na utawala wa Kizayuni wa Israel na akasema, Lebanon kamwe haitokubali kufuata mkondo wa kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala huo ghasibu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS