Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Hizbullah: Muqawama ni tishio kubwa kwa adui Mzayuni

    Hizbullah: Muqawama ni tishio kubwa kwa adui Mzayuni

    Apr 05, 2019 06:27

    Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, nguvu na uwezo wa muqawama ni tishio kubwa kwa adui Mzayuni.

  • Hizbullah: Kuna mgongano katika misimamo ya Arab League kuhusu namna ya kukabiliana na vitisho vya Israel

    Hizbullah: Kuna mgongano katika misimamo ya Arab League kuhusu namna ya kukabiliana na vitisho vya Israel

    Apr 02, 2019 07:55

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema, kuna mgongano katika misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kuhusu jinsi ya kukabiliana na vitisho dhidi ya ardhi za Kiarabu na za Kiislamu.

  • Nasrullah: Hatua ya Trump ya kuitambua miinuko ya Golan kuwa mali ya Israel ni kuutusi Ulimwengu wa Kiislamu

    Nasrullah: Hatua ya Trump ya kuitambua miinuko ya Golan kuwa mali ya Israel ni kuutusi Ulimwengu wa Kiislamu

    Mar 27, 2019 08:06

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua rasmi miinuko ya Golan kuwa ni mali na miliki ya utawala haramu wa Israel ni kuzitusi na kuzivunjia heshima nchi za Ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu.

  • Uungaji mkono wa mirengo yote ya Lebanon kwa Hizbullah na kudhalilika kwa Pompeo

    Uungaji mkono wa mirengo yote ya Lebanon kwa Hizbullah na kudhalilika kwa Pompeo

    Mar 25, 2019 07:33

    Siku ya Ijumaa, Mike Pompeo, waziri wa mambo ya nje wa Marekani, aliwasili mji mkuu wa Lebanon, Beirut kwa madhumuni ya kwenda kutafuta uungaji mkono wa shakhsia na makundi ya kisiasa ya nchi hiyo dhidi ya Hizbullah, lakini alikabiliwa na jibu moja la Walebanon la kuiunga mkono harakati hiyo ya muqawama.

  • Viongozi wa Lebanon wamueleza Pompeo: Hizbullah ni sehemu ya serikali na bunge la Lebanon

    Viongozi wa Lebanon wamueleza Pompeo: Hizbullah ni sehemu ya serikali na bunge la Lebanon

    Mar 23, 2019 07:41

    Maafisa wa serikali ya Lebanon, katika nyakati tofauti, wamemueleza Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Mike Pompeo kwamba, harakati ya muqawama ya Hizbullah ina nafasi katika serikali na bunge la nchi hiyo na kusisitiza kuwa, muqawama ni ngome imara ya kukabiliana na uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na Wazayuni.

  • Hizbullah ya Lebanon: Oparesheni ya Silfit ni dhihirisho la uwezo wa wanamapambano wa Palestina

    Hizbullah ya Lebanon: Oparesheni ya Silfit ni dhihirisho la uwezo wa wanamapambano wa Palestina

    Mar 19, 2019 06:47

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) imeitaja oparesheni iliyofanywa na wanamuqawama wa Palestina dhidi ya Wazayuni huko Silfit kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni liwa ni nukta adhimu katika maendeleo ya muqawama na ni ishara ya uwezo wa wanamuqawama hao mbele ya jinai za Israel.

  • Sisitizo la Sayyid Hassan Nasrullah la kuzishinda njama za Marekani Mashariki ya Kati

    Sisitizo la Sayyid Hassan Nasrullah la kuzishinda njama za Marekani Mashariki ya Kati

    Mar 10, 2019 01:19

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) amesema kuwa mwaka 2006 Marekani ilikuwa na njama na mipango mikubwa ya kuumaliza muqawama hata hivyo njama zote hizo zimefeli kutokana na kuwa imara na kuwa macho wanamuqawama.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Uimara wa muqawama umesambaratisha njama zote za Marekani

    Sayyid Hassan Nasrullah: Uimara wa muqawama umesambaratisha njama zote za Marekani

    Mar 09, 2019 04:46

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, Marekani ilikuwa na njama kubwa tofauti kwa ajili ya kuhitimisha muqawama mwaka 2006, lakini uimara wa muqawama ukafanikisha kusambaratisha njama zote hizo.

  • Sababu na malengo ya Uingereza ya kuitaja  Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi

    Sababu na malengo ya Uingereza ya kuitaja Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi

    Mar 03, 2019 07:31

    Sajid Javid Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza aliwahi kusema kuwa ataliweka tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah katika orodha ya makundi ya kigaidi. Mpango huo ulipasishwa na bunge la Uingereza juzi tarehe Mosi Machi na sasa umeingia katika marhala ya utekelezaji.

  • Qassemi: Uingereza haiwezi kudhoofisha irada ya Hizbullah ya kupambana na ugaidi na Israel

    Qassemi: Uingereza haiwezi kudhoofisha irada ya Hizbullah ya kupambana na ugaidi na Israel

    Mar 02, 2019 15:42

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hatua iliyochukuliwa hivi karibuni na Uingereza ya kuiweka harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah kwenye orodha ya makundi ya kigaidi na kusisitiza kuwa, hatua za aina hiyo zinazochukuliwa na serikali ya London hazitadhoofisha msimamo wa harakati hiyo wa kupambanana na "ugaidi na Uzayuni."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS