Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Hizbullah: Tutabakia Syria hadi magaidi wote waangamizwe

    Hizbullah: Tutabakia Syria hadi magaidi wote waangamizwe

    Dec 30, 2016 07:03

    Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah amesema wanamapambano wa muqawama wako nchini Syria katika fremu ya ushirikiano na serikali ya Damascus na kusisitiza kuwa wataendelea kubakia nchini humo hadi magaidi watakapotokomezwa kikamilifu.

  • Nasrullah: Muqawama utavunja njama za mabeberu

    Nasrullah: Muqawama utavunja njama za mabeberu

    Dec 28, 2016 02:50

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah amesema muqawama na kusimama kidete kutasambaratisha njama za madola ya kibeberu na kiistikbari katika nchi za Syria, Iraq na Lebanon.

  • Sheikh Naeem Qassim: Hizbullah itaipigia kura ya imani serikali mpya ya Lebanon

    Sheikh Naeem Qassim: Hizbullah itaipigia kura ya imani serikali mpya ya Lebanon

    Dec 27, 2016 04:42

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema wabunge wa mrengo wa muqawama wataipigia kura ya imani serikali mpya ya Lebanon.

  • Hizbullah yasisitiza kuendeleza mapambano dhidi ya magaidi hadi kuwaangamiza kikamilifu

    Hizbullah yasisitiza kuendeleza mapambano dhidi ya magaidi hadi kuwaangamiza kikamilifu

    Nov 25, 2016 15:11

    Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon imesisitiza juu ya kuendeleza mapambano dhidi ya makundi ya kigaidi na kitakfiri na kuyatokomeza kikamilifu.

  • Hizbullah yasema Trump ni mtu mwenye chuki na ubaguzi

    Hizbullah yasema Trump ni mtu mwenye chuki na ubaguzi

    Nov 23, 2016 08:05

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuchaguliwa mwanasiasa mwenye chuki na ubaguzi nchini Marekani kwa upande mmoja; na maandamano ya nchi nzima ya kulalamikia ushindi wa bilionea huyo kwa upande mwingine, ni dhihirisho kuwa nchi hiyo iko katika mgogoro mkubwa.

  • Hizbullah: Tuna matumaini ya kuwa na

    Hizbullah: Tuna matumaini ya kuwa na "Mashariki ya Kati Yenye Muqawama"

    Nov 19, 2016 15:39

    Sayyid Hashim Safiyyuddin, mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema ushindi na kujitolea mhanga Ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu kutawezesha kujengwa mustakabali wenye kung'ara kwa Umma wa Kiislamu na kuanzishwa "Mashariki ya Kati Yenye Muqawama".

  • Hizbullah yampongeza Aoun kuchaguliwa kuwa rais mpya Lebanon

    Hizbullah yampongeza Aoun kuchaguliwa kuwa rais mpya Lebanon

    Nov 04, 2016 15:49

    Katibu Mkuu wa Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amempongeza Michel Aoun kwa kuchaguliwa kuwa rais mpya wa Lebanon na kusisitiza kuwa, harakati hiyo imekuwa ikilimbikiziwa tuhuma za uongo kuwa imekuwa kizingiti cha kufanyika uchaguzi nchini humo kwa takriban miaka miwili na nusu.

  • Nasrallah: Hizbullah imezuia Lebanon kutumbukia katika mgogoro

    Nasrallah: Hizbullah imezuia Lebanon kutumbukia katika mgogoro

    Oct 30, 2016 04:38

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah , Sayyed Hassan Nasrallah amesema harakati hiyo imeizuia Lebanon kutumbukia katika migogoro inayoendelea sasa Mashariki ya Kati na kwamba jitihada zinahitajika kulinda uthabiti huo.

  • Sisitizo la Katibu Mkuu wa Hizbullah juu ya ulazima wa kuwa macho na chokochoko za Marekani

    Sisitizo la Katibu Mkuu wa Hizbullah juu ya ulazima wa kuwa macho na chokochoko za Marekani

    Oct 13, 2016 02:44

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa Marekani ina mkono katika migogoro na machafuko yanayoendelea kushuhudiwa katika eneo la Mashariki ya Kati na amewataka wananchi na viongozi wa mataifa ya eneo hili kuwa macho na njama za Washington na washirika wake za kushadidisha machafuko na migogoro hiyo.

  • Kiongozi mkubwa wa genge la Daesh (SISI) atiwa mbaroni kusini mwa Lebanon

    Kiongozi mkubwa wa genge la Daesh (SISI) atiwa mbaroni kusini mwa Lebanon

    Sep 22, 2016 13:37

    Kiongozi wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (SIS) ametiwa mbaroni katika kambi ya wakimbizi ya Ain al-Hilweh, kusini mwa Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS