Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Hizbullah: Utawala wa Saudia uache kiburi na utazame upya siasa zake

    Hizbullah: Utawala wa Saudia uache kiburi na utazame upya siasa zake

    Sep 09, 2016 14:50

    Mrengo wa Harakati ya Hizbullah katika Bunge la Lebanon umetangaza kuwa, utawala wa Saudi Arabia unapaswa kutazama upya siasa zake.

  • Hizbullah ya Lebanon: Hali ilivyo ni kwa manufaa ya serikali na wananchi wa Syria

    Hizbullah ya Lebanon: Hali ilivyo ni kwa manufaa ya serikali na wananchi wa Syria

    Sep 05, 2016 04:23

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema hali ilivyo hivi sasa nchini Syria ni kwa manufaa ya serikali na wananchi wa nchi hiyo.

  • Hizbullah ya Lebanon: Ugaidi wa kitakfiri ni mpango mbadala wa kukabiliana na muqawama

    Hizbullah ya Lebanon: Ugaidi wa kitakfiri ni mpango mbadala wa kukabiliana na muqawama

    Aug 21, 2016 15:18

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, ugaidi wa kitakfiri ni mpango mbadala wa kuja kuchukua nafasi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika kukabiliana na muqawama na mapambano ya wananchi.

  • Hizbullah yatoa onyo kwa uchokozi mpya wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon

    Hizbullah yatoa onyo kwa uchokozi mpya wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon

    Aug 19, 2016 08:04

    Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imetoa taarifa ya kulaani uchokozi na chokochoko mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mamlaka ya kujitawala ya Lebanon katika mashamba ya Shab'a.

  • Sheikh Nabil Qaouk: Saudi Arabia haina ubavu wa kukabiliana na Hizbullah

    Sheikh Nabil Qaouk: Saudi Arabia haina ubavu wa kukabiliana na Hizbullah

    Aug 09, 2016 04:28

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon kwa mara nyingine tena amekosoa vikali siasa za kuharibu mambo za utawala wa Saudi Arabia katika Mashariki ya Kati.

  • Hizbullah: Saudia inarejesha uhusiano na Israel bila gharama

    Hizbullah: Saudia inarejesha uhusiano na Israel bila gharama

    Jul 30, 2016 06:08

    Katibu Mkuu wa harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa vikali safari ya maafisa wa ngazi za juu wa serikali ya Saudi Arabia katika utawala wa Kizayuni wa Israel wiki jana na kusisitiza kuwa Riyadh inahuisha uhusiano wake na Tel Aviv pasina na kuzingatia maslahi ya Wapalestina.

  • Uingereza yakiri, Hizbullah ina nafasi chanya nchini Lebanon

    Uingereza yakiri, Hizbullah ina nafasi chanya nchini Lebanon

    Jul 25, 2016 04:52

    Balozi wa Uingereza mjini Bairut amesema kuwa, ni jambo lisilofaa kuilaumu harakati ya Hizbullah ya Lebanon kwa kushiriki katika vita dhidi ya wapiganaji wa kundi la Daesh nchini Syria.

  • Hizbullah yalaani kuchinjwa mtoto Abdullah wa Kipalestina na magaidi wa Syria + Video

    Hizbullah yalaani kuchinjwa mtoto Abdullah wa Kipalestina na magaidi wa Syria + Video

    Jul 21, 2016 08:20

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali jinai ya kutisha iliyofanywa na kundi la kigaidi la Harakati ya Nureddin al-Zenki ya kumchinja mtoto wa Kipalestina.

  • Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon

    Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon

    Jun 28, 2016 07:37

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ameikosoa vikali Saudi Arabia kwa kukwamisha mikakati ya kisiasa sambamba na kuzuia juhudi za kufanyika uchaguzi wa rais nchini Lebanon.

  • Vifaa vya ujasusi vya Israel vyanaswa na jeshi la Lebanon katika milima ya nchi hiyo

    Vifaa vya ujasusi vya Israel vyanaswa na jeshi la Lebanon katika milima ya nchi hiyo

    Jun 08, 2016 07:42

    Kamandi ya jeshi la Lebanon imetangaza kunasa na kusambaratisha mfumo wa kijasusi wa utawala haramu wa Kizayuni katika miinuko ya al-Barouk nchini humo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS