-
Alkhamisi tarehe 23 Septemba 2021
Sep 23, 2021 00:42Leo ni Alkhamisi tarehe 16 Safar 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 23 Septemba 2021.
-
Ijumaa tarehe 25 Jun 2021
Jun 24, 2021 22:57Leo ni Ijumaa tarehe 14 Dhulqaada 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 25 Juni mwaka 2021.
-
Wiki ya Imam Khomeini yaadhimishwa nchini Nigeria
Jun 07, 2021 22:22Wanafunzi Waislamu wa Vyuo Vikuu na taasisi za elimu ya juu za Nigeria wameandaa Wiki ya Imam Ruhullah Khomeini, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika jimbo la Bauchi, kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Taathira za fikra za Imam Khomeini MA katika eneo la Asia Magharibi
Jun 04, 2021 05:05Ijumaa ya leo ya tarehe 4 Juni imesadifiana na mwaka wa 32 wa kufariki dunia mwasisi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Moja ya maudhui muhimu zinazozungumziwa leo hii ni taathira za fikra na sira ya Imam Khomeini MA katika eneo zima la Asia Magharibi.
-
Rambirambi katika kumbukumbu ya kuaga dunia Imam Khomeini (MA) Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Jun 03, 2021 22:25Leo Ijumaa tarehe 14 Khordad mwaka 1400 Hijria Shamsiya sawa na 23 Shawwal 1442 Hijria Qamariya sawa Juni 4 2021 inasadifiana na mwaka wa 32 tokea alipoaga dunia Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu-Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Zarif: Wananchi wa Iran leo wanasimama kwa heshima licha ya vizingiti vingi
Jun 02, 2021 23:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lichqa ya kuwepo aina mbalimbali za njama za madola makubwa ya kibeberu, wananchi wa Iran hii leo wanasimama kidete na kwa heshima.
-
Alkhamisi tarehe 3 Juni 2021
Jun 02, 2021 22:02Leo ni Alkhamisi tarehe 22 Shawwal 1442 Hijria sawa na Juni 3 mwaka 2021.
-
Ijumaa tarehe 19 Februari 2021
Feb 18, 2021 22:54Leo ni Ijumaa tarehe 7 Rajab 1442 Hijria sawa na Februari 19 mwaka 2021.
-
Jumatano, 3 Februari, 2021
Feb 02, 2021 23:00Leo ni Jumatano tarehe 20 Mfunguo Tisa Jamadithani mwaka 1442 Hijria sawa na tarehe Tatu Februari 2021 Miladia.
-
Jumatano, Januari 27, 2021
Jan 26, 2021 23:11Leo ni Jumatano tarehe 13 Mfunguo Tisa Jamadithani 1442 Hijria mwafaka na tarehe 27 Januari 2021 Miladia.