-
Wasiwasi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya
Jul 09, 2020 21:54Vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Libya vimechukua sura mpya na tata na hasa kufuatia uamuzi wa wapiganaji wanaojiita Jeshi la Kitaifa la Libya linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wa kuanzisha hujuma ya kuuteka mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, mnamo mwezi Aprili 2019 na uingiliaji wa nchi za kigeni kwa ajili ya kuziunga mkono pande hasimu katika mgogoro huo.
-
Uturuki: Imarati imefanya jinai za kivita na mauaji ya kimbari huko Yemen
Jul 03, 2020 05:16Mwakilishi wa kudumu Uturuki katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) imefanya jinai za kivita na mauaji ya kimbari katika vita vya Yemen.
-
Uturuki: Ufaransa imefumbia macho jinai zinazofanywa na UAE, Misri nchini Libya
Jul 01, 2020 21:45Balozi wa Uturuki mjini Paris ameituhumu Ufaransa kuwa inaegemea upande mmoja na kwamba imefumbia macho jinai zinazofanywa na Umoja wa Falme za Kiarabu na Misri nchini Libya.
-
The Guardian: Maafa ya korokoro zinazosimamiwa na Imarati huko Yemen yanatisha
Jul 01, 2020 03:36Gazeti la The Guardian la Uingereza limemulika ripoti ya mashirika ya kutetea haki za binadamu ambayo imefichua ukiukaji wa kutisha wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya raia wa Yemen katika jela na korokoro zisizo rasmi hususan zile zinazosimamiwa na makundi ya wanamgambo wanaosaidiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Ansarullah: Saudia na Imarati zinashirikiana na Israel dhidi ya Waislamu
Jun 19, 2020 23:33Kiongozi wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amezionya vikali Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya kuendeleza njama za kutaka kuufanya wa kawaida uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kwamba, Riyadh na Abu Dhabi zinashirikiana na Tel Aviv ambayo inajulikana ni adui mkubwa wa ulimwengu wa Kiislamu.
-
Uturuki: UAE inataka kuchochea uasi dhidi ya serikali za Afrika
Jun 19, 2020 23:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ameutuhumu Umoja wa Falme za Kiarabu kuwa unapania kuchochea harakati za uasi dhidi ya serikali katika nchi za Afrika.
-
Hamas yakosoa UAE kwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni
Jun 13, 2020 03:05Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amemkosoa Yousef Al Otaiba Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini Washington, Marekani ambaye anafanya juu chini kutafuta nukta za pamoja baina ya nchi yake na utawala ghasibu wa Israel huku akiomba kuwepo uhusiano wa kawaida baina ya nchi yake na utawala huo.
-
Tamim: Wakati umefika wa kuweka wazi uhusiano wa Israel na Waarabu
Jun 07, 2020 22:05Mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi la Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu ameibua mijadala na wimbi la malalamiko baada ya kutoa mwito kwa nchi za Kiarabu kuufanya wa kawaida uhusiano wao na utawala haramu wa Israel.
-
Ripoti ya UN: Wayemeni zaidi ya milioni 20 wanakabiliwa na hatari ya kupatwa na corona
Jun 05, 2020 03:22Shirika la Programu na Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limetangaza kuwa, zaidi ya Wayemeni milioni 20 wanasumbuliwa na njaa ya muda mrefu na wamo katika hatari ya kupatwa na virusi vya corona.
-
Palestina yakataa misaada ya Imarati iliyotumwa kupitia Tel Aviv
May 22, 2020 03:32Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa kupokea misaaada iliyotumwa nchini humo na Umoja wa Falme za Kiarabu kupitia uwanja wa ndege wa Tel Aviv.