Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Wasiwasi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya

    Wasiwasi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya

    Jul 09, 2020 21:54

    Vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Libya vimechukua sura mpya na tata na hasa kufuatia uamuzi wa wapiganaji wanaojiita Jeshi la Kitaifa la Libya linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar wa kuanzisha hujuma ya kuuteka mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli, mnamo mwezi Aprili 2019 na uingiliaji wa nchi za kigeni kwa ajili ya kuziunga mkono pande hasimu katika mgogoro huo.

  • Uturuki: Imarati imefanya jinai za kivita na mauaji ya kimbari huko Yemen

    Uturuki: Imarati imefanya jinai za kivita na mauaji ya kimbari huko Yemen

    Jul 03, 2020 05:16

    Mwakilishi wa kudumu Uturuki katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) imefanya jinai za kivita na mauaji ya kimbari katika vita vya Yemen.

  • Uturuki: Ufaransa imefumbia macho jinai zinazofanywa na UAE, Misri nchini Libya

    Uturuki: Ufaransa imefumbia macho jinai zinazofanywa na UAE, Misri nchini Libya

    Jul 01, 2020 21:45

    Balozi wa Uturuki mjini Paris ameituhumu Ufaransa kuwa inaegemea upande mmoja na kwamba imefumbia macho jinai zinazofanywa na Umoja wa Falme za Kiarabu na Misri nchini Libya.

  • The Guardian: Maafa ya korokoro zinazosimamiwa na Imarati huko Yemen yanatisha

    The Guardian: Maafa ya korokoro zinazosimamiwa na Imarati huko Yemen yanatisha

    Jul 01, 2020 03:36

    Gazeti la The Guardian la Uingereza limemulika ripoti ya mashirika ya kutetea haki za binadamu ambayo imefichua ukiukaji wa kutisha wa haki za binadamu unaofanywa dhidi ya raia wa Yemen katika jela na korokoro zisizo rasmi hususan zile zinazosimamiwa na makundi ya wanamgambo wanaosaidiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).

  • Ansarullah: Saudia na Imarati zinashirikiana na Israel dhidi ya Waislamu

    Ansarullah: Saudia na Imarati zinashirikiana na Israel dhidi ya Waislamu

    Jun 19, 2020 23:33

    Kiongozi wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amezionya vikali Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya kuendeleza njama za kutaka kuufanya wa kawaida uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kwamba, Riyadh na Abu Dhabi zinashirikiana na Tel Aviv ambayo inajulikana ni adui mkubwa wa ulimwengu wa Kiislamu.

  • Uturuki: UAE inataka kuchochea uasi dhidi ya serikali za Afrika

    Uturuki: UAE inataka kuchochea uasi dhidi ya serikali za Afrika

    Jun 19, 2020 23:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ameutuhumu Umoja wa Falme za Kiarabu kuwa unapania kuchochea harakati za uasi dhidi ya serikali katika nchi za Afrika.

  • Hamas yakosoa UAE kwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni

    Hamas yakosoa UAE kwa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni

    Jun 13, 2020 03:05

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amemkosoa Yousef Al Otaiba Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini Washington, Marekani ambaye anafanya juu chini kutafuta nukta za pamoja baina ya nchi yake na utawala ghasibu wa Israel huku akiomba kuwepo uhusiano wa kawaida baina ya nchi yake na utawala huo.

  • Tamim: Wakati umefika wa kuweka wazi uhusiano wa Israel na Waarabu

    Tamim: Wakati umefika wa kuweka wazi uhusiano wa Israel na Waarabu

    Jun 07, 2020 22:05

    Mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi la Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu ameibua mijadala na wimbi la malalamiko baada ya kutoa mwito kwa nchi za Kiarabu kuufanya wa kawaida uhusiano wao na utawala haramu wa Israel.

  • Ripoti ya UN: Wayemeni zaidi ya milioni 20 wanakabiliwa na hatari ya kupatwa na corona

    Ripoti ya UN: Wayemeni zaidi ya milioni 20 wanakabiliwa na hatari ya kupatwa na corona

    Jun 05, 2020 03:22

    Shirika la Programu na Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limetangaza kuwa, zaidi ya Wayemeni milioni 20 wanasumbuliwa na njaa ya muda mrefu na wamo katika hatari ya kupatwa na virusi vya corona.

  • Palestina yakataa misaada ya Imarati iliyotumwa kupitia Tel Aviv

    Palestina yakataa misaada ya Imarati iliyotumwa kupitia Tel Aviv

    May 22, 2020 03:32

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa kupokea misaaada iliyotumwa nchini humo na Umoja wa Falme za Kiarabu kupitia uwanja wa ndege wa Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS