-
Msuguano baina na UAE na Saudia washtadi kusini mwa Yemen
Apr 26, 2020 03:17Siku chache baada ya kuvunjika mazungumzo baina ya serikali iliyojiuzulu ya Yemen ya Abdrabbuh Mansur Hadi inayoungwa mkono na Saudi Arabia na Baraza la Mpito la Kusini linaloungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu, vibaraka hao wa Imarati wamejitangazia mamlaka ya ndani katika mikoa ya kusini mwa nchi hiyo maskini ya Kiarabu iliyozama kwenye dimbwi la vita.
-
Libya: Watawala wa Imarati ndio wanaosababisha maafa nchini mwetu
Apr 23, 2020 07:08Waziri wa Mambo ya Ndani wa Serikali ya Maridhiano ya Kitaifa ya Libya amesema kuwa, watawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ndio wanaosababisha maafa nchini Libya kutokana na wanamgambo wake walioko chini ya jenerali muasi Khalifa Haftar kutumia gesi za sumu katika mashambulizi yao.
-
Mamluki wa Saudia na Imarati watishiana vita Yemen
Apr 19, 2020 03:14Kundi la watu wanaopigania kujitenga kusini mwa Yemen linaloungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu limetoa onyo kali la kuingia vitani na mamluki wa Saudi Arabia, huku migawanyiko baina ya pande mbili hizo ikiendelea kupanuka.
-
UAE yanunua mfumo wa makombora wa Israel na kuwapa wapiganaji wa Haftar
Apr 12, 2020 23:08Umoja wa Falme za Kiarabu umenunua mfumo wa kisasa wa makombora kutoka utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa ajili ya kuwapa wanamgambo wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar.
-
Vibaraka wa Imarati wapigana kusini mwa Yemen
Mar 25, 2020 07:53Duru za habari zimeripoti kujiri mapigano makali kati ya wanamgambo vibaraka wa Imarati katika mji wa Aden, kusini mwa Yemen.
-
The Guardian: Imarati imempatia Haftari tani 5,000 za silaha
Mar 12, 2020 23:20Ripoti iliyoandikwa na gazeti la Guardian la Uingereza imefichua kuwa, nchi ya Umoja wa Falme wa Kiarabu (Imarati) imempatia jenerali mstaafu wa Libya, Khalifa Haftar tani elfu tano za silaha tangu mwezi Januari mwaka huu.
-
Mkuu wa Jumuiya ya kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu: Imarati inaeneza chuki na uharibifu duniani
Feb 28, 2020 23:12Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Kiislamu ameishambulia vikali Imarati akiituhumu kuwa inaeneza vita, njama na vinyongo katika pembe mbalimbali za dunia.
-
Imarati yawatumia wapiganaji wa Haftar ndege 100 zilizosheheni silaha
Feb 25, 2020 04:30Imebainika kuwa, ndege 100 za mizigo zilizosheheni silaha na zana za kijeshi zimewasili nchini Libya zikitokea Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Vijana wa Sudan wasimulia jinsi Abu Dhabi ilivyowapeleka kupigana vita Libya
Feb 15, 2020 23:21Vijana wa Kisudan waliorejea makwao hivi karibuni wamesimulia jinsi walivyohadaiwa na kampuni ya Black Shield Security Services iliyowaahaidi kuwapa kazi za ulinzi na badala yake walijikuta wakipewa mafunzo ya kijeshi yasiyooana na kazi zao na kupelekwa bila ya kujua huko Libya na Yemen kupigana vita.
-
Maafisa wa Imarati wafunguliwa mashtaka ya kufanya uhalifu wa kivita huko Yemen
Feb 13, 2020 07:58Shirika moja la mawakili la Uingereza limefungua mashtaka dhidi ya maafisa wa serikali ya Imarati kwa tuhuma za kutenda jinai za kivita nchini Yemen.