-
Wakati Waislamu Kashmir wanakandamizwa, UAE yamtunukia Waziri Mkuu wa India nishani ya juu kabisa ya uraia wa heshima
Aug 25, 2019 07:59Hatua ya serikali ya Imarati (UAE) ya kumtunukia Waziri Mkuu wa India Narendra Modi nishani ya juu kabisa ya uraia wa heshima imeamsha moto mkubwa wa malalamiko na ukosoaji wa wanaharakati wa kutetea haki kutokana na ukandamizaji unaoendelea kufanywa na serikali yake dhidi ya Waislamu wa eneo la Kashmir.
-
Wayemeni watolewa mwito wa kuendelea kukabiliana na "Ukoloni wa Saudia na Imarati"
Aug 25, 2019 07:57Kiongozi wa serikali ya uokovu wa kitaifa ya Yemen Abdulaziz bin Habtoor ametoa mwito wa kukabiliana na kile alichokiita Ukoloni wa Saudi Arabia na Imarati.
-
Los Angeles Time: Saudia haina uwezo wa kushinda vita nchini Yemen
Aug 12, 2019 22:03Gazeti la Los Angeles Time limekosoa uvamizi wa kijeshi uliofanywa na Saudi Arabia nchini Yemen na kueleza kwamba haitawezekana kwa utawala wa Aal Saud kushinda vita hivyo.
-
Vibaraka wa Imarati na Saudia waendelea kutwangana risasi katika mji wa Aden, Yemen
Aug 09, 2019 20:48Mapigano yamezuka tena katika mji wa Aden kati ya vikosi vya baraza la mpito la kusini lenye mfungamano na Imarati na vile vilivyo tiifu kwa Abdrabbuh Mansur Hadi, rais wa Yemen aliyejiuzulu, ambavyo vinaungwa mkono na Saudi Arabia.
-
Ripoti: Imarati imeondoa askari wake Yemen kwa sababu Saudia haitashinda vita
Aug 03, 2019 22:35Ripoti iliyofichuliwa hivi karibuni imebaini kuwa Imarati ambayo ni mshirika muhimu katika muungano wa vita vya Saudi Arabia nchini Yemen imeamua kuondoa majeshi yake nchini humo kwa sababu ni muhali kuweza kushinda vita hivyo.
-
Iran na Imarati zasisitiza kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kudhamini usalama wa Ghuba ya Uajemi
Jul 30, 2019 20:46Kamanda wa kikosi cha walinzi wa mpakani cha jeshi la Polisi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kamanda wa gadi ya pwani ya Imarati wamesisitizia kuimarishwa uhusiano wa kidiplomasia wa nchi mbili na kudhaminiwa usalama wa Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman.
-
Trump aupiga veto muswada wa Congress wa kupiga marufuku uuzaji silaha kwa Saudia na Imarati
Jul 25, 2019 21:06Katika juhudi za kuzifanya siasa zake za nje kuwa za kibiashara zaidi, Rais Donald Trump wa Marekani amelipa kipaumbele suala la mauzo ya silaha za nchi hiyo.
-
Congress ya Marekani yapasisha muswada wa kupiga marufuku mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati.
Jul 19, 2019 21:56Katika juhudi za kuwaunga mkono washirika wake wa kieneo na kunufaika kifedha na mauzo ya silaha, serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ilitangaza hali ya hatari bandia ya kitaifa kwa lengo la kukwepa vikwazo vya kisheria vya bunge la nchi hiyo na hivyo kupata mwanya wa kuziuzia Saudia, Imarati na Jordan silaha za thamani ya dola bilioni 8.
-
Njama za Imarati na Marekani za kuibambikizia kesi Ikhwanul Muslimin zafichuliwa
Jul 17, 2019 08:27Naibu Mkuu wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri amefichua kile kilichojadiliwa katika mazungumzo yake na maafisa kadhaa wa nchi za nje katika jela muda mfupi baada ya mapinduzi ya kijeshi ya mwezi Julai 2013 nchini Misri.
-
Saudia yakasirishwa na Imarati kupunguza askari wake Yemen
Jul 12, 2019 10:44Watawala wa Saudi Arabia wameghadhabishwa mno na kitendo cha Umoja wa Falme za Kiarabu cha kuwaondosha nchini Yemen idadi kubwa ya wanajeshi wake.