Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Njama za Imarati na Marekani za kuibambikizia kesi Ikhwanul Muslimin zafichuliwa

    Njama za Imarati na Marekani za kuibambikizia kesi Ikhwanul Muslimin zafichuliwa

    Jul 17, 2019 08:27

    Naibu Mkuu wa harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri amefichua kile kilichojadiliwa katika mazungumzo yake na maafisa kadhaa wa nchi za nje katika jela muda mfupi baada ya mapinduzi ya kijeshi ya mwezi Julai 2013 nchini Misri.

  • Saudia yakasirishwa na Imarati kupunguza askari wake Yemen

    Saudia yakasirishwa na Imarati kupunguza askari wake Yemen

    Jul 12, 2019 10:44

    Watawala wa Saudi Arabia wameghadhabishwa mno na kitendo cha Umoja wa Falme za Kiarabu cha kuwaondosha nchini Yemen idadi kubwa ya wanajeshi wake.

  • Omar Sahabou: Imarati ina woga wa wimbi la demokrasia

    Omar Sahabou: Imarati ina woga wa wimbi la demokrasia

    Jul 06, 2019 21:53

    Mwanasiasa mashuhuri wa Tunisia kutoka chama cha Nidaa Tunis amesema kuwa serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu ina woga wa kupenya demokrasia na kuingia nchini humo; kwa sababu hiyo inafanya jitihada za kuangamiza demokrasia nchini Tunisia.

  • Imarati yaondoa idadi kubwa ya askari wake kutoka Yemen

    Imarati yaondoa idadi kubwa ya askari wake kutoka Yemen

    Jun 28, 2019 23:30

    Umoja wa Falme za Kiarabu umewaondosha nchini Yemen idadi kubwa ya wanajeshi wake.

  • Balozi wa Imarati Tehran aitwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    Balozi wa Imarati Tehran aitwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    Jun 22, 2019 22:58

    Baada ya ndege ya Marekani kuingia katika anga ya Iran na kufanya ujasusi ikitokea katika kambi moja ya kijeshi ya Marekani huko Imarati, balozi mdogo wa Umoja wa Falme za Kiarabu hapa Tehran ameitwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ili kukabidhiwa malalamiko ya Tehran juu ya kwa nini Abu Dhabi inaruhusu ardhi yake kutumiwa kufanya ujasusi dhidi ya majirani zake.

  • Baada ya vitisho vya Answarullah, Imarati yaondoa vifaru vyake kusini mwa Yemen

    Baada ya vitisho vya Answarullah, Imarati yaondoa vifaru vyake kusini mwa Yemen

    Jun 22, 2019 07:36

    Habari kutoka nchini Yemen zinasema kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ambayo ni mmoja wa wavamizi wakuu wa ardhi ya Yemen umeondoa vifaru vyake 20 katika mji wa Aden wa kuisni mwa Yemen.

  • Qatar yasisitiza kuwa sera za Saudia ni haribifu katika eneo la Asia Magharibi

    Qatar yasisitiza kuwa sera za Saudia ni haribifu katika eneo la Asia Magharibi

    Jun 12, 2019 03:38

    Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar akiwa safarini nchini Uingereza amesema: "Saudi Arabia ni nguvu ya uharibifu katika eneo lote la Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) na Afrika."

  • Zarif: Imarati inajaribu kuwa Israel ya pili katika Mashariki ya Kati

    Zarif: Imarati inajaribu kuwa Israel ya pili katika Mashariki ya Kati

    Jun 12, 2019 03:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema katika mahojiano na televisheni ya al Arabi kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unatumia mabilioni ya dola kununua silaha huku ukifanya jitihada za kujaribu kuwa Israel ya pili katika eneo.

  • Qatar: Saudia na Imarati zinachochea ugaidi na taharuki katika eneo

    Qatar: Saudia na Imarati zinachochea ugaidi na taharuki katika eneo

    Jun 10, 2019 03:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammed bin Abdulrahman Aal Thani amesema sera za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabi zinashadidisha ugaidi na kuchochea taharuki katika eneo la Asia Magharibi na barani Afrika.

  • Uchochezi wa Saudi Arabia na Imarati katika mgogoro wa Sudan

    Uchochezi wa Saudi Arabia na Imarati katika mgogoro wa Sudan

    Jun 09, 2019 02:50

    Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan ulishadidi Juni 3 baada ya wanajeshi kuwashambulia waandamanaji waliokuwa wamekusanyija nje ya makao makuu ya jeshi ambapo raia zaidi ya 100 waliuawa katika vurumai hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS