Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Omar Sahabou: Imarati ina woga wa wimbi la demokrasia

    Omar Sahabou: Imarati ina woga wa wimbi la demokrasia

    Jul 06, 2019 21:53

    Mwanasiasa mashuhuri wa Tunisia kutoka chama cha Nidaa Tunis amesema kuwa serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu ina woga wa kupenya demokrasia na kuingia nchini humo; kwa sababu hiyo inafanya jitihada za kuangamiza demokrasia nchini Tunisia.

  • Imarati yaondoa idadi kubwa ya askari wake kutoka Yemen

    Imarati yaondoa idadi kubwa ya askari wake kutoka Yemen

    Jun 28, 2019 23:30

    Umoja wa Falme za Kiarabu umewaondosha nchini Yemen idadi kubwa ya wanajeshi wake.

  • Balozi wa Imarati Tehran aitwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    Balozi wa Imarati Tehran aitwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

    Jun 22, 2019 22:58

    Baada ya ndege ya Marekani kuingia katika anga ya Iran na kufanya ujasusi ikitokea katika kambi moja ya kijeshi ya Marekani huko Imarati, balozi mdogo wa Umoja wa Falme za Kiarabu hapa Tehran ameitwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ili kukabidhiwa malalamiko ya Tehran juu ya kwa nini Abu Dhabi inaruhusu ardhi yake kutumiwa kufanya ujasusi dhidi ya majirani zake.

  • Baada ya vitisho vya Answarullah, Imarati yaondoa vifaru vyake kusini mwa Yemen

    Baada ya vitisho vya Answarullah, Imarati yaondoa vifaru vyake kusini mwa Yemen

    Jun 22, 2019 07:36

    Habari kutoka nchini Yemen zinasema kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ambayo ni mmoja wa wavamizi wakuu wa ardhi ya Yemen umeondoa vifaru vyake 20 katika mji wa Aden wa kuisni mwa Yemen.

  • Qatar yasisitiza kuwa sera za Saudia ni haribifu katika eneo la Asia Magharibi

    Qatar yasisitiza kuwa sera za Saudia ni haribifu katika eneo la Asia Magharibi

    Jun 12, 2019 03:38

    Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar akiwa safarini nchini Uingereza amesema: "Saudi Arabia ni nguvu ya uharibifu katika eneo lote la Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) na Afrika."

  • Zarif: Imarati inajaribu kuwa Israel ya pili katika Mashariki ya Kati

    Zarif: Imarati inajaribu kuwa Israel ya pili katika Mashariki ya Kati

    Jun 12, 2019 03:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema katika mahojiano na televisheni ya al Arabi kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unatumia mabilioni ya dola kununua silaha huku ukifanya jitihada za kujaribu kuwa Israel ya pili katika eneo.

  • Qatar: Saudia na Imarati zinachochea ugaidi na taharuki katika eneo

    Qatar: Saudia na Imarati zinachochea ugaidi na taharuki katika eneo

    Jun 10, 2019 03:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammed bin Abdulrahman Aal Thani amesema sera za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabi zinashadidisha ugaidi na kuchochea taharuki katika eneo la Asia Magharibi na barani Afrika.

  • Uchochezi wa Saudi Arabia na Imarati katika mgogoro wa Sudan

    Uchochezi wa Saudi Arabia na Imarati katika mgogoro wa Sudan

    Jun 09, 2019 02:50

    Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan ulishadidi Juni 3 baada ya wanajeshi kuwashambulia waandamanaji waliokuwa wamekusanyija nje ya makao makuu ya jeshi ambapo raia zaidi ya 100 waliuawa katika vurumai hiyo.

  • Mamluki wa Imarati washambulia msikiti Yemen na kuua watu kadhaa

    Mamluki wa Imarati washambulia msikiti Yemen na kuua watu kadhaa

    Jun 08, 2019 07:07

    Mamluki wa Umoja wa Falme za Kiarabu ambao ni sehemu ya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia wamevamia msikiti mmoja katika mkoa wa Dhale kusini mwa Yemen na kuua watu sita waliokuwa kwenye nyumba hiyo ya ibada, mbali na kuwateka nyara wengine wanne.

  • Zarif aikosoa Mossad ya Israel kwa kuituhumu Iran kwa ulipuaji wa meli za mafuta al-Fujairah, UAE

    Zarif aikosoa Mossad ya Israel kwa kuituhumu Iran kwa ulipuaji wa meli za mafuta al-Fujairah, UAE

    Jun 05, 2019 22:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepuuzilia mbali 'taarifa za kiintelijensia' za Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel Mossad zinazodai kwamba Iran imehusika na kulipuliwa meli za mafuta katika Bandari ya al-Fujairah huko Umoja wa Falme za Kiarabu, akisisitiza kuwa amewahi kutoa indhari huko nyuma kuhusu kupikwa njama za kutaka kuibua taharuki katika eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS