Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • HRW: India iwazuie Wahindu wanowaua Waislamu wenye kuchinja ng'ombe

    HRW: India iwazuie Wahindu wanowaua Waislamu wenye kuchinja ng'ombe

    Apr 28, 2017 22:02

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeitaka serikali ya India ichukue hatua kuzuia mauaji yanayofanywa na Wahindu dhidi ya Waislamu kwa sababu tu wanachinja ng'ombe.

  • Uamuzi wa Mahakama Kuu India dhidi ya viongozi wa chama tawala, kubomolewa Msikiti wa Babri

    Uamuzi wa Mahakama Kuu India dhidi ya viongozi wa chama tawala, kubomolewa Msikiti wa Babri

    Apr 20, 2017 03:29

    Mahakama Kuu ya India imetangaza kuwa, viongozi watatu wa ngazi za juu wa chama tawala cha Bharatiya Janata (BJP) wanapaswa kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuharibu Msikiti wa Babri na mauaji ya Waislamu.

  • Wanasiasa wa chama tawala India kizimbani kwa kuchochea kubomolewa msikiti

    Wanasiasa wa chama tawala India kizimbani kwa kuchochea kubomolewa msikiti

    Apr 19, 2017 10:55

    Mahakama ya Juu nchini India imetoa hukumu kwamba wanasiasa wa chama tawala nchini humo cha Bharatiya Janata Party (BJP) wanapaswa kupandishwa kizimbani kwa kuhusika na kitendo cha kubomolewa msikiti wa kihistoria nchini humo.

  • Mabaharia kadhaa wa India watekwa nyara katika fukwe za Somalia

    Mabaharia kadhaa wa India watekwa nyara katika fukwe za Somalia

    Apr 03, 2017 09:52

    Afisa mmoja anayehusika na vita dhidi ya maharamia wa baharini nchini Somalia ametangaza habari ya kutekwa nyara mabaharia 11 wa India katika fukwe za Somalia.

  • India: Mashambulizi ya kibaguzi dhidi ya raia wetu nchini Marekani hayakubaliki

    India: Mashambulizi ya kibaguzi dhidi ya raia wetu nchini Marekani hayakubaliki

    Mar 10, 2017 09:50

    Waziri wa Mambo ya Ndani nchini India sambamba na kulaani mashambulizi ya kibaguzi dhidi ya raia wa nchi hiyo huko Marekani, amesema kuwa New Delhi itaendelea kuwalinda raia wake walioko nje ya nchi.

  • Ulimwengu wa Spoti, Februari 27

    Ulimwengu wa Spoti, Februari 27

    Feb 27, 2017 03:53

    Tutakupasha kuhusu fainali ya Kombe la Roll Ball; Kisa cha Simba kummeza Yanga; Na Man U yatwaa Kombe la EPL na kuwa klabu yenye ufanisi zaidi Uingereza, mahala pale Liverpool.......

  • Mashambulizi dhidi ya umoja wa umma wa Kiislamu, changamoto kuu kwa Waislamu

    Mashambulizi dhidi ya umoja wa umma wa Kiislamu, changamoto kuu kwa Waislamu

    Feb 18, 2017 04:16

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema kuwa, changamoto kuu inayoukabili ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa ni mashambulizi dhidi ya umoja wa umma wa Kiislamu.

  • Mapenzi kwa Ahlul Bayt AS, chimbuko la Umoja wa umma wa Kiislamu

    Mapenzi kwa Ahlul Bayt AS, chimbuko la Umoja wa umma wa Kiislamu

    Feb 16, 2017 00:37

    Ayatulla Mohsen Araki, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema, mapenzi kwa Ahlul Bayt wa Mtume Muhammad SAW ni chimbuko la umoja wa umma wa Kiislamu.

  • Watu zaidi ya 30 wapoteza maisha katika ajali ya treni India

    Watu zaidi ya 30 wapoteza maisha katika ajali ya treni India

    Jan 22, 2017 04:48

    Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa katika ajali mbaya ya treni iliyotokea jana jioni kusini mashariki mwa India.

  • Watu zaidi ya 90 waaga dunia katika ajali ya treni nchini India

    Watu zaidi ya 90 waaga dunia katika ajali ya treni nchini India

    Nov 20, 2016 04:35

    Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa katika ajali mbaya ya treni iliyotokea mapema leo kaskazini mwa India.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS