-
Jumamosi, Novemba 19, 2016
Nov 18, 2016 23:06Leo ni Jumamosi tarehe 19 Mfunguo Tano Safar 1438 Hijria inayosadifiana na tarehe 19 Novemba 2016 Miladia.
-
Jumapili, Oktoba 2, 2016
Oct 01, 2016 23:15Leo ni Jumapili tarehe 30 Mfunguo Tatu Dhul-Hijjah mwaka 1437 Hijiria, mwafaka na Oktoba Pili, 2016 Miladia.
-
Mgogoro wa Kashmiri na juhudi za Pakistan za kuufanya kuwa wa kimataifa
Sep 20, 2016 09:31Katika hali ambayo eneo lenye Waislamu wengi la Kashmiri, upande unaodhibitiwa na India, linaendelea kushuhudia malalamiko ya wananchi Waislamu, viongozi wa serikali ya Pakistan wanafanya juhudi za kuufanya mgogoro huo kuwa wa kimataifa kupitia kuishawishi jamii ya kimataifa iingilie kati.
-
Jumanne 6 Septemba, 2016
Sep 06, 2016 23:29Leo ni Jumanne tarehe 4 Dhulhija 1437 Hijria sawa 6 Septemba 2016.
-
Zaidi ya watu 300 wafariki dunia kwa mafuriko nchini India
Aug 24, 2016 03:07Zaidi ya watu 300 wanaripotiwa kufariki dunia nchini India kufuatia janga la mafuriko yaliyotokea mashariki na katikati mwa nchi hiyo.
-
UN yazitaka India na Pakistan ziruhusu uchunguzi Kashmir
Aug 17, 2016 23:09Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza masikitiko ya umoja huo baada ya serikali za Pakistana na India kukataa kuwapa kibali maofisa wa UN kulitembelea eneo lenye mzozo la Kashmir, katika mpaka wa nchi mbili hizo.
-
Msomi wa Kisunni Iran atoa wito wa kuugwa mkono Waislamu Kashmir
Jul 21, 2016 23:47Msomi wa Kisunni ambaye pia ni mwanachama wa Baraza la Wataalamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito kwa Waislamu kote duniani kulaani mauaji ya hivi karibuni ya ndugu zao wa eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India.
-
Zaidi ya 44 wauawa katika mapigano Kashmir inayodhibitiwa na India
Jul 19, 2016 23:23Zaidi ya watu 44 wameuawa kufikia Jumanne katika mapigano yalianza Julai 9 katika eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India.
-
Wakongomani waandamana kulalamikia kuuliwa raia wa Kongo nchini India
Jul 07, 2016 02:54Hali ya wasiwasi imetawala Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya watu kumiminika mitaani kulalamikia kuuawa raia mmoja wa nchi hiyo huko India.
-
Mwanamke aanguka kwenye moto na kuungua wakati wa ibada India
Jun 01, 2016 09:02Mwanamke mmoja aliyekuwa katika ibada ya kupita juu ya moto nchini India aanguka katikati ya makaa ya moto na kuanza kuungua