Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Intifadha ya Palestina

  • Palestina; miongo miwili baada ya Intifadha ya Pili

    Palestina; miongo miwili baada ya Intifadha ya Pili

    Sep 29, 2020 13:13

    Jumatatu ya jana tarehe 28 Septemba, ilisafidiana na kutimia miaka 20 tangu kulipotokea Intifadha ya Pili inayojulikana kama Intifadha ya al-Aqswa.

  • Jumatatu tarehe 28 Septemba 2020

    Jumatatu tarehe 28 Septemba 2020

    Sep 28, 2020 03:02

    Leo ni Jumatatu tarehe 10 Mfunguo Tano Safar 1442 Hijria sawa na 28 Septemba 2020.

  • Mshauri wa Abbas: Chokochoko mpya za Israel zitaibua Intifadha ya 3 ya Palestina

    Mshauri wa Abbas: Chokochoko mpya za Israel zitaibua Intifadha ya 3 ya Palestina

    Jul 06, 2020 03:26

    Mshauri wa Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameonya kuwa, Intifadha ya Tatu ya wananchi wa Palestina inanukia na bila shaka itaibuka mara moja iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utatekeleza mpango wake wa kulipora na kuliunganisha eneo la Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi za Palestina zilizopewa jina la Israel.

  • Intifadha, njia pekee ya kukabiliana na mpango wa kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi

    Intifadha, njia pekee ya kukabiliana na mpango wa kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi

    Jun 29, 2020 03:55

    Mkuu wa Kamati ya Kuunga mkono Mapinduzi ya Wananchi wa Palestina amesema kuwa mapambano ya Intifadha ndio njia pekee ya kukabiliana na mpango wa utawala wa kizayuni wa Israel wa kutaka kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi.

  • Msemaji wa Hamas: Mapambano ndiyo njia pekee ya kuikomboa Palestina

    Msemaji wa Hamas: Mapambano ndiyo njia pekee ya kuikomboa Palestina

    Dec 10, 2019 13:19

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, mapambano ya pande zote na kwa kutumia mbinu na nyezo zote ndiyo chaguo la taifa la Palestina kwa ajili ya kukabiliana na utawala ghasibu wa Israel.

  • Jumamosi, 28 Septemba, 2019

    Jumamosi, 28 Septemba, 2019

    Sep 28, 2019 02:37

    Leo ni Jumamosi tarehe 28 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria mwafaka na tarehe 28 Septemba 2019 Miladia.

  • Jumapili, Disemba 9, 2018

    Jumapili, Disemba 9, 2018

    Dec 09, 2018 02:48

    Leo ni Jumapili tarehe Mosi Mfunguo Saba Rabiuthani 1440 Hijria ambayo inalingana na tarehe 9 Disemba 2018 Miladia.

  • Abdollahian: Muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni

    Abdollahian: Muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni

    Nov 19, 2018 04:15

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu yuko katika ncha ya kuanguka, na kwamba muqawama wa Wapalestina umewavunja moyo Wazayuni.

  • Ijumaa, Septemba 28, 2018

    Ijumaa, Septemba 28, 2018

    Sep 28, 2018 02:22

    Leo ni Ijumaa tarehe 18 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 28, 2018 Milaadia.

  • Jihadul Islami: Saudia na Imarati zinashirikiana na Marekani kuikandamiza Palestina

    Jihadul Islami: Saudia na Imarati zinashirikiana na Marekani kuikandamiza Palestina

    Aug 09, 2018 04:25

    Mwakilishi wa harakati ya Jihad al Islami ya Palestina nchini Iran amesema kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), zinashiriki waziwazi katika 'Mapatano ya Karne' ambayo yameandaliwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kuliangamiza taifa la Palestina

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS