Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Majaji Wakuu wa Jumuiya ya Shanghai wamuenzi Shahidi Raisi

    Majaji Wakuu wa Jumuiya ya Shanghai wamuenzi Shahidi Raisi

    May 23, 2024 06:55

    Majaji Wakuu na Wenyeviti wa Mahakama za Juu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) wamenyamaza kimya kwa dakika moja kumuenzi Shahidi Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maafisa wenzake walioaga dunia katika ajali ya helikopta iliyotokea Jumapili iliyopita katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.

  • Viongozi wa nchi 68 watoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Sayyid Raisi na ya wenzake

    Viongozi wa nchi 68 watoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Sayyid Raisi na ya wenzake

    May 22, 2024 11:26

    Viongozi na maafisa wakuu wa nchi 68 duniani leo wamefika kwenye ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Tehran kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Rais Sayyid Ebrahim Raisi na ya wenzake waliokufa shahidi pamoja naye katika ajali ya helikopta iliyotokea siku ya Jumapili.

  • Kiongozi wa Mapinduzi amhutubu Haniya: Ahadi ya Allah ya kutokomezwa utawala wa Kizayuni itatimia

    Kiongozi wa Mapinduzi amhutubu Haniya: Ahadi ya Allah ya kutokomezwa utawala wa Kizayuni itatimia

    May 22, 2024 09:16

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika mazungumzo na Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Hamas na ujumbe alioandamana nao kwamba ahadi ya Mwenyezi Mungu ya kutokomezwa utawala wa Kizayuni itatimia.

  • Bendera ya Umoja wa Mataifa yapepea nusu mlingoti kuwaenzi mashahidi wa ajali ya helikopta ya Iran

    Bendera ya Umoja wa Mataifa yapepea nusu mlingoti kuwaenzi mashahidi wa ajali ya helikopta ya Iran

    May 21, 2024 23:19

    Umoja wa Mataifa umepeperusha bendera yake nusu mlingoti ikiwa ni ishara ya heshima kwa wahanga wa ajali ya helikopta nchini Iran iliyowahusisha Rais Ebrahim Raisi, Waziri wa Mambo ya Nje Hossein Amirabdollahian na maafisa wengine wakuu.

  • Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kusitishwa mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran asisitiza kusitishwa mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel

    May 21, 2024 09:02

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametilia mkazo kusitishwa mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni na kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Katibu Mkuu wa UN atuma rambirambi kufuatia kufa shahidi  Ebrahim Raisi na wenzake

    Katibu Mkuu wa UN atuma rambirambi kufuatia kufa shahidi Ebrahim Raisi na wenzake

    May 21, 2024 08:56

    Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametuma salamu za rambirambi kwa familia za shahidi Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wenzake aliokuwa amefuatana nao na kutoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Iran.

  • Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aarifishwa rasmi Umoja wa Mataifa

    Kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aarifishwa rasmi Umoja wa Mataifa

    May 21, 2024 08:51

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa wa Mataifa katika barua rasmi kwa Umoja wa Mataifa amewaarifisha katika taasisi hiyo ya kimataifa Kaimu Rais na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuwa viongozi wa muda katika nyadhifa hizo.

  • Iran yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais; Sayyid Raisi kuzikwa Alkhamisi

    Iran yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais; Sayyid Raisi kuzikwa Alkhamisi

    May 21, 2024 03:50

    Iran imetangaza Juni 28, 2024 kuwa tarehe ya kufanyika uchaguzi wa rais, kufuatia kufa shahidi Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu katika ajali ya helikopta iliyotokoea Jumapili katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.

  • Serikali: Uchaguzi wa rais wa Iran utafanyika ndani ya siku 50

    Serikali: Uchaguzi wa rais wa Iran utafanyika ndani ya siku 50

    May 20, 2024 04:19

    Msemaji wa Baraza la Kulinda Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema baraza maalumu litaundwa kwa ajili ya kuandaa mazingira ya kufanyika uchaguzi wa rais katika kipindi cha siku 50 zijazo.

  • Viongozi wa dunia wasikitishwa na kifo cha Rais wa Iran

    Viongozi wa dunia wasikitishwa na kifo cha Rais wa Iran

    May 20, 2024 03:54

    Viongozi wa mataifa mbali mbali duniani wameendelea kutoa mkono wa pole kufuatia vifo vya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi pamoja na wenzake kadhaa katika ajali ya helikopta iliyotokea jana katika mkoa wa Azarbaijan Mashariki, kaskazini magharibi mwa Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS