Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Sisitizo la viongozi wakuu wa Iran na Saudia la kuimarisha uhusiano baina ya nchi zao

    Sisitizo la viongozi wakuu wa Iran na Saudia la kuimarisha uhusiano baina ya nchi zao

    Jul 19, 2024 05:26

    Mohammed bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na Massoud Pezeshkian, rais mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wamezungumza kwa simu na kutilia mkazo umuhimu wa kuendeleza ushirikiano kati ya Tehran na Riyadh.

  • Iran yakosoa sera za kindumakuwili za nchi za Magharibi kuhusiana na jinai za Israel

    Iran yakosoa sera za kindumakuwili za nchi za Magharibi kuhusiana na jinai za Israel

    Jul 19, 2024 00:22

    Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Iran amekosoa madai yaliyotolewa dhidi ya Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu na misimamo ya kindumakuwili kuhusiana na maripota maalumu wa jumuiya hiyo ya kimataifa.

  • Kanusho la Iran kwa madai ya uwongo ya Marekani ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump

    Kanusho la Iran kwa madai ya uwongo ya Marekani ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump

    Jul 18, 2024 07:10

    Baada ya tukio la kupigwa risasi Donald Trump, rais wa zamani na mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani wa 2024, baadhi ya vyombo vya habari vya Marekani kwa mara nyingine vikiendeleza propaganda za chuki dhidi ya Iran (Iranphobia) vilidai kuweko mkono wa Iran katika tukio hilo.

  • Mrithi wa Ufalme wa Saudia ampongeza Rais mteule wa Iran

    Mrithi wa Ufalme wa Saudia ampongeza Rais mteule wa Iran

    Jul 17, 2024 10:16

    Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad Bin Salman amemnyooshea mkono wa pongezi Masoud Pezeshkian, Rais Mteule wa Iran kwa kuibuka mshindi katika duru ya pili ya uchaguzi wa 14 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Bagheri Kani na Rais wa Baraza Kuu la UN wajadili mauaji ya Gaza

    Bagheri Kani na Rais wa Baraza Kuu la UN wajadili mauaji ya Gaza

    Jul 16, 2024 04:14

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuna udharura wa kuchukuliwa hatua za kivitendo ili kukomesha jinai zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • China: Tuko tayari kushirikiana na serikali ijayo ya Iran

    China: Tuko tayari kushirikiana na serikali ijayo ya Iran

    Jul 16, 2024 03:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema China inathamini uhusiano wake na Iran na iko tayari kushirikiana na serikali mpya ya Jamhuri ya Kiislamu ili kuendeleza ushirikiano wa kimkakati na wa kina kati ya pande mbili.

  • Iran katika maombolezo ya Tasua, yaitaka dunia ikabiliane na jinai za Israel

    Iran katika maombolezo ya Tasua, yaitaka dunia ikabiliane na jinai za Israel

    Jul 15, 2024 09:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran sanjari na kutoa mkono wa pole kwa Waislamu kote duniani ambao hii leo wapo katika maombelezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS, ameitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za kivitendo za kusimamisha jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Iran ya Kiislamu yaghariki kwenye Tasua ya Imam Hussein AS

    Iran ya Kiislamu yaghariki kwenye Tasua ya Imam Hussein AS

    Jul 15, 2024 07:21

    Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo tarehe 9 Mfunguo Nne Muharram wameshiriki katika vikao, marasimu, majlisi na shughuli mbali mbali za maombolezo ya Tasua ya Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume wetu Muhammad SAW.

  • Kan’ani alaani madai ya Argentina ya kuwahusisha raia wa Iran katika mlipuko wa

    Kan’ani alaani madai ya Argentina ya kuwahusisha raia wa Iran katika mlipuko wa "Amia"

    Jul 14, 2024 03:55

    Nasser Kanani Chafi, Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran, amelaani matamshi yasiyo na ushahidi ya Waziri wa Sheria wa Argentina na vile vile taarifa iliyotolewa na Ofisi wa Rais wa nchi hiyo ikiwatuhumu raia wa Iran kuwa walihusika katika mlipuko wa jengo la "Amia".

  • Iran: Israel haijali mstari wowote mwekundu wa maadili

    Iran: Israel haijali mstari wowote mwekundu wa maadili

    Jul 14, 2024 03:36

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai mpya iliyofanywa na utawala wa Kizayuni katika eneo la Al-Mawasi huko Khan Yunis, kusini mwa Ukanda wa Gaza na kuua shahidi makumi ya wakimbizi wa Kipalestina na kujeruhi mamia ya wengine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS