-
Kufutwa akaunti za mitandao ya kijamii za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi, kielelezo cha uhasama wa Magharibi dhidi ya uhuru wa kusema
Mar 11, 2024 00:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema, hatua ya Shirika la Kimarekani la "Meta" (Facebook ya zamani) ya kufuta akaunti za mitandao ya kijamii za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ni kielelezo cha uhasama na uadui wa Magharibi dhidi ya uhuru wa kusema na kutoa maoni.
-
Rais Raisi: Iran ya leo imeendelea na ni ya teknolojia
Mar 09, 2024 04:13Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran ya Kiislamu ya leo imeendelea na ni ya teknolojia.
-
Iran yaiambia UN: Tuna haki halali ya kujibu vitisho vya Israel
Mar 08, 2024 04:38Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu ina kila haki na uhalali wa kuchukua hatua zote inazoweza kujibu uchokozi na tishio lolote kutoka utawala wa Israel dhidi ya usalama wake wa taifa na maslahi ya nchi hii.
-
Mkuu wa Idara ya Mahakama Iran ataka mataifa ya Kiislamu kukata uhusiano wa kibiashara na Israel
Mar 07, 2024 22:54Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesisitiza juu ya ulazima wa kukatwa uhusiano wa kibiashara kati ya nchi za Kiislamu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran na Sierra Leone kuimarisha zaidi uhusiano wa pande mbili
Mar 06, 2024 23:02Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Sierra Leone wametilia mkazo wa kuimarishwa zaidi uhusiano wa kiuchumi na kisiasa baina ya nchi zao.
-
Iran: OIC inakabiliwa na 'mtihani mgumu' kuhusu uhalifu wa Israel, himaya ya Marekani kwa utawala huo
Mar 05, 2024 04:11Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza umuhimu wa mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) unaotarajiwa kufanyika leo, akisema jumuiya hiyo yenye wanachama 57 "inakabiliwa na mtihani" juu ya vita vya mauaji ya kimbari vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza.
-
Khartoum yakanusha madai kuwa Iran inataka kujenga kambi ya kijeshi Sudan
Mar 04, 2024 07:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan amekadhibisha madai ya gazeti moja la Marekani kwamba Iran imeiomba serikali ya Sudan idhini ya kujenga kituo cha kudumu cha kijeshi katika maji ya Bahari Nyekundu, pwani ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Kupanua uhusiano wa kitamaduni kati ya Iran na Algeria kwa msingi wa misikiti
Mar 03, 2024 08:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayarifu wake wa kupanua uhusiano wa kiutamaduni kati ya Iran na Algeria kwa kuzingatia misikiti kama msingi na katika mwelekeo wa kuongeza maarifa, sayansi na kujenga umoja na mafungamano katika ulimwengu wa Kiislamu.
-
Raisi: Iran ipo tayari kuipa Msumbiji uzoefu wa kiufundi na kiuhandisi
Mar 03, 2024 04:10Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ina hamu ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano na mataifa ya Afrika ikiwemo Msumbiji na kuongeza kuwa, kuna haja ya kubuni ramani mpya ya njia na kuamilisha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Msumbiji ili kupiga jeki ushirikiano wa pande mbili.
-
Utunishaji misuli; Choopan wa Iran atwaa tuzo ya kifahari
Mar 03, 2024 07:44Mtunishaji misuli veterani wa Iran, Hadi Choopan ametwaa taji la kimataifa la 'Bwana Olympia' katika tuzo za Arnold Classic 2024.