-
Iran na Saudia zataka vita dhidi ya Gaza visitishwe mara moja
Dec 13, 2023 08:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na mwenzake wa Saudi Arabia wamesisitizia udharura wa kusimamishwa mapigano katika Ukanda wa Gaza haraka iwezekanavyo, sambamba na kutaka kufikishwa misaada ya kibinadamu katika eneo hilo la Palestina lililo chini ya mzingiro.
-
Tehran yalaani vikwazo vya EU dhidi ya Wizara ya Ulinzi ya Iran
Dec 12, 2023 23:17Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekosoa vikali hatua ya Umoja wa Ulaya ya kuiwekea vikwazo Wizara ya Ulinzi ya nchi hii kwa madai bandia kuwa Jamhuri ya Kiislamu imeipa Russia ndege zisizo na rubani (droni) eti kwa ajili ya kutumika vitani huko Ukraine.
-
Droni za Karrar zilizoboreshwa zajiunga na Kikosi cha Anga cha Iran
Dec 10, 2023 06:00Makumi ya ndege zisizo na rubani (droni) aina ya Karrar ambazo zimeboreshwa na kuimarishwa zimejiunga na Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Raisi: Kimbunga cha al-Aqsa kimepanua mipaka ya muqawama
Dec 10, 2023 00:31Rais wa Iran amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa imepanua mipaka ya muqawama na kuufikisha katika kona zote za dunia.
-
Rais wa Iran akiwa safarini Russia asisitiza kusitishwa jinai za Israel dhidi ya Gaza
Dec 07, 2023 23:49Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kusitishwa mara moja jinai za Israel za "mauaji ya kimbari" dhidi ya Wapalestina Ukanda wa Gaza.
-
Kanani: Baadhi ya wanachama wa G7 ndio chanzo kikuu cha kukosekana utulivu Asia Magharibi
Dec 07, 2023 10:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, baadhi ya wanachama wa kundi G7 ndio chanzo kikuu cha ukosefu wa amani na usalama katika Magharibi mwa Asia na duniani.
-
Iran: Israel inawajihiwa na siku za kutisha kutokana na majibu makali ya muqawama
Dec 07, 2023 00:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema wanamapambano wa makundi ya muqawama ya Palestina wameendelea kutoa majibu makali na ya nguvu kwa uvamizi wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza, na kwamba mwenendo wa majibu hayo utauweka utawala wa Kizayuni kwenye hali mbaya katika siku zijazo.
-
Raisi: Msingi wa uungaji mkono wa Iran kwa Palestina ni Katiba
Dec 03, 2023 09:03Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ndio msingi wa taifa hili kuiunga mkono Palestina na Ukanda wa Gaza ambao hivi sasa unakabiliwa na mashambulizi ya Wazayuni.
-
Jumapili, 03 Disemba, 2023
Dec 02, 2023 23:00Leo ni Jumapili 19 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1445 Hijria mwafaka na tarehe tatu Disemba, 2023 Miladia
-
Iran: Wanyonyaji damu wa Kizayuni wameanzisha upya mauaji Gaza kwa uungaji mkono wa US
Dec 01, 2023 07:35Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: baada ya kuwaua zaidi ya Wapalestina 15,000, wanyonyaji damu wa Kizayuni wameanzisha duru mpya ya mauaji huko Gaza kwa uungaji mkono kamili wanaoendelea kupewa na serikali ya Marekani.