Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Diplomasia yenye nguvu na amilifu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu Ghaza; tokea  safari za kieneo hadi  New York

    Diplomasia yenye nguvu na amilifu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu Ghaza; tokea safari za kieneo hadi New York

    Oct 28, 2023 04:25

    Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika kuendelea na siasa za diplomasia amilifu na imara kuhusu Ghaza, amesafiri mjini New York ambapo ameshiriki katika kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kusisitiza juu ya haja ya kuchukuliwa hatua muhimu za dharura ili kukomesha vita huko Ghaza

  • Amir Abdollahian: Utawala wa Kizayuni unafanya mauaji ya kimbari huko Gaza

    Amir Abdollahian: Utawala wa Kizayuni unafanya mauaji ya kimbari huko Gaza

    Oct 27, 2023 02:21

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya mauaji ya kimbari huko Gaza.

  • Kubainishwa misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vita vya Gaza

    Kubainishwa misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vita vya Gaza

    Oct 25, 2023 04:19

    Siku 19 zimepita tangu kilipoanza Kimbunga cha Al-Aqsa na vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza. Suali muhimu la kujiuliza hapa ni je, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa na msimamo gani kuhusiana na vita hivi na imechukua hatua gani?

  • Iran: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

    Iran: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza

    Oct 25, 2023 04:07

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Marekani ni mshirika katika jinai za kutisha za Israel huko Ukanda wa Gazal kutokana na uungaji mkono wake usio na kifani kwa utawala huo unaokalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Waziri wa Ulinzi: Maadui wanaogopa jibu kali la Iran

    Waziri wa Ulinzi: Maadui wanaogopa jibu kali la Iran

    Oct 24, 2023 23:22

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema hatua yoyote ghalati ya maadui itaipelekea Jamhuri ya Kiislamu itoe jibu kali na la kuumiza, na ambalo litamfanya adui ajutie.

  • "Shambulio la Israel dhidi ya kanisa Gaza linakumbusha tabia za ISIS"

    Oct 21, 2023 04:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la Israel dhidi ya Kanisa la Saint Porphyrius katika Ukanda wa Gaza na kueleza kuwa, "Shambulio la Israel dhidi ya kanisa Gaza linashabihiana na nyendo za kundi la kigaidi la ISIS."

  • Raisi: Veto ya US katika Baraza la Usalama ni 'dhulma maradufu' kwa Wapalestina

    Raisi: Veto ya US katika Baraza la Usalama ni 'dhulma maradufu' kwa Wapalestina

    Oct 19, 2023 11:41

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Marekani ya kulipigia kura ya turufu azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka kusimamishwa mashambulizi na jinai za Israel dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza ni dhulma maradufu dhidi ya Wapalestina na ubinadamu.

  • Abdollahian alaani jinai za Israel Gaza: Muda wa utawala wa Kizayuni umemalizika

    Abdollahian alaani jinai za Israel Gaza: Muda wa utawala wa Kizayuni umemalizika

    Oct 18, 2023 08:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria kitendo cha Israel cha kushambulia kwa mabomu hospitali na shule katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kueleza kuwa: Muda wa kubaki hai utawala wa Kizayuni umemalizika.

  • Abdollahian: Sera za Marekani zinachochea moto wa vita Gaza

    Abdollahian: Sera za Marekani zinachochea moto wa vita Gaza

    Oct 17, 2023 10:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera haribifu za Washington na uungaji mkono wake kwa hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuwashambulia raia katika Ukanda wa Gaza ndiyo sababu kuu ya kushadidi na kupanuka vita katika eneo hilo la pwani ambalo liko chini ya mzingiro.

  • Raisi: Inapasa kuwabebesha dhima wanaonyamazia kimya jinai za Israel

    Raisi: Inapasa kuwabebesha dhima wanaonyamazia kimya jinai za Israel

    Oct 15, 2023 23:38

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema kuliunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina ni katika misingi ya sera za Jamhuri ya Kiislamu na kuongeza kuwa, wanaonyamazia kimya jinai za Israel watabeba mas'ulia mbele ya Mwenyezi Mungu, mienendo yao na historia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS