Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Profesa wa Chuo Kikuu US: Ziara ya Rais wa Iran Syria ni kiashiria cha ushindi wa Muqawama

    Profesa wa Chuo Kikuu US: Ziara ya Rais wa Iran Syria ni kiashiria cha ushindi wa Muqawama

    May 06, 2023 08:56

    David Yaghoubian, Profesa na mhadhiri wa Historia wa Chuo Kikuu cha Jimbo la California nchini Marekani amesema ziara ya rais wa Iran nchini Syria ni kiashiria cha ushindi wa mhimili wa Muqawama katika vita vichafu vya Syria vilivyoanzishwa kwa uungaji mkono na Marekani, ambapo Washington haikuweza kuleta mabadiliko ya utawala iliyokusudia ili kuigawa vipande vipande nchi hiyo.

  • Raisi asisitiza udharura wa kushirikiana kwa ajili ya kutetea haki zilizoghusubiwa za Wapalestina

    Raisi asisitiza udharura wa kushirikiana kwa ajili ya kutetea haki zilizoghusubiwa za Wapalestina

    May 04, 2023 22:59

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Waislamu wanapaswa kutumia uwezo wao wote kutetea haki zilizoghusubiwa za Palestina na kukomboa Quds Tukufu.

  • Ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi baina ya Iran na Syria

    Ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi baina ya Iran na Syria

    May 04, 2023 06:57

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Jumatano aliwasili Damascus mji mkuu wa Syria kwa mwaliko rasmi wa rais wa nchi hiyo Bashar al-Assad.

  • Iran yaiambia US kuhusiana na ziara ya Rais Raisi nchini Syria: 'Kasirikeni na kufeni kwa hasira'

    Iran yaiambia US kuhusiana na ziara ya Rais Raisi nchini Syria: 'Kasirikeni na kufeni kwa hasira'

    May 04, 2023 04:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuvunjwa pembe za Marekani huko Syria na katika eneo ndio sababu ya kukasirishwa Ikulu ya White House na ziara ya Rais Ebrahim Raisi mjini Damascus, Syria.

  • Televisheni ya CNN ya Marekani yakiri uwezo mkubwa wa droni za Iran

    Televisheni ya CNN ya Marekani yakiri uwezo mkubwa wa droni za Iran

    Apr 30, 2023 03:17

    Kanali ya televisheni ya CNN ya Marekani imelazimika kukiri uwezo mkubwa wa mfumo wa droni na ndege zisizo na rubani za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kanani Chafi: Iran haimuombi yoyote ruhusa katika kupambana na ugaidi

    Kanani Chafi: Iran haimuombi yoyote ruhusa katika kupambana na ugaidi

    Apr 28, 2023 03:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu matamshi ya uingiliaji kati ya viongozi wa Ujerumani kuhusu hukumu iliyotolewa hapa nchini dhidi ya kiongozi wa kundi la kigaidi la "Tondar" na kueleza kuwa: Iran haitamuomba yoyote ruhusa katika mapambano yake dhidi ya ugaidi na kutekeleza uadilifu dhidi ya magaidi.

  • Iran ina azma ya kurejesha uhusiano wa kibiashara, kiuchumi na Saudi Arabia

    Iran ina azma ya kurejesha uhusiano wa kibiashara, kiuchumi na Saudi Arabia

    Apr 27, 2023 07:22

    Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda, Migodi na Kilimo cha Iran (ICCIMA) ametoa wito wa kurejeshwa kwa haraka uhusiano wa kibiashara na kiuchumi na Saudi Arabia na kukuzwa ushirikiano kati ya wafanyabiashara na wenye viwanda vya sekta binafsi za nchi hizo mbili.

  • Kamanda: Israel itapata jibu kali ikithubutu kuishambulia Iran

    Kamanda: Israel itapata jibu kali ikithubutu kuishambulia Iran

    Apr 27, 2023 06:22

    Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa makombora ya Iran yako tayari kulenga kitovu cha utawala wa Kizayuni wa Israel iwapo utawala huo au nchi yoyote itajaribu kutishia usalma wa anga ya Iran.

  • Iran: Tunapinga kuendelea vita nchini Ukraine

    Iran: Tunapinga kuendelea vita nchini Ukraine

    Apr 27, 2023 02:08

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inapinga vita vya Ukraine na inaunga mkono juhudi za kusimamishwa vita na kurejea usalama na amani nchini humo.

  • Amir-Abdollahian: Oman ina ubunifu mzuri kuhusu kadhia ya nyuklia ya Iran

    Amir-Abdollahian: Oman ina ubunifu mzuri kuhusu kadhia ya nyuklia ya Iran

    Apr 26, 2023 02:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, serikali ya Oman ina ubumifu mzuri kuhusu kadhia ya nyuklia ya Iran, ubunifu ambao utasaidia kurejea mazungumzo katika suala hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS