Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran, Saudia zaafikiana kuimarisha usalama na ustawi wa Asia Magharibi

    Iran, Saudia zaafikiana kuimarisha usalama na ustawi wa Asia Magharibi

    Aug 19, 2023 00:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian amekutana na kufanya mazungumzo mjini Jeddah na Mohammed bin Salman, Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, ambapo wametilia mkazo wajibu wa kustawishwa zaidi uhusiano wa kiusalama na maendeleo ya nchi mbili hizi na eneo zima la Asia Magharibi.

  • Raisi: Bila juhudi za IRGC, bara Ulaya lingetawaliwa na ISIS

    Raisi: Bila juhudi za IRGC, bara Ulaya lingetawaliwa na ISIS

    Aug 19, 2023 00:22

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amepongeza nafasi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) katika kukabiliaina na ugaidi katika eneo la Asia Magharibi na kueleza kuwa, bila jitihada za SEPAH, nchi za Ulaya hivi sasa zingekuwa zimetamalakiwa na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Raisi na Putin wasisitiza kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili na kimataifa

    Raisi na Putin wasisitiza kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili na kimataifa

    Aug 18, 2023 01:07

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazungumzo ya simu na kubadilishana mawazo kuhusu masuala ya kieneo na kimataifa.

  • Iran na Saudia zatilia mkazo udharura wa kuanza ukurasa mpya wa uhusiano baina yao

    Iran na Saudia zatilia mkazo udharura wa kuanza ukurasa mpya wa uhusiano baina yao

    Aug 18, 2023 01:06

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudi Arabia wametilia mkazo wajibu wa kuanza ukurasa mpya katika uhusiano wa Tehran na Riyadh na kutekelezwa kikamilifu vipengee vya maafikiano vilivyotiwa saini baina ya pande mbili.

  • Idara ya Mahakama yawalaumu walionyamazia kimya shambulio la kigaidi la Shah Cheragh

    Idara ya Mahakama yawalaumu walionyamazia kimya shambulio la kigaidi la Shah Cheragh

    Aug 15, 2023 07:15

    Msemaji wa Idara ya Mahakama ya Iran ameyalaumu madola na mashirika yanayodai kutetea haki za binadamu kwa kunyamazia kimya shambulio la kigaidi katika Haram ya Shah Cheragh ya kusini mwa Iran.

  • Raisi: US, nchi za Ulaya zilipanga ghasia za mwaka jana Iran

    Raisi: US, nchi za Ulaya zilipanga ghasia za mwaka jana Iran

    Aug 15, 2023 04:26

    Rais wa Iran ameikosoa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya kwa kuratibu machafuko yaliyoshuhudiwa mwaka jana hapa nchini Iran kwa kisingizo cha kifo cha Mahsa Amini.

  • UN yalaani shambulizi la kigaidi mjini Shiraz, kusini mwa Iran

    UN yalaani shambulizi la kigaidi mjini Shiraz, kusini mwa Iran

    Aug 15, 2023 00:00

    Stéphane Dujarric, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani shambulio la kigaidi katika haram ya Sayyid Ahmad Bin Musa (as) maarufu kama Shah Cheragh katika mji wa Shiraz mkoani Fars, kusini mwa Iran.

  • Mapatano madhubuti ya Iran kuhusu kuachiliwa mali zake na kubadilishana wafungwa na Marekani

    Mapatano madhubuti ya Iran kuhusu kuachiliwa mali zake na kubadilishana wafungwa na Marekani

    Aug 12, 2023 04:46

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu kuachiwa mali za Iran na pia kufunguliwa wafungwa wake kadhaa waliokuwa wamezuiliwa na Marekani kinyume cha sheria.

  • Iran na Afrika Kusini katika mkondo wa kuhuisha kikamilifu mahusiano

    Iran na Afrika Kusini katika mkondo wa kuhuisha kikamilifu mahusiano

    Aug 11, 2023 07:34

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wiki hii aliekea Pretoria Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 15 wa Kamisheni ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika Kusini na kukutana na viongozi mbalimbali wa taifa hilo.

  • Raisi: Marekani na Israel zinakula njama za kuvuruga usalama wa eneo

    Raisi: Marekani na Israel zinakula njama za kuvuruga usalama wa eneo

    Aug 09, 2023 08:43

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikosi vya ulinzi na usalama vya Jamhuri ya Kiislamu si tu vinalinda usalama wa taifa hili, bali pia usalama na uthabiti wa nchi nyingine za eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS