-
Iran, Saudia zaafikiana kuimarisha usalama na ustawi wa Asia Magharibi
Aug 19, 2023 00:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian amekutana na kufanya mazungumzo mjini Jeddah na Mohammed bin Salman, Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, ambapo wametilia mkazo wajibu wa kustawishwa zaidi uhusiano wa kiusalama na maendeleo ya nchi mbili hizi na eneo zima la Asia Magharibi.
-
Raisi: Bila juhudi za IRGC, bara Ulaya lingetawaliwa na ISIS
Aug 19, 2023 00:22Rais Ebrahim Raisi wa Iran amepongeza nafasi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) katika kukabiliaina na ugaidi katika eneo la Asia Magharibi na kueleza kuwa, bila jitihada za SEPAH, nchi za Ulaya hivi sasa zingekuwa zimetamalakiwa na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).
-
Raisi na Putin wasisitiza kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili na kimataifa
Aug 18, 2023 01:07Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazungumzo ya simu na kubadilishana mawazo kuhusu masuala ya kieneo na kimataifa.
-
Iran na Saudia zatilia mkazo udharura wa kuanza ukurasa mpya wa uhusiano baina yao
Aug 18, 2023 01:06Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudi Arabia wametilia mkazo wajibu wa kuanza ukurasa mpya katika uhusiano wa Tehran na Riyadh na kutekelezwa kikamilifu vipengee vya maafikiano vilivyotiwa saini baina ya pande mbili.
-
Idara ya Mahakama yawalaumu walionyamazia kimya shambulio la kigaidi la Shah Cheragh
Aug 15, 2023 07:15Msemaji wa Idara ya Mahakama ya Iran ameyalaumu madola na mashirika yanayodai kutetea haki za binadamu kwa kunyamazia kimya shambulio la kigaidi katika Haram ya Shah Cheragh ya kusini mwa Iran.
-
Raisi: US, nchi za Ulaya zilipanga ghasia za mwaka jana Iran
Aug 15, 2023 04:26Rais wa Iran ameikosoa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya kwa kuratibu machafuko yaliyoshuhudiwa mwaka jana hapa nchini Iran kwa kisingizo cha kifo cha Mahsa Amini.
-
UN yalaani shambulizi la kigaidi mjini Shiraz, kusini mwa Iran
Aug 15, 2023 00:00Stéphane Dujarric, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani shambulio la kigaidi katika haram ya Sayyid Ahmad Bin Musa (as) maarufu kama Shah Cheragh katika mji wa Shiraz mkoani Fars, kusini mwa Iran.
-
Mapatano madhubuti ya Iran kuhusu kuachiliwa mali zake na kubadilishana wafungwa na Marekani
Aug 12, 2023 04:46Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu kuachiwa mali za Iran na pia kufunguliwa wafungwa wake kadhaa waliokuwa wamezuiliwa na Marekani kinyume cha sheria.
-
Iran na Afrika Kusini katika mkondo wa kuhuisha kikamilifu mahusiano
Aug 11, 2023 07:34Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wiki hii aliekea Pretoria Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 15 wa Kamisheni ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika Kusini na kukutana na viongozi mbalimbali wa taifa hilo.
-
Raisi: Marekani na Israel zinakula njama za kuvuruga usalama wa eneo
Aug 09, 2023 08:43Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vikosi vya ulinzi na usalama vya Jamhuri ya Kiislamu si tu vinalinda usalama wa taifa hili, bali pia usalama na uthabiti wa nchi nyingine za eneo la Asia Magharibi.