Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ujumbe wa Iran uko Saudi Arabia kuandaa ufunguzi wa ubalozi

    Ujumbe wa Iran uko Saudi Arabia kuandaa ufunguzi wa ubalozi

    Apr 12, 2023 22:53

    Ujumbe wa Iran umewasili katika mji mkuu wa Saudi Arabua, Riyadh, kujadili utekelezaji wa makubaliano yaliyofikiwa kati ya pande hizo mbili mwezi uliopita ili kurejesha uhusiano wa kidiplomasia.

  • Rais Raisi: Taifa la Iran litabaki kuwa thabiti katika malengo ya Uislamu hadi Quds itakapokombolewa

    Rais Raisi: Taifa la Iran litabaki kuwa thabiti katika malengo ya Uislamu hadi Quds itakapokombolewa

    Apr 12, 2023 09:39

    Rais Ebrahim Raisi amesema: taifa adhimu la Iran litatangaza kwa mara nyingine tena kwamba litabaki kuwa thabiti katika malengo ya Uislamu hadi itakapokombolewa Quds kikamilifu, kwa kushiriki kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.

  • Spika wa Bunge la Iran: Uchokozi wa utawala wa Israel unathibitisha utambulisho wake wa kifashisti na kibaguzi

    Spika wa Bunge la Iran: Uchokozi wa utawala wa Israel unathibitisha utambulisho wake wa kifashisti na kibaguzi

    Apr 10, 2023 23:33

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu, Bunge la Iran, amesema vitendo vya kichokozi vilivyofanywa hivi karibuni na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu vinadhihirisha tabia ya utawala huo wa kifashisti na ubaguzi wa rangi.

  • Kiongozi wa Palestina: Siku ya Quds mwaka huu ni tofauti zaidi na miaka iliyopita

    Kiongozi wa Palestina: Siku ya Quds mwaka huu ni tofauti zaidi na miaka iliyopita

    Apr 10, 2023 22:47

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Wananchi wa Palestina ameashiria uungaji mkono mkubwa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa Palestina na kusisitiza kuwa Siku ya Quds mwaka huu ni tofauti zaidi na miaka iliyopita.

  • Rais wa Iran: Waislamu waonyeshe katika Siku ya Quds mwaka huu kwamba wanampinga dhalimu

    Rais wa Iran: Waislamu waonyeshe katika Siku ya Quds mwaka huu kwamba wanampinga dhalimu

    Apr 07, 2023 07:31

    Rais Ibrahim Raisi wa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, katika Siku ya Kimataifa ya Quds mwaka huu, Waislamu wanapaswa kuonyesha kwamba, wanamuunga mkono madhulumu na wako dhidi ya mvamizi na dhalimu.

  • Kukutana rasmi Amir-Abdollahian na Faisal Farhan; kuhuishwa uhusiano wa Saudi Arabia na Iran

    Kukutana rasmi Amir-Abdollahian na Faisal Farhan; kuhuishwa uhusiano wa Saudi Arabia na Iran

    Apr 06, 2023 09:23

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia wamekutana leo katika mji mkuu wa China Beijing na kukubaliana kufunguliwa ofisi za uwakilishi wa nchi mbili na kusisitiza utayari wao wa kuondoa vizuizi vinavyokwamisha kupanuliwa mashirikiano baina ya Tehran na Riyadh.

  • Taarifa ya pamoja ya Iran na Saudia: Ofisi za uwakilishi zitafunguliwa, mashirikiano yatapanuliwa

    Taarifa ya pamoja ya Iran na Saudia: Ofisi za uwakilishi zitafunguliwa, mashirikiano yatapanuliwa

    Apr 06, 2023 04:36

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Saudi Arabia ambao wamekutana katika mji mkuu wa China Beijing wamekubaliana kufunguliwa ofisi za uwakilishi wa nchi mbili na kusisitiza utayarifu wao wa kuondoa vizuizi vinavyokwamisha kupanuliwa mashirikiano baina ya Tehran na Riyadh.

  • Ripoti: Wanadiplomasia wakuu wa Iran na Saudia kukutana Beijing Alkhamisi

    Ripoti: Wanadiplomasia wakuu wa Iran na Saudia kukutana Beijing Alkhamisi

    Apr 05, 2023 08:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa Saudi Arabia, Mwanamfalme Faisal bin Farhan Al Saud, wanatazamiwa kukutana katika mji mkuu wa China, Beijing kesho Alkhamisi.

  • Msafara wa manowari za Iran watia nanga Afrika Kusini

    Msafara wa manowari za Iran watia nanga Afrika Kusini

    Apr 01, 2023 05:52

    Msafara wa manowari za jeshi la majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umetia nanga katika mji wa bandari wa Cape Town nchini Afrika Kusini.

  • Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Russia mjini Moscow

    Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Russia mjini Moscow

    Mar 31, 2023 10:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Russia huko Moscow kuhusu uhusiano na masuala mengine yanayozihusu pande mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS