Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yamshambulia Macron kwa kukutana na wanaopinga Mapinduzi ya Kiislamu

    Iran yamshambulia Macron kwa kukutana na wanaopinga Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 18, 2023 06:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemjia juu Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa kukutana na 'shakhsia' wanaopinga mfumo wa uongozi na Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran tokeo mwaka 1979.

  • Kiwewe cha Marekani kwa kuweko uhusiano wa karibu wa Russia, China na Iran

    Kiwewe cha Marekani kwa kuweko uhusiano wa karibu wa Russia, China na Iran

    Feb 17, 2023 23:07

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa, matamshi ya viongozi wa China kuhusiana na kuwa na urafiki usio na mipaka na Russia yamepelekea kuibuka wasiwasi nchini Marekani.

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu juu ya ulazima wa kuongezwa nguvu za kiulinzi za nchi

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu juu ya ulazima wa kuongezwa nguvu za kiulinzi za nchi

    Feb 17, 2023 06:57

    Katika miaka ya baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, maendeleo ya kiulinzi ya Iran ambayo yamepatikana kwa kutegemea elimu na wataalamu wa hapa ndani yamefikia katika kiwango ambacho kimewakasirisha mno maadui wa taifa hili la Kiislamu.

  • Amir-Abdollahian: Madai ya Marekani ya kumhusisha kiongozi wa Al-Qeada na Iran yanachekesha

    Amir-Abdollahian: Madai ya Marekani ya kumhusisha kiongozi wa Al-Qeada na Iran yanachekesha

    Feb 16, 2023 23:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu madai ya msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani na kusema: "Utungaji habari kuhusiana na kiongozi wa Al-Qaeda na kumhusisha yeye na Iran ni jambo la kuchekesha."

  • Iran na US katika 'mazungumzo' ya kubadilishana wafungwa

    Iran na US katika 'mazungumzo' ya kubadilishana wafungwa

    Feb 16, 2023 23:21

    Marekani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zipo katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja juu ya suala la kubadilishana wafungwa, huku Qatar na Uingereza zikiwa wapatanishi kwenye mazungumzo hayo.

  • Rais Raisi: China inakaribisha juhudi za Iran za kujiunga na BRICS

    Rais Raisi: China inakaribisha juhudi za Iran za kujiunga na BRICS

    Feb 16, 2023 08:03

    Rais Ebrahim Raisi amesema China imekaribisha juhudi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran za kuwa mwanachama wa jumuiya ya BRICS, inayojumuisha nchi tano zinazoongoza kwa uchumi unaoinukia duniani.

  • Umoja wa Mataifa: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni kinyume cha sheria

    Umoja wa Mataifa: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni kinyume cha sheria

    Feb 16, 2023 04:24

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limetangaza kuwa, vikwazo vya Washington dhidi ya taifa la Iran na hatua zake dhidi ya nchi nyingine ni kinyume cha sheria za kimataifa.

  • Mazungumzo ya Marais wa Iran na China; sisitizo la Xi Jinping juu ya umuhimu wa uhusiano wa pande mbili

    Mazungumzo ya Marais wa Iran na China; sisitizo la Xi Jinping juu ya umuhimu wa uhusiano wa pande mbili

    Feb 15, 2023 22:56

    Jumanne ya juzi tarehe 14 Februari, Rais Ebrahim Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikutana na kufanya mazungumzo mjini Beijing na Rais Xin Jinping wa China.

  • Rais Raisi: Utawala Mpya wa Dunia unaibuka huku Asia ikiwa kitovu

    Rais Raisi: Utawala Mpya wa Dunia unaibuka huku Asia ikiwa kitovu

    Feb 15, 2023 09:13

    Rais Ebrahim Raeisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Mfumo Mpya wa Utawala wa Dunia unaibuka huku bara la Asia likiwa kitovu chake na kwamba utachukua nafasi ya ule wa awali.

  • Rais wa Iran awasili Beijing, kusaini hati 20 za makubaliano na China

    Rais wa Iran awasili Beijing, kusaini hati 20 za makubaliano na China

    Feb 13, 2023 23:29

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Beijing, mji mkuu wa China kwa ziara rasmi ya kikazi, kufuatia mwaliko wa Rais Xi Jinping wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS