-
Iran yamshambulia Macron kwa kukutana na wanaopinga Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 18, 2023 06:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amemjia juu Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa kukutana na 'shakhsia' wanaopinga mfumo wa uongozi na Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran tokeo mwaka 1979.
-
Kiwewe cha Marekani kwa kuweko uhusiano wa karibu wa Russia, China na Iran
Feb 17, 2023 23:07Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza kuwa, matamshi ya viongozi wa China kuhusiana na kuwa na urafiki usio na mipaka na Russia yamepelekea kuibuka wasiwasi nchini Marekani.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu juu ya ulazima wa kuongezwa nguvu za kiulinzi za nchi
Feb 17, 2023 06:57Katika miaka ya baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, maendeleo ya kiulinzi ya Iran ambayo yamepatikana kwa kutegemea elimu na wataalamu wa hapa ndani yamefikia katika kiwango ambacho kimewakasirisha mno maadui wa taifa hili la Kiislamu.
-
Amir-Abdollahian: Madai ya Marekani ya kumhusisha kiongozi wa Al-Qeada na Iran yanachekesha
Feb 16, 2023 23:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu madai ya msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani na kusema: "Utungaji habari kuhusiana na kiongozi wa Al-Qaeda na kumhusisha yeye na Iran ni jambo la kuchekesha."
-
Iran na US katika 'mazungumzo' ya kubadilishana wafungwa
Feb 16, 2023 23:21Marekani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zipo katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja juu ya suala la kubadilishana wafungwa, huku Qatar na Uingereza zikiwa wapatanishi kwenye mazungumzo hayo.
-
Rais Raisi: China inakaribisha juhudi za Iran za kujiunga na BRICS
Feb 16, 2023 08:03Rais Ebrahim Raisi amesema China imekaribisha juhudi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran za kuwa mwanachama wa jumuiya ya BRICS, inayojumuisha nchi tano zinazoongoza kwa uchumi unaoinukia duniani.
-
Umoja wa Mataifa: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni kinyume cha sheria
Feb 16, 2023 04:24Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limetangaza kuwa, vikwazo vya Washington dhidi ya taifa la Iran na hatua zake dhidi ya nchi nyingine ni kinyume cha sheria za kimataifa.
-
Mazungumzo ya Marais wa Iran na China; sisitizo la Xi Jinping juu ya umuhimu wa uhusiano wa pande mbili
Feb 15, 2023 22:56Jumanne ya juzi tarehe 14 Februari, Rais Ebrahim Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikutana na kufanya mazungumzo mjini Beijing na Rais Xin Jinping wa China.
-
Rais Raisi: Utawala Mpya wa Dunia unaibuka huku Asia ikiwa kitovu
Feb 15, 2023 09:13Rais Ebrahim Raeisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Mfumo Mpya wa Utawala wa Dunia unaibuka huku bara la Asia likiwa kitovu chake na kwamba utachukua nafasi ya ule wa awali.
-
Rais wa Iran awasili Beijing, kusaini hati 20 za makubaliano na China
Feb 13, 2023 23:29Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Beijing, mji mkuu wa China kwa ziara rasmi ya kikazi, kufuatia mwaliko wa Rais Xi Jinping wa nchi hiyo.