-
Iran yalitaka Baraza la Usalama la UN lilaani jinai, hujuma za Israel dhidi ya al-Aqsa
Jan 07, 2023 07:58Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani vikali kitendo cha Waziri wa Usalama wa Israel mwenye misimamo ya kuchupa mipaka cha kuuvunjia heshima Msikiti mtukufu wa al-Aqsa.
-
Raisi: Mafanikio ya sekta ya anga za mbali ya Iran ni ithibati ya kufeli kwa vikwazo
Jan 05, 2023 03:49Rais wa Iran amesema mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu katika sekta ya anga za mbali ni ishara tosha ya kufeli na kugonga mwamba vikwazo vya Wamagharibi na njama zao za kutaka kulitenga taifa hili.
-
Iran yamuita balozi wa Ufaransa kulalamikia uafriti wa 'Charlie Hebdo'
Jan 05, 2023 00:01Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa Ufaransa mjini Tehran, Nicolas Roche kulalamikia vikali kitendo cha jarida la Kifaransa cha kutukana na kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu na thamani za kitaifa na kidini za Jamhuri ya Kiislamu.
-
Kamanda wa Iran: Jibu kali linawasubiri wavamizi wa taifa hili
Jan 01, 2023 04:12Naibu Mratibu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa, chockochoko zozote za maadui zinazolenga kuhujumu uhuru na mamlaka ya kujitawala nchi hii zitakabiliwa kwa jibu kali la kijeshi.
-
Abdollahian: Iran inapinga uwepo wa madola ajinabi katika eneo
Dec 31, 2022 23:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inapinga vikali uwepo wa madola ajinabi katika eneo hili la kistratejia la Asia Magharibi.
-
Jeshi la Iran laanza luteka kubwa ya kijeshi Lango Bahari la Hormuz, Bahari Hindi
Dec 29, 2022 23:04Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza mazoezi makubwa ya kijeshi katika eneo pana la kistratejia linaloanzia mashariki mwa Lango Bahari la Hormuz hadi katika ncha ya kaskazini mwa Bahari Hindi.
-
Iran ni mwenyeji wa wanafunzi zaidi ya laki saba wa kigeni
Dec 29, 2022 23:04Kuna wanafunzi zaidi ya laki saba (700,000) wa kigeni katika shule, taasisi za kielimu na Vyuo Vikuu vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
'Lengo la Marekani la kuivamia Afghanistan lilikuwa ni kuzidhibiti nchi jirani'
Dec 29, 2022 09:06Balozi wa Iran mjini Kabul Afghanistan amesema kuwa, lengo kuu la Marekani la kuivamia na kuikalia kwa mabavu Afghanistan halikuwa kupambana na ugaidi bali lilikuwa ni kuzidhibiti nchi zinazopakana na Afghanistan.
-
Indhari ya Rais wa Venezuela kuhusu kufikia ubeberu wa Marekani katika hatua hatarishi zaidi
Dec 27, 2022 22:27Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametahadharisha kuwa ubeberu wa Marekani umeingia katika hatua hatarishi zaidi na unajaribu kufanya kila njia ili kuzusha mapigano na kuwasha moto wa vita duniani.
-
Raisi: Bibi Fatima (AS) ni kigezo na shakhsia mashuhuri mpenda mageuzi
Dec 27, 2022 04:44Rais wa Iran amemtaja Bibi Fatimatu-Zahra (SA), binti kipenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW kama kigezo cha mwanadamu na shakhsia mashuhuri aliyeleta mageuzi katika historia ya jamii ya wanaadamu.