Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • China: Mazungumzo ya JCPOA yapo katika marhala ya mwisho

    China: Mazungumzo ya JCPOA yapo katika marhala ya mwisho

    Dec 27, 2022 03:56

    China imesema mazungumzo ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yapo katika hatua ya mwisho, na kusisitiza kwamba fursa ya kufufua mapatano hayo ya kimataifa ingalipo.

  • Jumatatu tarehe 26 Disemba 2022

    Jumatatu tarehe 26 Disemba 2022

    Dec 25, 2022 22:46

    Leo ni Jumatatu tarehe Pili Jumadithani 1444 Hijria sawa na tarehe 26 Disemba 2022.

  • Marekani yakataa kujibu barua ya maripota wa UN kuhusu vikwazo dhidi ya Iran

    Marekani yakataa kujibu barua ya maripota wa UN kuhusu vikwazo dhidi ya Iran

    Dec 25, 2022 08:28

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa chini ya vikwazo vya upande mmoja vya Marekani kwa zaidi ya miaka 40. Kuwekwa vikwazo dhidi ya Iran katika kipindi cha uongozi wa Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani baada ya kujitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuanzisha kampeni ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa, kumezidisha vikwazo visivyo na kifani vya nchi hiyo dhidi ya taifa la Iran.

  • Wavuvi wa Kiirani waliotekwa na al-Shabaab waachiwa huru baada ya miaka 8

    Wavuvi wa Kiirani waliotekwa na al-Shabaab waachiwa huru baada ya miaka 8

    Dec 25, 2022 07:03

    Wavuvi 14 Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab nchini Somalia wamewasili hapa nchini Iran baada ya kuachiwa huru.

  • Iran yakaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa Iraq kuhusu mazungumzo  kati ya Tehran na Cairo

    Iran yakaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa Iraq kuhusu mazungumzo kati ya Tehran na Cairo

    Dec 25, 2022 04:09

    Hossein Amir- Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza kuwa Waziri Mkuu wa Iraq alipendekeza katika Mkutano wa Baghdad-2 kuhusu suala la kufanyika mazungumzo kati ya Iran na Misri kuhusu masuala ya kisiasa na kiusalama.

  • Amir-Abdollahian: Iran iko tayari kuchukua hatua kufikia mapatano ya nyuklia

    Amir-Abdollahian: Iran iko tayari kuchukua hatua kufikia mapatano ya nyuklia

    Dec 24, 2022 03:41

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuchukua hatua za mwisho za kufikia makubaliano ya nyuklia na kufuta vikwazo vya kidhalimu."

  • Kukatwa matangazo ya kanali za Irani na Russia katika satelaiti ya Eutelsat; ishara ya ukiukaji wa uhuru wa kujieleza

    Kukatwa matangazo ya kanali za Irani na Russia katika satelaiti ya Eutelsat; ishara ya ukiukaji wa uhuru wa kujieleza

    Dec 23, 2022 05:00

    Shirika la satelaiti la Utelsat limepata hasara ya euro milioni kadhaa kutokana na uamuzi wake wa kukata matangazo ya kanali za Iran na Russia kwenye satelaiti hiyo.

  • Iran: Mshikamano wa wananchi wetu umesambaratisha njama za maadui

    Iran: Mshikamano wa wananchi wetu umesambaratisha njama za maadui

    Dec 23, 2022 03:31

    Waziri wa Usalama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mshikamano baina ya watu wa makabila, kaumu na madhehebu tofauti ni fakhari kubwa kwa Iran na kusisitiza kwamba, mshikamano huo ndani ya Iran ya Kiislamu ndio unaosambaratisha njama za maadui.

  • Iran: Rais wa Ukraine ajifunze kwa hatima ya viongozi walioitegemea US

    Iran: Rais wa Ukraine ajifunze kwa hatima ya viongozi walioitegemea US

    Dec 22, 2022 23:43

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepuuzilia mbali madai yasiyokuwa na msingi kwamba Tehran imeipa Moscow ndege zisizo na rubani kwa ajili ya kuzitumia katika vita dhidi ya Ukraine na kusisitiza kuwa, Rais wa Volodymyr Zelensky wa Ukraine anapaswa kupata somo kutokana na hatima iliyowafika viongozi mbalimbali waliotegemea misaada ya Marekani.

  • Mkuu wa Jeshi la Iran: Israel haitastahamili jibu kali la Iran kwa kitendo chochote cha kiadui

    Mkuu wa Jeshi la Iran: Israel haitastahamili jibu kali la Iran kwa kitendo chochote cha kiadui

    Dec 22, 2022 07:50

    Mkuu wa Jeshi la Iran anapuuzilia mbali vitisho vya kijeshi vya Israel akisema utawala huo wa Kizayuni hauwezi kustahamili jibu la Iran kwa kitendo chochote cha kiuadui kitakachofanywa na utawala huo kutokana na mivutano ya kisiasa inayoukabili kutoka kwa ndani ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS