-
China: Mazungumzo ya JCPOA yapo katika marhala ya mwisho
Dec 27, 2022 03:56China imesema mazungumzo ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yapo katika hatua ya mwisho, na kusisitiza kwamba fursa ya kufufua mapatano hayo ya kimataifa ingalipo.
-
Jumatatu tarehe 26 Disemba 2022
Dec 25, 2022 22:46Leo ni Jumatatu tarehe Pili Jumadithani 1444 Hijria sawa na tarehe 26 Disemba 2022.
-
Marekani yakataa kujibu barua ya maripota wa UN kuhusu vikwazo dhidi ya Iran
Dec 25, 2022 08:28Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa chini ya vikwazo vya upande mmoja vya Marekani kwa zaidi ya miaka 40. Kuwekwa vikwazo dhidi ya Iran katika kipindi cha uongozi wa Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani baada ya kujitoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuanzisha kampeni ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa, kumezidisha vikwazo visivyo na kifani vya nchi hiyo dhidi ya taifa la Iran.
-
Wavuvi wa Kiirani waliotekwa na al-Shabaab waachiwa huru baada ya miaka 8
Dec 25, 2022 07:03Wavuvi 14 Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab nchini Somalia wamewasili hapa nchini Iran baada ya kuachiwa huru.
-
Iran yakaribisha pendekezo la Waziri Mkuu wa Iraq kuhusu mazungumzo kati ya Tehran na Cairo
Dec 25, 2022 04:09Hossein Amir- Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameeleza kuwa Waziri Mkuu wa Iraq alipendekeza katika Mkutano wa Baghdad-2 kuhusu suala la kufanyika mazungumzo kati ya Iran na Misri kuhusu masuala ya kisiasa na kiusalama.
-
Amir-Abdollahian: Iran iko tayari kuchukua hatua kufikia mapatano ya nyuklia
Dec 24, 2022 03:41Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuchukua hatua za mwisho za kufikia makubaliano ya nyuklia na kufuta vikwazo vya kidhalimu."
-
Kukatwa matangazo ya kanali za Irani na Russia katika satelaiti ya Eutelsat; ishara ya ukiukaji wa uhuru wa kujieleza
Dec 23, 2022 05:00Shirika la satelaiti la Utelsat limepata hasara ya euro milioni kadhaa kutokana na uamuzi wake wa kukata matangazo ya kanali za Iran na Russia kwenye satelaiti hiyo.
-
Iran: Mshikamano wa wananchi wetu umesambaratisha njama za maadui
Dec 23, 2022 03:31Waziri wa Usalama wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mshikamano baina ya watu wa makabila, kaumu na madhehebu tofauti ni fakhari kubwa kwa Iran na kusisitiza kwamba, mshikamano huo ndani ya Iran ya Kiislamu ndio unaosambaratisha njama za maadui.
-
Iran: Rais wa Ukraine ajifunze kwa hatima ya viongozi walioitegemea US
Dec 22, 2022 23:43Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepuuzilia mbali madai yasiyokuwa na msingi kwamba Tehran imeipa Moscow ndege zisizo na rubani kwa ajili ya kuzitumia katika vita dhidi ya Ukraine na kusisitiza kuwa, Rais wa Volodymyr Zelensky wa Ukraine anapaswa kupata somo kutokana na hatima iliyowafika viongozi mbalimbali waliotegemea misaada ya Marekani.
-
Mkuu wa Jeshi la Iran: Israel haitastahamili jibu kali la Iran kwa kitendo chochote cha kiadui
Dec 22, 2022 07:50Mkuu wa Jeshi la Iran anapuuzilia mbali vitisho vya kijeshi vya Israel akisema utawala huo wa Kizayuni hauwezi kustahamili jibu la Iran kwa kitendo chochote cha kiuadui kitakachofanywa na utawala huo kutokana na mivutano ya kisiasa inayoukabili kutoka kwa ndani ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu.