-
Jumatano tarehe 21 Disemba 2022
Dec 20, 2022 22:47Leo ni Jumatano tarehe 26 Jumadil Awwal 1444 Hijria sawa na Disemba 21 mwaka 2022.
-
Mazungumzo ya Josep Borrell na Amir-Abdollahian nchini Jordan; msimamo baridi wa Umoja wa Ulaya
Dec 20, 2022 22:46Jumanne ya jana tarehe 20 Disemba, Waziri wa Mashauri ya Kiigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya pambizoni mwa mkutano wa Baghdad-2 uliofanyika katika mji mkuu wa Jordan, Amman.
-
Iran: Marekani ikhitari diplomasia badala ya mashinikizo na vitisho
Dec 20, 2022 04:18Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema iwapo Marekani inataka kweli kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, haina chaguo jingine isipokuwa kukhitari njia ya diplomasia badala ya mashinikizo, vitisho na makabiliano.
-
Jenerali Ashtari: Maadui wa Iran ya Kiislamu wameshindwa kwa fedheha
Dec 17, 2022 07:39Mkuu wa Jeshi la Polisi la Iran amesisitiza juu ya ulazima wa kuegemea Jihadi ya ufafanuzi na kuweka wazi mambo katika vita vya simulizii na akasema: "Maadui wa Iran ya Kiislamu wameshindwa kwa fedheha katika makabiliano yao na wananchi."
-
Amir-Abdollahian: Utawala wa Israel ni tishio kubwa kwa usalama wa eneo
Dec 17, 2022 04:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema utawala wa Kizayuni ni utawala bandia, usio halali na ni tishio kubwa kwa usalama wa eneo.
-
Radiamali kali ya Iran dhidi ya kushadidi hatua za chuki za madola ya Magharibi
Dec 16, 2022 09:51Katika siku za hivi kariuni madola ya Magharibi yakiongozwa na Marekani yameshadidisha hatua na mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yakitumia kama yanavyodai fursa ya kuibuka vurugu na machafuko hapa nchini.
-
Rais Raisi: Mahesabu ya adui katika njama ya karibuni yameenda kombo
Dec 16, 2022 08:30Rais Ebrahim Raisi amesema: kutokana na basira na kuwa macho wananchi wa Iran, mahesabu ya adui katika njama ya karibuni yameenda kombo sawa na ilivyokuwa katika fitna za huko nyuma.
-
Raisi: Adui ameibua ghasia ili kukwamisha ustawi wa uchumi wa Iran
Dec 14, 2022 07:49Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema maadui wanafanya juu chini ili kuwashughulisha na fujo na ghasia wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu, wakiwa na lengo la kukwamisha ustawi wa uchumi wa taifa hili.
-
Rais Raisi: Misimamo ya rais wa China wakati wa safari yake katika eneo imeisikitisha Iran
Dec 13, 2022 09:41Rais Ebrahim Raisi amesema, baadhi ya misimamo iliyotangazwa katika safari ya karibuni ya rais wa China katika eneo imelisikitisha taifa na serikali ya Iran.
-
Mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Uislamu na Uhindu mjini New Delhi India
Dec 13, 2022 08:20Duru ya tatu ya mkutano wa kimataifa wa mazungumzo ya Uislamu na Uhindu iliyokuwa na anuani ya "Mchango wa Dini wa Kuishi Pamoja Katika Amani na Ustawi" umefanyika mjini New Delhi kwa kuhudhuriwa na makhatibu, shakhsia wenye vipawa na Maulamaa wa Iran na India.