-
Iran: Kama US inapigania kweli haki za binadamu, iache kuwasaidia magaidi
Oct 14, 2022 04:20Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imesema iwapo Marekani inataka kupambana kwa dhati na ugaidi, sharti iachane na tabia yake ya kuunga mkono makundi ya kigaidi kama lile la Kumalah.
-
Raisi: Uingiliaji wa maajinabi hauwezi kutatua matatizo ya Asia Magharibi
Oct 13, 2022 23:45Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa uingiliaji wa madola ya Magharibi katika masuala ya ndani ya nchi za Asia Magharibi na kusisitiza kuwa, uingiliaji huo kamwe hauwezi kuwa suluhu ya matatizo na changamoto za eneo hili.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Kusimama imara; njia ya kukabiliana na maadui
Oct 13, 2022 08:14Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametaja ghasia na machafuko yaliyoenea katika maeneo mbalimbali hapa nchini kuwa ni mpango usio wa kawaida na wa fedheha wa adui mkabala wa maendeleo na harakati za ubunifu na kubwa za taifa la Iran na kwamba, njia ya kukabiliana na maadui ni kusimama imara.
-
Raisi: Dunia ya leo inahitaji zaidi mchango athirifu wa ubunifu wa kikanda kuliko wakati wowote ule
Oct 13, 2022 04:37Rais Ebrahim Raisi amesema dunia ya leo inahitaji kuliko wakati wowote ule mchango athirifu na madhubuti wa taratibu zinazobuniwa kikanda.
-
Jeshi la Anga la Iran lina uwezo wa kujibu haraka tishio lolote la adui
Oct 11, 2022 08:29Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Iran amesema Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu kina uwezo wa kufuatilia na kujibu kitisho au chokochoko zozote za maadui katika eneo hili ndani ya muda mfupi.
-
Rais Raisi: Usalama na uwezo wa Iran unategemea kusimama imara wananchi
Oct 11, 2022 04:35Rais Ebrahim Raisi amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na familia ya Shahidi mlinzi wa usalama wa nchi na kueleza kwamba usalama na uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unategemea kusimama imara wananchi na juhudi kubwa za maelfu ya Mashahidi, na akasisitizia umuhimu wa watu wote kuilinda na kuienzi rasilimali hiyo ya taifa.
-
Iran: Magharibi inalipiza kisasi kwa kuwaua kwa umati wagonjwa Wairani
Oct 10, 2022 03:58Msemaji wa Serikali ya Iran amelaani vikwazo shadidi vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na kueleza kuwa, "Wamagharibi wanalipiza kisasi dhidi ya Wairani, kwa kuanzisha kampeni ya mauji ya kimbari dhidi ya wagonjwa wa nchi hii."
-
Shambulio katika ubalozi wa Iran laonyesha uungaji mkono wa Magharibi kwa wafanya ghasia
Oct 08, 2022 07:47Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran sanjari na kulaani shambulio lililofanywa dhidi ya ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Denmark amesisitiza kuwa, hujuma hiyo inaonyesha wazi uungaji mkono wa kisiasa wa Wamagharibi kwa wafanya ghasia.
-
Balozi wa Denmark aitwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
Oct 07, 2022 23:34Balozi wa Denmark mjini Tehran ameitwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kufuatia shambulio lililofanywa dhidi ya ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Denmark na mshambuliaji aliyekuwa amebeba silaha baridi.
-
Onyo la Iran kwa Umoja wa Ulaya
Oct 07, 2022 07:27Hossein Amir Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano alifanya mazungumzo kwa njia ya simu na Josep Borrell, mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya.