Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iraq: Kikao kijacho cha Iran na Saudia mjini Baghdad kitafanyika hadharani

    Iraq: Kikao kijacho cha Iran na Saudia mjini Baghdad kitafanyika hadharani

    Jul 23, 2022 21:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema, kikao kijacho cha Saudi Arabia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Baghdad kitakuwa cha mazungumzo ya wazi kutokana na ombi lililotolewa na mrithi wa ufalme wa Saudia.

  • Iran kurusha satalaiti katika anga za mbali karibuni hivi

    Iran kurusha satalaiti katika anga za mbali karibuni hivi

    Jul 23, 2022 06:54

    Mkuu wa Shirika la Anga za Mbali la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu katika miezi michache ijayo itarusha satalaiti katika anga za mbali.

  • Jenerali Baqeri: Vikosi vya Iran vimekuwa na nafasi kubwa kusambaratisha vikwazo

    Jenerali Baqeri: Vikosi vya Iran vimekuwa na nafasi kubwa kusambaratisha vikwazo

    Jul 21, 2022 08:42

    Kamanda Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema vikosi vya ulinzi na usalama vya Jamhuri ya Kiislamu vimekuwa na nafasi muhimu katika kuvunja nguzo za kampeni ya maadui ya mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya taifa hili.

  • Kan'ani: Israe haina ubavu wala uthubutu wa kuikabili Iran kijeshi

    Kan'ani: Israe haina ubavu wala uthubutu wa kuikabili Iran kijeshi

    Jul 19, 2022 21:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel hauna ubavu wala ujasiri wa kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Tofauti kati ya safari ya Biden na Putin eneo la Asia Magharibi

    Tofauti kati ya safari ya Biden na Putin eneo la Asia Magharibi

    Jul 19, 2022 04:04

    Baada ya safari ya Rais Joe Biden wa Marekani katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na Saudi Arabia, Rais Vladimir Putin wa Russia leo yuko safarini nchini Iran. Kuna tofauti za wazi kati ya malengo na ajenda za safari ya Biden na Putin katika eneo la Asia Magharibi. Rais Tayyip Erdoğan wa Uturuki pia yuko safarani nchini Iran kwa lengo la mkutano wa pande tatu wa marais wa Iran, Russia na Uturuki.

  • Iran yaipongeza Iraq kwa kushajiisha mazungumzo katika eneo

    Iran yaipongeza Iraq kwa kushajiisha mazungumzo katika eneo

    Jul 18, 2022 03:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameipongeza Iraq kwa nafasi yake athirifu na jitihada zake za kushajiisha utumiaji wa mazungumzo kwa ajili ya kujaribu kutatua matatizo na changamoto zinaolikabili eneo hili la Asia Magharibi.

  • Iran yawawekea vikwazo Wamarekani wanaounga mkono magaidi wa MKO

    Iran yawawekea vikwazo Wamarekani wanaounga mkono magaidi wa MKO

    Jul 16, 2022 23:05

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetangaza orodha mpya ya maafisa wa sasa na wa zamani wa serikali ya Marekani ambao kwa makusudi wamekuwa wakiunga mkono kundi la kigaidi la MKO lililo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran

    Jen. Shekarchi: Marekani, Israel zinajua vyema gharama ya kuitishia Iran

    Jul 15, 2022 22:14

    Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zinatambua vizuri kile ambacho kitawafika iwapo zitathubutu kutelekeza kivitendo vitisho vyao dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Shukurani za Gavana wa jimbo la Herat kwa misaada ya Iran kwa  watu wa Afghanistan

    Shukurani za Gavana wa jimbo la Herat kwa misaada ya Iran kwa watu wa Afghanistan

    Jul 15, 2022 22:12

    Gavana wa jimbo la Herat ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa misaada yake kwa watu wa Afghanistan.

  • Kamanda: Vikosi vya Jeshi la Iran vinaendelea kuimarika licha ya vikwazo

    Kamanda: Vikosi vya Jeshi la Iran vinaendelea kuimarika licha ya vikwazo

    Jul 14, 2022 21:58

    Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Nchi Kavu la Iran amesema vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu vinendelea kuimarika na kupata nguvu zaidi siku baada ya siku, licha ya vikwazo na mashinikizo ya kiuchumi dhidi ya taifa hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS