Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran, Russia zasisitiza mazungumzo ya JCPOA yatafanikiwa Iran ikiondolewa vikwazo

    Iran, Russia zasisitiza mazungumzo ya JCPOA yatafanikiwa Iran ikiondolewa vikwazo

    Oct 29, 2021 23:57

    Iran na Russia zimesisitiza kwamba mazungumzo ya pande zilizosalia katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA ya mwaka 2015 yatafanikiwa tu iwapo yatapelekea kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran sambamba na pande zote kutekeleza mapatano hayo.

  • Uhusiano wa kiuchumi wa Iran na Saudi Arabia waanza rasmi, meli ya kwanza ya Iran yatia nanga Saudia

    Uhusiano wa kiuchumi wa Iran na Saudi Arabia waanza rasmi, meli ya kwanza ya Iran yatia nanga Saudia

    Oct 28, 2021 03:55

    Mkuu wa Shirikisho la Usafirishaji Nje Bidhaa za Iran amesema kuwa, uhusiano wa kiuchumi wa nchi yake na Saudi Arabia umeanza rasmi baada ya meli moja yenye bidhaa za Iran kutia nanga katika moja ya bandari za Saudia.

  • Rais Ebrahim Raisi alaani hujuma ya kimtandao dhidi ya vituo vya mafuta vya Iran

    Rais Ebrahim Raisi alaani hujuma ya kimtandao dhidi ya vituo vya mafuta vya Iran

    Oct 27, 2021 23:08

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, shambulio la kimtandao dhidi ya vituo vya mafuta vya Jamhuri ya Kiislamu ni njama za maadui zilizolenga kuwahamakisha na kuvuruga maisha ya kila siku ya Wairani.

  • Njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuzishirikisha kaumu zote katika muundo wa kisiasa

    Njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuzishirikisha kaumu zote katika muundo wa kisiasa

    Oct 27, 2021 23:02

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi Jrani na Afghanistan mwishoni mwa kikao chao hapa Tehran wametoa taarifa ya pamoja na kusisitiza kuwa: njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuasisi muundo mpana wa kisiasa kwa kuyashirikisha makundi yote ya nchi hiyo.

  • Iran na EU zajadili namna ya kuondolewa vikwazo vyote haramu katika JCPOA

    Iran na EU zajadili namna ya kuondolewa vikwazo vyote haramu katika JCPOA

    Oct 27, 2021 10:28

    Ofisi ya uwakilishi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Ulaya imetangaza kuwa, kuondolewa vikwazo vyote haramu na visivyo vya kisheria ilivyoekewa Iran ndio ajenda kuu ya mazungumzo ya Brussels kati ya Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa na mratibu wa kamisheni ya pamoja ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan+Russia waanza Tehran

    Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan+Russia waanza Tehran

    Oct 27, 2021 04:42

    Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa mataifa jirani na Afghanistan+Russia umeanza kufanyika hapa mjini Tehran kwa shabaha ya kujadili changamoto mbambali zinazoikabili nchi hiyo baada ya majeshi ya Marekani kuondoka nchini humo na wanamgambo wa Taliban kuchukua hatamu za uongozi wa nchi.

  • Rais wa Iran ayataka madola ya Ulaya kuwa na mamlaka katika kuchukua maamuzi

    Rais wa Iran ayataka madola ya Ulaya kuwa na mamlaka katika kuchukua maamuzi

    Oct 25, 2021 07:26

    Rais Ibrahim Raeisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza kuwa, madola ya Ulaya yanapaswa kuwa na mamlaka katika kuchukua maamuzi amesema kuwa, maataifa hayo hayapaswi kufanya mambo kwa namna ambayo yataifanya Marekani kuyaona kama sehemu yake ya kupenya na kupitishia mambo yake.

  • Ulimwengu wa Michezo, Oktoba 25

    Ulimwengu wa Michezo, Oktoba 25

    Oct 25, 2021 05:26

    Hujambo mpenzi msikilizaji na hususan mfuatiliaji wa masuala ya spoti natumai hujambo hapo ulipo. Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbalimbali za dunia....

  • Iran iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu katika uga wa nyuklia

    Iran iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu katika uga wa nyuklia

    Oct 24, 2021 11:43

    Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu katika sekta ya nishati ya nyuklia.

  • Rais wa Iran atuma salaamu maalumu za Maulidi na kuzaliwa Mtume (saw) kwa viongozi wa nchi za Kiislamu

    Rais wa Iran atuma salaamu maalumu za Maulidi na kuzaliwa Mtume (saw) kwa viongozi wa nchi za Kiislamu

    Oct 23, 2021 23:55

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi ametuma salamu maalumu na mkono wa baraka na fanaka kwa viongozi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya Maulidi na siku ya kuzaliwa Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad (saw) na Wiki ya Umoja wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS