Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Swala ya Idul Adh'ha yafanyika katika maeneo mbalimbali ya Iran ya Kiislamu kwa kufuata protokali za afya

    Swala ya Idul Adh'ha yafanyika katika maeneo mbalimbali ya Iran ya Kiislamu kwa kufuata protokali za afya

    Jul 31, 2020 03:46

    Swala ya Idul Adh'ha imefanyika leo asubuhi katika miji mbalimbali ya Iran ya Kiislamu kwa kufuata protokali za afya.

  • Zaidi ya wagonjwa 259,000 wa Covid-19 nchini Iran wamepata afueni

    Zaidi ya wagonjwa 259,000 wa Covid-19 nchini Iran wamepata afueni

    Jul 29, 2020 10:31

    Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema, wagonjwa wengine wapya wapatao elfu mbili wa maradhi ya Covid-19 wamegunduliwa nchini, huku idadi ya waliopata afueni ya ugonjwa huo ikipindukia 259,000.

  • Rouhani: Adui hajaweza kuizuia Iran kuuza bidhaa nje ya nchi

    Rouhani: Adui hajaweza kuizuia Iran kuuza bidhaa nje ya nchi

    Jul 29, 2020 03:15

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema adui hajaweza kuizuia Iran kuuza bidhaa zake nje ya nchi.

  • Jumanne tarehe 28 Julai mwaka 2020

    Jumanne tarehe 28 Julai mwaka 2020

    Jul 27, 2020 23:23

    Leo ni Jumanne tarehe 7 Dhulhija 1441 Hijria sawa na Julai 28 mwaka 2020.

  • Uhusiano wenye mlingano na madola yote ya Eurasia, Asia Mashariki na Kusini, kipaumbele katika sera za kigeni za Iran

    Uhusiano wenye mlingano na madola yote ya Eurasia, Asia Mashariki na Kusini, kipaumbele katika sera za kigeni za Iran

    Jul 26, 2020 06:16

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina azma ya kulinda na kuendeleza mlingano wa uhusiano na urafiki na madola yote makubwa ya Eurasia, Asia Mashariki na Kusini.

  • Balozi wa Syria Tehran: Uchokozi wa Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran ni ugaidi

    Balozi wa Syria Tehran: Uchokozi wa Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran ni ugaidi

    Jul 25, 2020 22:11

    Balozi wa Syria mjini Tehran amesema, uchokozi wa ndege za kivita za Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran katika anga ya Syria ni nembo na dhihirisho la ugaidi wa Marekani dhidi ya raia wakiwemo wanawake na watoto.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yakemea vikali hatua ya ndege zakivita za Marekani ya kuhatarisha usalama wa ndege ya abiria ya Iran

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yakemea vikali hatua ya ndege zakivita za Marekani ya kuhatarisha usalama wa ndege ya abiria ya Iran

    Jul 24, 2020 09:19

    Msemaji wa Wizara Mambo ya Nchi za Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekemea vikali hatua ya ndege mbili za kijeshi za Marekani ya kutishia usalama wa ndege ya abiria ya Iran katika anga ya Syria na kusema: Habari zaidi kuhusu tukio hilo zinafanyiwa uchunguzi na hatua za dharura za kisiasa na kisheria zitachukuliwa baada ya kukamilika uchunguzi huo.

  • Ufunguo wa kutatua mgogoro wa Syria ni kulindwa mamlaka ya kujitawala na wananchi kuwa na nafasi katika utawala

    Ufunguo wa kutatua mgogoro wa Syria ni kulindwa mamlaka ya kujitawala na wananchi kuwa na nafasi katika utawala

    Jul 24, 2020 08:54

    Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kulindwa mamlaka ya kujitawala, mipaka na uhuru wa kisiasa Syria ni mambo ya dharura na pia wanajeshi wote wa kigeni walioko Syria wanapaswa kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo mara moja.

  • Mousavi: Moto wa karibuni nchini Iran hauhusiani na hujuma za kimtandao

    Mousavi: Moto wa karibuni nchini Iran hauhusiani na hujuma za kimtandao

    Jul 23, 2020 02:54

    Akijibu madai kuhjusu uharibifu na hujuma za kimtandao dhidi ya Iran, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, moto uliotokea hivi karibuni hapa nchini hausiani kivyovyote na hujuma za kimtandao.

  • Rouhani: Uhuru wa kujitawala na usalama wa Iran na Iraq vinafungamana

    Rouhani: Uhuru wa kujitawala na usalama wa Iran na Iraq vinafungamana

    Jul 21, 2020 22:00

    Rais Hassan Rouhani wa Iran na Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al-Kadhimi wamesema uhusiano wa Tehran an Baghdad unavuka mipaka ya nchi mbili hizi jirani, na kusisitiza kuwa: Uhuru wa kujitawala na usalama wa Iran na Iraq vina mfungamano mkubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS