Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Wanafunzi wa Iran walaani mauaji ya Waislamu nchini India

    Wanafunzi wa Iran walaani mauaji ya Waislamu nchini India

    Mar 10, 2020 04:49

    Vyama vya Kiislamu vya Wanafunzi wa Iran vimelaani vikali mauaji na hujuma za kinyama wanazofanyiwa Waislamu nchini India.

  • Ulimwengu wa Michezo, Machi 09

    Ulimwengu wa Michezo, Machi 09

    Mar 09, 2020 04:38

    Hujambo mpenzi msikilizaji na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri kitaifa na kimataifa ndani ya siku saba zilizopita….nakusihi tuandame sote hadi tamati ya kipindi…….karibu……

  • Corona; Shirika la Afya Duniani lapongeza elimu ya kitiba nchini Iran

    Corona; Shirika la Afya Duniani lapongeza elimu ya kitiba nchini Iran

    Mar 06, 2020 22:57

    Kirusi cha COVID-19 maarufu kama Corona hakijui mipaka na kimeenea kote duniani na kwa msingi huo mbali na jitihada za kitaifa, kuna jitihada za kimataifa za kukabiliana na ugonjwa huu kupitia kubadilishana uzoefu wa madaktari na Shirika la Afya Duniani (WHO).

  • Mwakilishi wa WHO aipongeza Iran kwa mapambano yake dhidi ya Corona

    Mwakilishi wa WHO aipongeza Iran kwa mapambano yake dhidi ya Corona

    Mar 06, 2020 04:53

    Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ambaye ameitembelea Iran hivi karibuni amepongeza juhudi kubwa za vyombo na taasisi za afya hapa nchini katika kupambana na virusi vya Corona.

  • Meja Jenerali Salami: Iran hivi sasa ipo katika vita vya kibiolojia

    Meja Jenerali Salami: Iran hivi sasa ipo katika vita vya kibiolojia

    Mar 05, 2020 22:57

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema taifa la Iran lipo katika vita vya kibiolojia hivi sasa, lakini bila shaka wananchi Waislamu wa Iran wataibuka washindi.

  • Haniya: Shahidi Soleimani alikuwa na nafasi ya

    Haniya: Shahidi Soleimani alikuwa na nafasi ya "msingi" katika kuiunga mkono Palestina

    Mar 05, 2020 00:12

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema, Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) aliyeuliwa shahidi alikuwa na nafasi muhimu na ya msingi katika kuunga mkono muqawama.

  • Pakistan yaunga mkono msimamo wa Iran katika kulaani ukatili dhidi ya Waislamu wa India

    Pakistan yaunga mkono msimamo wa Iran katika kulaani ukatili dhidi ya Waislamu wa India

    Mar 04, 2020 10:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan ameunga mkono msimamo wa Iran wa kulaani ukatili ulioratibiwa unaotekelezwa dhidi ya Waislamu wa India.

  • Watu 435 walioambukuzwa Corona nchini Iran wapona

    Watu 435 walioambukuzwa Corona nchini Iran wapona

    Mar 04, 2020 01:02

    Naibu Waziri wa Afya wa Iran Dkt. Alireza Raisi amesema hadi sasa watu 435 waliombukizwa ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama Corona wamepona na wamepewa ruhusa ya kuenda nyumbani kutoka hospitali.

  • Louis Farakkhan amlaani Trump kwa kumuua Soleimani

    Louis Farakkhan amlaani Trump kwa kumuua Soleimani

    Mar 04, 2020 00:56

    Louis Farrakhan, kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya Nation of Islam ya nchini Marekani amemlaani vikali Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, jenerali Muirani aliyekuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Zarif akosoa ukatili na ghasia zilizopangwa dhidi ya Waislamu India

    Zarif akosoa ukatili na ghasia zilizopangwa dhidi ya Waislamu India

    Mar 03, 2020 04:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inalaani vikali ukatili na ghasia zilizoratibiwa dhidi ya Waislamu nchini India, akisisitiza kuwa njia pekee ya kutatua mgogoro uliopo ni kufuata sheria na mazungumzo ya amani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS