-
Naibu Waziri wa Afya wa Iran apatwa na Corona, asema nchi itashinda virusi hivyo wiki chache zijazo
Feb 25, 2020 12:18Naibu Waziri wa Afya wa Iran amethibitisha kuwa amepatwa na virusi vya Corona lakini amesisitiza kuwa, nchi hii itashinda janga la virusi hivyo wiki chache zijazo.
-
Nchi zilizoliwekea taifa la Iran vikwazo vya madawa ni katili
Feb 25, 2020 04:26Mkuu wa Baraza la Haki za Binadamu la Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi ambazo zinazuia madawa kuingia hapa nchini ni katili na wauaji wa binadamu.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 24
Feb 24, 2020 04:32Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tuzamie baadhi ya matukio yaliyogonga vichwa vya habari viwanjani ndani ya siku saba zilizopita. Nakusihi tuwe sote hadi tamati ya kipindi....
-
Hatua ya kisiasa ya FATF ya kuiweka Iran katika orodha nyeusi
Feb 22, 2020 08:01Nchi za Magharibi huku zikiongozwa na Marekani kwa muda sasa zimekuwa zikizingatia na kutilia maanani utekelezaji wa siasa za mashinikizo ya pande zote kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lengo likiwa ni kujaribu kubadilisha misingi na siasa za nchi hii.
-
Ujerumani yaitaka Saudi Arabia ichunge haki za binadamu
Feb 22, 2020 03:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amewataka viongozi wa Saudi Arabia wafanyie marekebisho sheria zao na wachunge haki za binadamu.
-
Mousavi: Wairani hawaithamini Marekani wala vikwazo vyake dhidi yao
Feb 21, 2020 23:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa radimali yake kufuatia hatua ya Marekani ya kuwawekea vikwazo wanachama wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kusema kuwa, serikali, taifa na nguzo zote za Jamhuri ya Kiislamu haziipi thamani Marekani wala vikwazo vyake vya kidhalimu.
-
Mapinduzi ya Kiislamu Kurejea Imam tarehe 12 Bahman 1357 Shamsia, sawa na Februari Mosi 1979 (1)
Feb 21, 2020 09:55Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika mfululizo huu wa vipindi kadhaa tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran.
-
Uchaguzi, sherehe ya kitaifa katika kutimia mwaka wa 41 wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 21, 2020 05:44Duru ya 11 ya uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) imeanza leo Ijumaa tarehe 21 Februari katika mji mkuu Tehran na maelfu ya miji na vijiji katika pembe zote za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Brigedia Jenerali Heidari: Maadui wanaliogopa taifa la Iran kuliko silaha
Feb 20, 2020 23:14Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema maadui wanaliogopa taifa hili zaidi ya wanavyohofishwa na silaha za nchi hii.
-
Uchaguzi, kielelezo cha ushiriki mkubwa wa kisiasa na nguvu ya wananchi wa Iran
Feb 20, 2020 23:11Uchaguzi wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kipindi cha miaka 41 ya baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu unaotarajiwa kufanyika leo Ijumaa unaakisi umuhimu wa chaguzi katika mfumo wa demokrasia ya kidini nchini Iran.